Serikali ya Kiislamu ya Iraq yapendekeza sheria Watoto Miaka tisa kuolewa

Ubakaji ubakaji, ubakaji ad infinitum. Dini ya namna hii ni ya kishetani. Inanikumbusha satanic verses.
 
Hamjanijibu mama wa Yesu aliposwa na umri gani? Na alimzaa Yesu ana umri gani? Mbona mnakwepa au msalaba hapo uko njia panda.
Kwasababu Ukristo umepitia kipindi cha enlightenment, kiufupi tamaduni walizokuwanazo watu wa mashariki ya kati kipindi hicho ambazo hazina misingi sasa na zinaonesha ukandamizaji wa haki za binadamu tukiachana nazo
Wenzetu naona kila siku mnajaribu kujustify tamaduni za miaka hiyo zitumike sasa (Wanzanzibari kula kenge (mijusi) eti kisa kwa waarabu waliokuwepo jangwani ilikuwa suna
 
Ndio maana wazungu huwa wanawapiga kumbe ni akili kama hizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…