misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 14,244
- 10,073
Umekosea mleta Uzi kutojimbanua ka kawaida yenu kuwa ni ex dstv au mganga wa kienyeji na ramli chonganishi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna magreen gadi yameanguka na gari huko yalikuwa yanajiandaa kuwapumbaza watanzania kwa miale ya moto kafuatilie habari zao ujue mangpi yamedanja ukale mpunga na kusunda rambirambi.Umekosea mleta Uzi kutojimbanua ka kawaida yenu kuwa ni ex dstv au mganga wa kienyeji na ramli chonganishi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkubwa pitia tena taarifa ya Bunge hawajasema wamesusia ofisi ya CAG na wala kususia ofisi ya CAG walichokisema ni kufanya nae kazi, ukielewa hapo nadhani unaweza kuelewa nilichokiandikaBunge limesema "halifanyi kazi na Asaad/CAG" sasa ikitokea imepelekwa report ya ukaguzi kama katiba inavyoelekeza nayo imesainiwa na Prof. Asaad, yule aliyeazimiwa kususiwa kazi zake, nini kitafuata kama sii kabrasha kufungiwa kabatini au kakataliwa kupokelewa kabisaaaa!!
we umeiona hiyo version original? au ushabiki maandaziBungeni itaenda version ile ile Au iliyohaririwa?
we umeiona hiyo version original? au ushabiki maandazi
Sasa simpaka waamue kuifuata hiyo katiba??Nadhani tunachanganya Mambo kidogo Kwa uelewa wangu
Tukijikimbusha kidogo kabla ya Kikwete,Bunge lilikuwa halifanyi kazi Kwa pamoja na CAG ila walikuwa wanafanyia kazi ripoti ya CAG iliyoletwa na Rais Kwa mujibu wa katiba ya nchi inavyotaka
Katika kipindi cha kikwete ndio ukaja utaratibu wa CAG kufanya kazi na Bunge Kwa maana kwamba anaipeleka ripoti yake Kwa Rais pia anawajibika kupeleka ripoti hiyo ktk Bunge na pia kusaidia kamati ya Bunge inayojadili ripoti yake kutafsuri au kufafanua sehemu ambayo wanakamati wameshindwa kuelewa Kwa undani,hayo yota yanafanika bila kutajwa ktk katiba
Hivyo kilichofanywa na Bunge ni kurejea utaratibu wa awali wa kupokea ripoti ya CAG kutoka Kwa Rais wa nchi na kuijadili na kutoa maoendekezo
Na huo ndio utaratibu unaotamkwa na katiba hivyo wataendelea nao wala sioni sehemu ambayo itamlazimisha Rais kuomba Bunge wapokee ripoti ya CAG kwani ni takwa la katiba
Mniwie radhi ya kwamba sitawatania kila kitu.
Lengo ni kuhakikisha anamiminiwa sifa kutoka kila pembe ya nchi.
Bunge litaombwa kuipokea na kuijadili report ya Mdhibiti na mkaguzi wa hesabu za serikali CAG Prof. Asaad.
Spika ndugai atawarai wabunge ya kwamba wakubali ombi la kiongozi mkuu wa serikali, waweke kando msimamo wa azimio lao (bunge) na kukubali kuipokea na kuipa kamuda kadoooogo ka kuijadili.
Kina Jenista na vibajaji ndio watakuwa wachangiaji wakuu ambao kimkakati watatumia muda wote kumsifu na kumtukuza mfalme kwamba ana busara saaana.
Kitakachofuata ni maandamano ya kulisifu jiwe nchi nzima.
"ya nini malumbano ya nini maneno, Najiweka pembeni naepuka msongano" (sijui nani waliimbaga huu wimbo)
Kwani kiutaratibu huwa wanafanya kazi gani na CAG ambaye kwa sasa ni Prof. Asaad?!Mkubwa pitia tena taarifa ya Bunge hawajasema wamesusia ofisi ya CAG na wala kususia ofisi ya CAG walichokisema ni kufanya nae kazi, ukielewa hapo nadhani unaweza kuelewa nilichokiandika
Na huu nao ni mkanganyiko. Taarifa zinasema limeazimia kutofanya kazi na CAG, wala sio ofisi ya CAG. Kwa sasa CAG ni Prof. Asad. Natarajia baada ya uteuzi wa CAG mwingine bunge litakuja na azimio la kutengua uamuzi wa kumsusa CAG. Vinginevyo tutarajie viroja vya mwaka!!Nimeuliza humu, bunge limekataa kufanya kazi na ofisi ya CAG au na prof Assad? Maana kama ni mtu (mkosaji) ofisi bado ipo ma na watendaji wengine
huu ndio ugonjwa wa JIWE wa kukurupuka amewaambukiza watoto wake nao wanakurupuka kama JIWENimeuliza humu, bunge limekataa kufanya kazi na ofisi ya CAG au na prof Assad? Maana kama ni mtu (mkosaji) ofisi bado ipo ma na watendaji wengine
KabisaaEwe Tanzania Tanzania, mama yangu Tanzania mbona umegeuka na kuwa kahaba? Mbona umebadilika hivi mama yangu? Ya nn kutudhalilisha watoto wako? Watazame majirani zetu wanavyokusema. Mama huu ukahaba utaisha lin?
Tatizo lako hata humjui mwenyekiti wa PAC, wewe unayemuongelea hapa alikuwa mwenyekiti awamu ya nne (2010 - 2015)Ndugai anaangalia jinsi ya kum-fix.
Options zipo nyingi ikiwemo:-
Ukifanya hivi chama chako hakitafutwa nacho kitakuwa chama kikuu cha upinzani (hataambiwa "chama kikuu cha upinzani bungeni")
Mtaona sarakasi hatari!!!
Mniwie radhi ya kwamba sitawatania kila kitu.
Lengo ni kuhakikisha anamiminiwa sifa kutoka kila pembe ya nchi.
Bunge litaombwa kuipokea na kuijadili report ya Mdhibiti na mkaguzi wa hesabu za serikali CAG Prof. Asaad.
Spika ndugai atawarai wabunge ya kwamba wakubali ombi la kiongozi mkuu wa serikali, waweke kando msimamo wa azimio lao (bunge) na kukubali kuipokea na kuipa kamuda kadoooogo ka kuijadili.
Kina Jenista na vibajaji ndio watakuwa wachangiaji wakuu ambao kimkakati watatumia muda wote kumsifu na kumtukuza mfalme kwamba ana busara saaana.
Kitakachofuata ni maandamano ya kulisifu jiwe nchi nzima.
"ya nini malumbano ya nini maneno, Najiweka pembeni naepuka msongano" (sijui nani waliimbaga huu wimbo)
You are sick bro|||Mniwie radhi ya kwamba sitawatania kila kitu.
Lengo ni kuhakikisha anamiminiwa sifa kutoka kila pembe ya nchi.
Bunge litaombwa kuipokea na kuijadili report ya Mdhibiti na mkaguzi wa hesabu za serikali CAG Prof. Asaad.
Spika ndugai atawarai wabunge ya kwamba wakubali ombi la kiongozi mkuu wa serikali, waweke kando msimamo wa azimio lao (bunge) na kukubali kuipokea na kuipa kamuda kadoooogo ka kuijadili.
Kina Jenista na vibajaji ndio watakuwa wachangiaji wakuu ambao kimkakati watatumia muda wote kumsifu na kumtukuza mfalme kwamba ana busara saaana.
Kitakachofuata ni maandamano ya kulisifu jiwe nchi nzima.
"ya nini malumbano ya nini maneno, Najiweka pembeni naepuka msongano" (sijui nani waliimbaga huu wimbo)
Tatizo linatoka wapi mkuu? Nimekwambia "sabufa" anaperuzi "options" nikatupia kamfano geresha! Hahaaahjajjah naona unapumua ya kwamba umepata cha kumtetea ******!!!!!Tatizo lako hata humjui mwenyekiti wa PAC, wewe unayemuongelea hapa alikuwa mwenyekiti awamu ya nne (2010 - 2015)