Serikali ya Kenya kuwaajiri madaktari kutoka Tanzania, Uhabeshi na Cuba

Ila hapa naona Tanzania wakifaidi sana iwe kwamba mpango huu utaendelea. Vipi madaktari watz wataajiriwa wote Kenya na Tanzania?? Naona hapa noma sana
tanzania wata subiri wengine mwaka huu zaidi ya 800 wanagraduate,muhimu kuokoa maisha ya wakenya ndugu zetu
 
Itasaidia hao madaktari wa Tanzania ila nini itakuwa hatma ya madaktari wa Kenya?
Watakuja kuajiriwa Tanzania kuziba pengo tutakalolipata if any. Hapo ndiyo usemi wa JPM wa kwamba sisi we are supposed to be a donor country. Tuna aslimali nyingi tu pamoja na asilimaliwatu. Tunaanza na ku donate asilimali watu huko Kenya baada ya kusaini nao mkataba ambao pamoja na mambo mengine wakenya watahakikisha usalama wa watu wetu wakiwa huko Kenya. Vijana wetu wa medics hawataenda huko Kenya kienyeji bali kupitia makubaliano maalum kati ya serikali ya Kenya na Tanzania.
 
Ila hapa naona Tanzania wakifaidi sana iwe kwamba mpango huu utaendelea. Vipi madaktari watz wataajiriwa wote Kenya na Tanzania?? Naona hapa noma sana
nakumbuka na jinsi navyo fahamu watanzania hawana mgomo,waadilifu wazalendo kama wakiajiriwa hutasikia mgmo hata siku moja
 
umsema kweli,jambo jema hao waliogoma huko watakuja tanzania kufidia pengo hilo,hapo ni zaidi ya udungu
 
Your line of urgement scares me.
How ukabira plays the role in this doctors strike??
 
Your line of urgement scares me.
How ukabira plays the role in this doctors strike??
Yeah, it's not like the doctors are drawn from only one side of the Kenyan political spectrum; the opposion.
 
Ajira hiyo uliyoisema ni tofauti na ajiri hii ya Madaktari kama itatokea maana hapa wa Kenya na Madaktari wao wataona kuwa Serikali ya Kenya haitaki kuwasikiliza Watoto wao( Vijana ) kwa vile watapata Madaktari wa gharama nafuu kutoka nje ya Kenya.
Hii haitatofautiana na suala la Afrika Kusini ambapo Raia wake walikuwa wanataka kuboreshewa maslahi yao lakini wafanyakazi kutoka nchi Jirani wakakubali kuchukua mishahara midogo na kuchukua nafasi zao.
Mwisho wa siku lazima kutokee chuki na mauji kutokea. Hilo tatizo huwa lonajitokeza kila sehemu. Mfano Wanajeshi wa Tanzania walisaidi kumtoa madaraki Idd Amin ( ambaye Waganda wengi wlikuwa wanamchukia) lakini baadaye Waganda wakaanza kuwauwa askari wa Tanzania. Sasa hivi Raia wa Msumbuji wanawafukaza Watanzania kutoka Mozambique! Kwa hiyo ni vyema Serikali ya Kenya ikamalizana vizuri na Madaktari wake kuliko kukimbilia kuajiri Madaktari kutoka nje. Itakuwa ni kupandikiza mbengu mbaya na fitina baina ya Raia wa Tanzania na Raia wa Kenya.
 
Yeah, it's not like the doctors are drawn from only one side of the Kenyan political spectrum; the opposion.
I am talking of leadership not the composition of the doctors. If you believe the tribe of the leaders play zero role in determining how they engage with government you have not followed the teachers strikes long enough
 
This idea ni pitiful ya serikali ambayo Haina mwelekeo! Unadhulumu wafanyikazi WA kwako ufuate cheap labor kutoka nje. Kuna Sheria za uajiri Na something tells me this is going to court. No2 gharama ya maisha Kenya sio Tanzania au Cuba. ugenini itabidi ulipwe wanachadai daktari wakenya. Tatu gavana Toka upinzani wengine wanasema hawafuti daktari wakenya county zao!
 

I doubt this statement. Someone give me the doctor patient ratio Tanzania! Na tulinganishe Na WHO or UN recommended ratio. Something tells me Tanzania hawana hela ya kuajiri hawa madaktari!
 
nahic watahitaji experienced doctors
Sidhani kama watawapata madaktari wazoefu, ajira hii haitabiriki. Halafu, madaktari huwa wanafanya mafunzo kwa njia ya vitendo kwa miaka miwili, nadhani inatosha kufanya wabobee kwa kiwango kizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…