Serikali ya Kiislamu ya Iraq yapendekeza sheria Watoto Miaka tisa kuolewa

Serikali ya Kiislamu ya Iraq yapendekeza sheria Watoto Miaka tisa kuolewa

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Sheria mpya inayopendekezwa nchini Iraq inayolenga kupunguza umri wa ridhaa ya Ndoa kwa Wanawake hadi miaka tisa jambo linalolenga kuruhusu Wanaume Nchini humo kuoa Wanawake wakiwa na Umri mdogo, imepingwa vikali na Wanaharakati Nchini humo wakidai kuwa ni yenye kuhalalisha udhalilishaji wa kijinsia kwa Watoto ambapo pia inaelezwa kuwa Sheria hii inataka kufuta moja ya sheria bora zaidi za haki za Wanawake katika Mashariki ya Kati, ambayo inawapa Wanawake haki za kudai talaka, malezi ya Watoto, na urithi.

Wanaharakati na baadhi ya Wabunge wa Iraq wanapinga kwa nguvu pendekezo hili, wakisema kuwa litakuwa janga kwa haki za Wanawake na Watoto, Raya Faiq, ambaye ni Mratibu wa Makundi ya kupinga sheria hii, alisema kuwa pendekezo hili litaruhusu Ndoa za Watoto na kuminya haki za Familia za kukataa Ndoa hizo huku akiweka wazi kwamba sheria hii itakuwa ni njia ya kisheria ya kuruhusu udhalilishaji wa kijinsia kwa Watoto.

Aidha Serikali ya Iraq, kwa upande wake, inadai kuwa mabadiliko haya yatasaidia kufuata sheria za Kiislamu, wakisema kwamba yatawalinda Wasichana kutoka kwa mahusiano yasiyofaa lakini hata hivyo, Wanaharakati wanasisitiza kwamba sheria hii itawarudisha nyuma Wanawake na Watoto kwa miaka mingi.

Sheria hii ilipitishwa kwa mara ya pili Bungeni mnamo Septemba 16, 2024, na inatarajiwa kupitishwa tena kutokana na msaada kutoka Vyama vya Shia Nchini humo lakini hata hivyo inaelezwa si Vyama vyote vya Shia vinaunga mkono sheria hii, na bado kuna juhudi kubwa za kupinga.

Mapambano haya ni muhimu kwa Wanawake wa Iraq, ambao wanapinga vikali hatua hii, wakiitaka Serikali kuepuka kurejesha nyuma haki za msingi za Wanawake na Watoto.

====================================================

Iraq is set to pass legal amendments to the country's marriage law that allows men to marry girls as young as nine. Amendments have also been proposed to deprive women of the right to divorce, child custody and inheritance, reported The Telegraph.

The bill would also allow citizens to choose either religious authorities or the civil judiciary to decide on family affairs.

The conservative government led by a coalition of Shia parties aims to pass the proposed amendment in an attempt to protect girls from “immoral relationships”. The second amendment to the law was passed on September 16.

Source: Hindustan Times
 
Serikali ya bongo haitakubali upuuzi ufanyike katika nchi yake eti mtoto wa miaka tisa aolewe kisa sharia za kiislam. Waislam wa bongo hawataweza kutekeleza mtindo huo utaokafanywa na waislam wenzao wa iraq. Mtoto wa miaka tisa kwa bongo atakuwa darasa la tatu, sasa mtoto wa darasa la tatu ataweza kuhimili mikikimikiki ya maisha ya ndoa? Kwa bongo ni ubakaji na sheria kali ipo kuzuia upuuzi huo
 
Mama wa Yesu aliposwa na Joseph ana umri wa miaka 6 mlikuwa wapi hamkulalamika si mnasema Uislam tulicopy ukristo mbona hapo hamsemi tulicopy hio ya kuoa umri wa Maria 😄

Hivi mnajua mama yake Yesu alimzaa Yesu ana umri gani?

Poleni sana wavaa msalaba.

Afu hi mada ilisha tolewa hapa, tatizo akili zenu hazina kumbukumbu. Sijui shule mlikuwa mnashika number gani? Mimi nilikuwa 1 au 2 tena hio nikiwa niko draw na mwenzangu kama mkristo si unajua walimu wengi walikuwa wakristo time zile, au 3 kama nilichanganyikiwa.
 
Mama wa Yesu aliposwa na Joseph ana umri wa miaka 6 mlikuwa wapi hamkulalamika si mnasema Uislam tulicopy ukristo mbona hapo hamsemi tulicopy hio ya kuoa umri wa Maria 😄

Hivi mnajua mama yake Yesu alimzaa Yesu ana umri gani?

Poleni sana wavaa msalaba.

Afu hi mada ilisha tolewa hapa, tatizo akili zenu hazina kumbukumbu. Sijui shule mlikuwa mnashika number gani? Mimi nilikuwa 1 au 2 tena hio nikiwa niko draw na mwenzangu kama mkristo si unajua walimu wengi walikuwa wakristo time zile, au 3 kama nilichanganyikiwa.
Dogo una upumbavu mwingi, kwahiyo uko serious kabisa mtoto wa miaka 9 aolewe?
 
Sheria mpya inayopendekezwa nchini Iraq inayolenga kupunguza umri wa ridhaa ya Ndoa kwa Wanawake hadi miaka tisa jambo linalolenga kuruhusu Wanaume Nchini humo kuoa Wanawake wakiwa na Umri mdogo, imepingwa vikali na Wanaharakati Nchini humo wakidai kuwa ni yenye kuhalalisha udhalilishaji wa kijinsia kwa Watoto ambapo pia inaelezwa kuwa Sheria hii inataka kufuta moja ya sheria bora zaidi za haki za Wanawake katika Mashariki ya Kati, ambayo inawapa Wanawake haki za kudai talaka, malezi ya Watoto, na urithi.

Wanaharakati na baadhi ya Wabunge wa Iraq wanapinga kwa nguvu pendekezo hili, wakisema kuwa litakuwa janga kwa haki za Wanawake na Watoto, Raya Faiq, ambaye ni Mratibu wa Makundi ya kupinga sheria hii, alisema kuwa pendekezo hili litaruhusu Ndoa za Watoto na kuminya haki za Familia za kukataa Ndoa hizo huku akiweka wazi kwamba sheria hii itakuwa ni njia ya kisheria ya kuruhusu udhalilishaji wa kijinsia kwa Watoto.

Aidha Serikali ya Iraq, kwa upande wake, inadai kuwa mabadiliko haya yatasaidia kufuata sheria za Kiislamu, wakisema kwamba yatawalinda Wasichana kutoka kwa mahusiano yasiyofaa lakini hata hivyo, Wanaharakati wanasisitiza kwamba sheria hii itawarudisha nyuma Wanawake na Watoto kwa miaka mingi.

Sheria hii ilipitishwa kwa mara ya pili Bungeni mnamo Septemba 16, 2024, na inatarajiwa kupitishwa tena kutokana na msaada kutoka Vyama vya Shia Nchini humo lakini hata hivyo inaelezwa si Vyama vyote vya Shia vinaunga mkono sheria hii, na bado kuna juhudi kubwa za kupinga.

Mapambano haya ni muhimu kwa Wanawake wa Iraq, ambao wanapinga vikali hatua hii, wakiitaka Serikali kuepuka kurejesha nyuma haki za msingi za Wanawake na Watoto.

====================================================

Iraq is set to pass legal amendments to the country's marriage law that allows men to marry girls as young as nine. Amendments have also been proposed to deprive women of the right to divorce, child custody and inheritance, reported The Telegraph.

The bill would also allow citizens to choose either religious authorities or the civil judiciary to decide on family affairs.

The conservative government led by a coalition of Shia parties aims to pass the proposed amendment in an attempt to protect girls from “immoral relationships”. The second amendment to the law was passed on September 16.

Source: Hindustan Times
Nisahihi kama Momo alivyokua ana miaka 50+ alikakuza katoto Ka miaka 6 badae kalivyotimiza miaka 9 akakadanganya anakaingizia kichwa tuu hazamishi yote na akaanza kukaingilia Sembuse wafuasi wake ?
 
Dogo una upumbavu mwingi, kwahiyo uko serious kabisa mtoto wa miaka 9 aolewe?
Kwanza shika adabu zako mimi naweza kuwa na amri wa baba yako au mkubwa kwa baba yako. Pili siasa za nchi zingine wewe inakuhusu nini, dada yako au bint yako au shangazi zako wa Iraq?

Ujinga wenu mnadhani kuolewa ni umri wakati kuolewa ni kubaleghe kwa yule mtoto wakike. Afu kama serekali ya Iraq imeruhusu je wazazi wao wako wapi? Wewe una uchungu kuliko wazazi wa huyo bint atakaye taka kuolewa.

Hamjanijibu mama wa Yesu aliposwa na umri gani? Na alimzaa Yesu ana umri gani? Mbona mnakwepa au msalaba hapo uko njia panda.
 
Hawa wavaa vipedo, misuli na makobazi wameona kuwasubiria wanawali bikra 72 Huko jongomeo ni parefu sana Sasa wameamua kutuharibia watoto hukuhuku duniani 🤔
 
Kwanza shika adabu zako mimi naweza kuwa na amri wa baba yako au mkubwa kwa baba yako. Pili siasa za nchi zingine wewe inakuhusu nini, dada yako au bint yako au shangazi zako wa Iraq?

Ujinga wenu mnadhani kuolewa ni umri wakati kuolewa ni kubaleghe kwa yule mtoto wakike. Afu kama serekali ya Iraq imeruhusu je wazazi wao wako wapi? Wewe una uchungu kuliko wazazi wa huyo bint atakaye taka kuolewa.

Hamjanijibu mama wa Yesu aliposwa na umri gani? Na alimzaa Yesu ana umri gani? Mbona mnakwepa au msalaba hapo uko njia panda.
Mtu mwenye umri wa baba yangu hawezi kuwa na mawazo ya kipuuzi namna hiyo hata kama atakuwepo nitampinga hadharani kama wewe.

Hawa watu wa Iraq wamepumbazwa na dini kama ulivyopumbazwa wewe kuoa mtoto wa miaka 9.

Uzi huu unahusu Iraq kupendekeza sheria ya ndoa ya watoto, ukitaka habari za mama wa Yesu fungua uzi wake utajibiwa huko.
 
Mtu mwenye umri wa baba yangu hawezi kuwa na mawazo ya kipuuzi namna hiyo hata kama atakuwepo nitampinga hadharani kama wewe.

Hawa watu wa Iraq wamepumbazwa na dini kama ulivyopumbazwa wewe kuoa mtoto wa miaka 9.

Uzi huu unahusu Iraq kupendekeza sheria ya ndoa ya watoto, ukitaka habari za mama wa Yesu fungua uzi wake utajibiwa huko.
Nani aliye kuambia mimi nimekubaliana na uamuzi huo leta dalili, nikikuambia wewe ni bwege utabisha. Wewe utafanya nini kuwazuia wa Iraq wakiamua hio iwe ndio sheria, we nani mpaa useme sheria zao ni za kipuuzi 😄 Au unataka Iraq wakusikilize wewe hata wanakujua. Mimi siwezi kukubali kwanza niwe na mtoto hana adabu wakuingilia maisha ya watu au mataifa hayatanisaidia mimi au mtoto wangu.

Hapo unaonyesha vipi wewe huna adabu unaposema siwezi kukubaliana hata na baba yangu, hata kama unamawazo tofouti na baba yako ni adabu kunyamaza kimya sio kumpiga baba yako.

Narudia tena wapi niliposema nakubaliana na hio issue? Au unaropoka tu kama mlevi. Mimi watoto zangu vitu kama hivi wala huwa hawati comments sababu kila serekali au mzazi aliye kubali hayo ana mana yake sio lazima siri za watu wewe utake kuzijua. Haya nenda basi kawazuie Iraq wasiwaozeshe 😄
 
Nani aliye kuambia mimi nimekubaliaba na uamuzi huo leta dalili, nikikuambia wewe ni bwege utabisha. Wewe utafanya nini kuwazuia wa Iraq wakiamua hio iwe ndio sheria, we nani mpaa useme sheria zao ni za kipuuzi 😄 Au unataka Iraq wakusikilize wewe hata wanakujua. Mimi siwezi kukubali kwanza niwe na mtoto hana adabu wakuingilia maisha ya watu au mataifa hayatanisaidia mimi au mtoto wangu.

Hapo unaonyesha vipi wewe huna adabu unaposema siwezi kukubaliana hata na baba yangu, hata kama unamawazo tofouti na baba yako ni adabu kunyamaza kimya sio kumpiga baba yako.

Narudia tena wapi niliposema nakubaliana na hio issue? Au unaropoka tu kama mlevi. Mimi watoto zangu vitu kama hivi wala huwa hawati comments sababu kila serekali au mzazi aliye kubali hayo ana mana yake sio lazima siri za watu wewe utake kuzijua. Haya nenda basi kawazuie Iraq wasiwaozeshe 😄
Hapa tunatoa maoni ya kupinga, sheria kama ni mbovu haijalishi iwe Iraq, Tanzania au Marekani.

US na wengine Ulaya wamepitiaha sheria ya LGBT wewe huwa hupingi? kwanin unapinga inakuhusu?

Mwisho hapa tunatoa maoni ya kupinga sheria mbovu, uko tayari kunipa binti yako wa miaka 9 nimuoe?
 
Hapa tunatoa maoni ya kupinga, sheria kama ni mbovu haijalishi iwe Iraq, Tanzania au Marekani.

US na wengine Ulaya wamepitiaha sheria ya LGBT wewe huwa hupingi? kwanin unapinga inakuhusu?

Mwisho hapa tunatoa maoni ya kupinga sheria mbovu, uko tayari kunipa binti yako wa miaka 9 nimuoe?
Kwanza naona naongea na mtu asiye fahamu, hi mada ilisha kuja tukaiongelea imerudishwa kwa target gani? Nyie hamkuja toa maoni zaidi ya kuzushia Uislam uwongo, hio serekali ya Iraq nani anawambia inafata sheria ya Uislam? Vipi mkasema hio ni sheria ya Kislam? Pili mzazi akikubali kumuozesha bint yake au yule bint akikubali kuolewa wewe nani ubishe, kuna serekali inalazimisha ndoa? Hivi we leo wabunge waseme Tanzania tunaruhusu mabint wa miaka 9 waolewe wewe utawaozesha dada zako au bint zako, je wabunge wakisema ndio serekali itakubali au wazazi watakubali, hamuoni kama mnaongelea kitu sio serekali imeamua, au wazazi au hata watoto. Je wabunge wanapower kuozesha hao mabint kama wao hawataki au wazazi zao.

Kuhusu mimi bint zangu wewe nikuozeshe bint zangu mim kwa misingi ipi? Pili wapi nilipo sema mimi naruhusu watoto waolewe wana miaka 9, mbona huleti? Afu wewe sio standard ya watoto zangu hivyo usiendelee kuleta ujinga hapo, nikanza kuishambulia family yako bora epukana na huo ujinga.
 
Toka lini IRAQ imekuwa taifa la kislam kwa mleta UZI ungeandika IRAQ tu bila kutaja Uslamu ingekuwaje toka lini Iraq inatqjwa kwa Iman ya watu wake sisi tunajua Iran ndio taifa la kislamu iweje ije kwenye Iraq ndiomana nawaahtua waomjibu uyo katumwa au kajip jukum yeye kama yy kufanya propaganda kumsaidia mungu wake sijui jehova au yule u3 uku akiupaka matope Dini ya kIslam kinafiki pasi na jibu swali dogo tu Iyo Dolla ya Iraq lini imekuwa ya ISLAMQ kwaiyo uko usipovaa Ijabu unakamatwa kama Iran!!!!! Nikisema Bartazari alifutua dhambi kwa kupiga miti mke wa mchungaji wake nitakosea kweli ikiwa wachungaji ndio awa wanawalisha maneno ya uwongo vijana wao kiasi wanaleta propaganda za kitoto kuchafua IMAN ya wengine!!!!! UISLAM utosonga mbeleee nyie leteni tu kila aina kashfa chukuu roooo mbayaaa mifukoni weupe imejaaa usda chuki ela zitakaa wapi. Tafuta wenye chuki wengi majanga wa mizinga kuboom kukopa akili wamezifunga na chuki.
 
Kwanza shika adabu zako mimi naweza kuwa na amri wa baba yako au mkubwa kwa baba yako. Pili siasa za nchi zingine wewe inakuhusu nini, dada yako au bint yako au shangazi zako wa Iraq?

Ujinga wenu mnadhani kuolewa ni umri wakati kuolewa ni kubaleghe kwa yule mtoto wakike. Afu kama serekali ya Iraq imeruhusu je wazazi wao wako wapi? Wewe una uchungu kuliko wazazi wa huyo bint atakaye taka kuolewa.

Hamjanijibu mama wa Yesu aliposwa na umri gani? Na alimzaa Yesu ana umri gani? Mbona mnakwepa au msalaba hapo uko njia panda.
Salamaleko shekh!?

Nipe binti yako wa miaka 9 nimuoe jiwe najilia vyangu shekh
 
Salamaleko shekh!?

Nipe binti yako wa miaka 9 nimuoe jiwe najilia vyangu shekh
Sawa ukisha pata certificate ya ushoga Tel Aviv tutakuozesha kitoto cha shangazi yako sababu ni ukoo huo huo wa kishoga 😄
 
Sheria mpya inayopendekezwa nchini Iraq inayolenga kupunguza umri wa ridhaa ya Ndoa kwa Wanawake hadi miaka tisa, jambo linalolenga kuruhusu Wanaume Nchini humo kuoa Wanawake wakiwa na Umri mdogo imepingwa vikali na Wanaharakati Nchini humo wakidai kuwa ni yenye kuhalalisha udhalilishaji wa kijinsia kwa Watoto ambapo pia inaelezwa kuwa Sheria hii inataka kufuta moja ya sheria bora zaidi za haki za Wanawake katika Mashariki ya Kati, ambayo inawapa Wanawake haki za kudai talaka, malezi ya Watoto, na urithi.

Wanaharakati na baadhi ya Wabunge wa Iraq wanapinga kwa nguvu pendekezo hili, wakisema kuwa litakuwa janga kwa haki za Wanawake na Watoto, Raya Faiq, ambaumye ni Mratibu wa Makundi ya kupinga sheria hii, alisema kuwa pendekezo hili litaruhusu Ndoa za Watoto na kuminya haki za Familia za kukataa Ndoa hizo huku akiweka wazi kwamba sheria hii ingekuwa ni njia ya kisheria ya kuruhusu udhalilishaji wa kijinsia kwa Watoto.

Aidha Serikali ya Iraq, kwa upande wake, inadai kuwa mabadiliko haya yatasaidia kufuata sheria za Kiislamu, wakisema kwamba yatawalinda Wasichana kutoka kwa mahusiano yasiyofaa lakini hata hivyo, Wanaharakati wanasisitiza kwamba sheria hii itawarudisha nyuma Wanawake na Watoto kwa miaka mingi.
Screenshot_2024-11-10-22-04-22-363_com.twitter.android~2.jpg
 
Shida sio kuwepo iyo sheria au aipo shida kwann leo tumeongeza jina ktk ichi ya Iraq ety leo Iraq ya kislamu apo ndio chuki zenu zinajibaini siku zote ile inch inaitwa IRAQ leo UsIam umeingiaje 😅😅😅 Boban sunzu nawewe umekuwa mpiga propaganda za kidin😀i kijana umekwama seem. tunakueshimu lkn kumbe naww walewale mapambio ya kipropaganda nawakumbusha nyie ndio mnaikuza iyo Iman lkn mnazani mnaipinga masikini. Aibuiii Boban sunzu.
 
Chuki za kidini zinakufanya uwe tegemezi unazuiya lizk zako kwa chuki dhidi ya Binadam wenzio ambao wete ni wamumgu vyovyote iwavyo akuna asie wa mungu sasa mwili wako kuujaza chuki dhidi y wengine kisa DINI yake nakwambia wewe safisa moyo wako ifukuze chuki ktk nafsi yako wapende watu wote ishilikiana na watu wote wapinge watu wanafiki Nafsi ikiwa safi wewe jua utakuwa Na pesa tu lkn chuki unazipa kijiwe kifuani kwako husda rooo mbaya. Yani ipo ivi chuki ikijaa nafsi mwako uwez itoa kiraisi na itakuandama inakupotezea watu muimu kwako mfanya umekwama umeanda kopa iwe dukani au mtu umemuazima pesa sasa ile chuki inakuzuia usilipe deni aijalishi umemkopa nani lkn ile chuki itakuzuia badala yake utawaza kukopa kwa mwingine napo ulipi
Ata awe mnaenda wote iwe msikitin au kanisani lkn umlipi na ndio chuki inasakama mwili heshima yako utajo wako
ukiona mtu anafanya propaganda za kidin muogope uyo kajaza chuki kifuani kwake ambayo sio salama kwake kabisa. Propaganda za kidini utazijuaje ndio kama ivyo mtu anatafuta kitu ili afungue UZI wenye kichwa kuusu Uslamu au ukabila langi ya mtu. Natetea zaid Waislamu au Warabu kwann namm ninachuki dhidi ya iman nyengine jibu ni apana sina chuki yyte lkn sote tumashidi apa jamvini sijaona propaganda inayolenga ukristo sijaona lkn Nyuzi nyingi apa watu wanafungua kwa mpangilio sijui ni mtu m1 au kikundi ambacho kinaendesha iyo propaganda dhidi ya Uslamu!! Au Warabu!! Uzi zilivopo ukiziesabu utaona zipo kazaa zinalenga aya makundi kuyadhalilisha au kuyadunisha! ILI UJUE HII PROPAGANDA YA KIDIN UTAONA Uslamu ndio unatangulizwa mbele au Uwarabu sasa mnaojibu sijui amjagundua kuwa ni mipango ya propaganda iyolenga Imani laah. Niwatakie siku njema watanzania wanzabgu.
 
Back
Top Bottom