Serikali ya Kenya muachieni Mchungaji Paul McKenzie haraka sana

Serikali ya Kenya muachieni Mchungaji Paul McKenzie haraka sana

Ila hapa kwetu tunae zumaradi ipo siku tutaskia waumini wake 100 wamekufa kwa kuambiwa na mungu wao watoe figo zao na moyo wamkabidhi wataenda peponi
 
Fahamuni kuwa walokole hawana imani za kishenzi kama zile. Ni watu wenye hekima na busara katika dunia hii, hawapendi dhambi, ni kukemea maovu yote. Wamejaaliwa neema kubwa kuuponya ulimwengu
Hakuna kundi la wapumbavu ndani ya Ukristo kama warokole mbona wakatoliki, wasabato, warutheran ni watu simart huwezi kuta wanafanya upumbavu kama warokole, kiufupi warokole ni watu wa hovyo.
 
Hakuna kundi la wapumbavu ndani ya Ukristo kama warokole mbona wakatoliki, wasabato, warutheran ni watu simart huwezi kuta wanafanya upumbavu kama warokole, kiufupi warokole ni watu wa hovyo.
acha upotoshaji, umesahau ya wasabato masaliia? Fahamu kuwa kote ni pumba tupu, hata unakoabudu mwendo ni uleule wa udanganyifu
 
acha upotoshaji, umesahau ya wasabato masaliia? Fahamu kuwa kote ni pumba tupu, hata unakoabudu mwendo ni uleule wa udanganyifu
Kubali ukatae warokole ni watu walio jaa upuuzi mwingi huwezi fananinisha na wasabato.
 
Huyo mackenzie hatumuachii KWA kesi ya mauaji ya watu 77.
Kama ni member mwenzio kwenye kundi lenu la kichawi imekula kwenu
 
Naam,

Tunaitaka serikali ya Kenya, William ruto kumuachia haraka sana mchungaji, nabii Paul McKenzie kwani swala la vifo vya watu 73 ni la kijinga na la kipuuzi mno ni lakujitakiaa ujinga uliopitiliza.

Haiwezekan Hadi sasa karne hii Kuna watu wajinga na Bado wanaishi. Ni vyema sana watu wajinga kama wale 73 wafe tu kwani hawana msaada wowote na taifa la Kenya, na nchi itakuwa imepunguza idadi ya watu wajinga kama wale waliokufa kizembe namna ile huko kilifi Kenya.

Unaaminishwa ujinga na bado unafanya tena bila kushtuka kuwa tunadanganywa mnakufa mnaanza kuwasumbua watu na maafsa wa serekali kisa ujinga wenu? Mimi nasemaje wajinga wafe tu wabaki venye vile Wana akili hkn namna ya kupunguza ujinga kama huu.

Asante sana nabii Paulo MacKenzie kwa kutusadia kupunguza watu idadi ya watu wajinga dunia ,umefanya vyema mno watu wajinga ndio chanzo cha umasikini, wajinga ndio chanzo cha chuki kwenye jamii, wajinga ndio maadui wa maendeleeo SAS wakazi gani kuishi, si wanaleta uharibifu kweye jamii. Ingetakiwa wafe 1000 wataobaki watakuwa na akili na mambo yataenda vyema sana.

Tumechoka na ujinga huu wa imani, imani na dini diini, mtume, mtume, nabii, nabii huu ni ujinga sana nimechukiazwa sana, walokole ni watu wa ajabu sana kweny jamii very sorry, hawaambiliki wala kushaurika kwa lolote wacha wafe no way ingekuwa mm ruto Wala sijiangaishi kufukua makuburi yao badala yake nashindilia zege tu.
Huyo Nabii Feki anatakiwa auwe Kwa kupewa uji Wa unga Wa sementi.

Mwamposa aliua Wachaga 17 hakuwekwa Hata mahabusu.

Pumbavu sana Shetani.
 
Narudia tena hapa Waislam hawahusiki wala hili halifananii na Uislam. Hili sio tatizo la Waislam. Lijadiliwe hivyo. Sio mnaanza kuingiza ingiza Uislam.

Msifiche fiche.
Wakati Wa hija mwanzoni watu waliokua wanaoufa sana kwa kukanyagana . Walikua wanakufa Kwa mamia wakati Wa kumpiga Shetani mawe.

Baadae nafikiri waliweka utaratibu Mzuri Ili kupunguza vifo.

Hizi Dini zinaendeshwa kimihemko sana Badala ya kusoma vitabu na kuacha Kila MTU atumie maarifa aliyopewa na Mungu Kwa ajili ya kutenda Kwa usahihi.

Kuna MTU anaweza akawadanganya watu kuwa Mnadhulumiwa na Watu Wa Dini Fulani hivyo twendeni tukawakate Mapanga na watu wakainuka na kwenda kuua Hata ndugu zao Wa kuzaliwa na Hata Wazazi wao.
Sidhani kama MUNGU aliwaumba wanadamu Katika Imani zinazohamasisha ujinga na kuuana.

Dini nzuri ni kumpenda Mungu kuliko vitu vyote , kuwapenda wengine , kuacha dhambi ,kutenda mema na kuwajali wengine kama ambavyo Kila MTU anataka wengine wamjali yeye.

Dini zote Zina mambo ambayo yameongezwa Chumvi katika taratibu ZAKE.
Japo Kwa Sasa Wakristo Ndio wamekoleza Chumvi Kwa Sababu ya kupenda sana fedha kuliko kumpenda Mungu na watu wengine. MTU anamwambia MTU auze nyumba yake akampe pesa Nabii na Nabii anachukua pesa Hizo na kujenga nyumba yake akaishi na MKE wake Kwa Raha mustarehe. Huo ni utapeli . Hawa wanaohubiri na kujiita manabii wanazidi sana tamaa ya Mali Kwa kisingizio kuwa Utajiri ni Baraka na Umaskini ni laana. Wakati vitabu Vya Dini havisemi hivyo Bali Kwa Waislam Umaskini ni mtihani na utajiri pia ni mtihani . Kila mmoja Ana mtihani wake . Tajiri ana nafasi ya kwenda Peponi akishinda mitihani yake Hali kadhalika maskini .

Kwa Wakristo ni Kwamba Tajiri kuingia ufalme Wa Mungu ni vigumu Kama ngamia kupenya kwenye Tundu la sindano. Alisema Yesu na yeye alikua anajua mambo mengi kuliko watu WOTE mpaka kizazi cha leo na hajawahi kukanusha kauli yake. Kwa Maana ya Kwamba Tajiri ni vigumu kujishusha na kujifanya Sawa na wengine mbele za MUNGU
 
acha upotoshaji, umesahau ya wasabato masaliia? Fahamu kuwa kote ni pumba tupu, hata unakoabudu mwendo ni uleule wa udanganyifu
Walokole mnazingua sana nyie, mambo mengi ya hovyo ni nyie ndo waanzilishi.
 
Walokole mnazingua sana nyie, mambo mengi ya hovyo ni nyie ndo waanzilishi.
fahamu kuwa hao unaowashutumu ndio mastering wa mienendo mema katika dunia hii. Ni wahuni ndio wanaoteketeza waumini wao, hakuna walokole wa kariba hiyo asilani
 
Walokole mnazingua sana nyie, mambo mengi ya hovyo ni nyie ndo waanzilishi.
fahamu kuwa hao unaowashutumu ndio mastering wa mienendo mema katika dunia hii. Ni wahuni ndio wanaoteketeza waumini wao, hakuna walokole wa kariba hiyo asilani
 
fahamu kuwa hao unaowashutumu ndio mastering wa mienendo mema katika dunia hii. Ni wahuni ndio wanaoteketeza waumini wao, hakuna walokole wa kariba hiyo asilani
Mienendo gani wakati tunawaona, kila kona kanisa.
 
watam charge kwa kosa gani ?

Kumhamasisha mtu kwa maneno akaibe kuku bila wewe kumsaidia kumuuza kuku au kumuazima kisu cha kumchinjia, ni kosa ?
 
watam charge kwa kosa gani ?

Kumhamasisha mtu kwa maneno akaibe kuku bila wewe kumsaidia kumuuza kuku au kumuazima kisu cha kumchinjia, ni kosa ?

Kuuza viungo vya wanadamu.
 
Hakuna kundi la wapumbavu ndani ya Ukristo kama warokole mbona wakatoliki, wasabato, warutheran ni watu simart huwezi kuta wanafanya upumbavu kama warokole, kiufupi warokole ni watu wa hovyo.

Tofautisha wapentekoste na wahuni. Upentekoste haujaanza kwa kina Mwamposa. Kasome historia ujue. Na makanisa yaliyoanzisha ulokole kwa hapa Tanzania ni sita tu.
 
Narudia tena hapa Waislam hawahusiki wala hili halifananii na Uislam. Hili sio tatizo la Waislam. Lijadiliwe hivyo. Sio mnaanza kuingiza ingiza Uislam.

Msifiche fiche.
Ila waislam sikuhizi wamepata akili sio kama enzi hizo wanajilipua wakiaminishwa kuwahi mabikra huko ahera,.. Du dini hizi kazi tunayo
 
fahamu kuwa hao unaowashutumu ndio mastering wa mienendo mema katika dunia hii. Ni wahuni ndio wanaoteketeza waumini wao, hakuna walokole wa kariba hiyo asilani
Tatizo pameibuka Injili ya kuhubiri fedha na mali.

Unakuta kanisa limejaa Masingle mother na Vijana wasio na KAZI Mwalimu au wenye KAZI maalumu lakini Wenye changamoto ya kuolewa au kuoa wakati huo huo Kuna wanaume Wachache majizi na Mafisadi wanaangalia Kwa umakini namna ya kupata mawindo ya Masingle mother na wengine kutafuta namna ya kuwafanya Vijana kuwa nyumba ndogo zao na machawa au Mashoga Zao. Wakati huo huo anayejiita Nabii au Mchungaji KAZI yake ni kuwapamba Kwa mahubiri ya utajirisho na Baraka.

Kama Kuna wakati Wa ya KUFANYA mahubiri na Injili ya kukemea dhambi na Kuomba rehema basi ni Wakati huu Wa kizazi hiki.
Lakini Hali ni Tofauti kwani pameibuka wimbi la wachungaji na manabii ambao ni zao la kukosekana Kwa ajira au tamaa ya fedha Hao ndio wanaowafanya Wakristo na walaokole Wote waonekane ni watu Wa Hovyo .
 
Back
Top Bottom