Tetesi: Serikali ya Magufuli kuipeleka bungeni report ya CAG Asaad kwa lengo maalum!!

Tetesi: Serikali ya Magufuli kuipeleka bungeni report ya CAG Asaad kwa lengo maalum!!

NGOJA AJAE KWENYE RADAR

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ataondoka kazini kwa yafuatayo;

a.Kustaafu

b.Kuugua

c.Kwa sababu ya tabia mbaya, au kwa kuvunja masharti ya sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma. Ibara ya 144

v. Kuondolewa kazini kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ni mchakato mrefu unaoanza na Rais kuteua Tume Maalum ambayo itakuwa na Mwenyekiti na Wajumbe wengine wasiopungua wawili. Ibara ya 144 (3).
 
Ndiyo hapo tutajua pasi na Shaka kuwa bunge linabariki serikali kuendelea na ubadhilifu
Bunge limesema "halifanyi kazi na Asaad/CAG" sasa ikitokea imepelekwa report ya ukaguzi kama katiba inavyoelekeza nayo imesainiwa na Prof. Asaad, yule aliyeazimiwa kususiwa kazi zake, nini kitafuata kama sii kabrasha kufungiwa kabatini au kakataliwa kupokelewa kabisaaaa!!

In God we trust
 
Mkubwa pitia tena taarifa ya Bunge hawajasema wamesusia ofisi ya CAG na wala kususia ofisi ya CAG walichokisema ni kufanya nae kazi, ukielewa hapo nadhani unaweza kuelewa nilichokiandika
Hizi ripoti zimeandaliwa na kusainiwa na prof assad. Kama Kuna maelezo yoyote ya tafsiri ya hii ripoti yeye Ndo anaweza kuitoa mwenyewe au kwa kutumia mwakilishi/msaidizi. Taarifa iliyoandaliwa na kusainiwa na mtu usiyetaka kufanya nae kazi ukiisoma na kuijadili na kuitolea maamuzi utasema hufanyi naye kazi? Naomba uangalie mambo kwa umakini.
Bunge linachomaanisha ni kwamba ripoti ya CAG assad hawatoitambua sababu ina signature ya prof assad na yeye hawafanyi nae kazi. wakiisoma hiyo ripoti na kuijadili basi maana ya sentensi hatufanyi nae kazi itakuwa haipo.
 
Ndugai anaangalia jinsi ya kum-fix.
Options zipo nyingi ikiwemo:-
Ukifanya hivi chama chako hakitafutwa nacho kitakuwa chama kikuu cha upinzani (hataambiwa "chama kikuu cha upinzani bungeni")

Mtaona sarakasi hatari!!!
Ina maana wewe hujui mwenyekiti wa PAC ni nani? Natilia shaka uelewa wako na sambamba na hilo nachelea kusema kuwa ulicholeta chaweza kuwa UZUSHI TU hakina ukweli wowote...
 
Ina maana wewe hujui mwenyekiti wa PAC ni nani? Natilia shaka uelewa wako na sambamba na hilo nachelea kusema kuwa ulicholeta chaweza kuwa UZUSHI TU hakina ukweli wowote...
Wewe ndiye uelewa wako ni mdogo naona umetawaliwa zaidi na jaziba za kiitikadi

In God we trust
 
Ina maana wewe hujui mwenyekiti wa PAC ni nani? Natilia shaka uelewa wako na sambamba na hilo nachelea kusema kuwa ulicholeta chaweza kuwa UZUSHI TU hakina ukweli wowote...
Kiwango chako cha uelewa ni kidogo sana!

"Option zipo nyingi" kama neno hilo huna uwezo wa kulielewa hivi kweli unaweza kutofautisha kati ya CAG prof. Assad na prof. Assad CAG?
 
Ndugaye hajitambui maana anachokifanya ni muendelezo wa kuruhusu jazba kutawala maamuzi ya kiuongozi na naona anajichosha tu
Hizi ripoti zimeandaliwa na kusainiwa na prof assad. Kama Kuna maelezo yoyote ya tafsiri ya hii ripoti yeye Ndo anaweza kuitoa mwenyewe au kwa kutumia mwakilishi/msaidizi. Taarifa iliyoandaliwa na kusainiwa na mtu usiyetaka kufanya nae kazi ukiisoma na kuijadili na kuitolea maamuzi utasema hufanyi naye kazi? Naomba uangalie mambo kwa umakini.
Bunge linachomaanisha ni kwamba ripoti ya CAG assad hawatoitambua sababu ina signature ya prof assad na yeye hawafanyi nae kazi. wakiisoma hiyo ripoti na kuijadili basi maana ya sentensi hatufanyi nae kazi itakuwa haipo.

In God we trust
 
Kiwango chako cha uelewa ni kidogo sana!

"Option zipo nyingi" kama neno hilo huna uwezo wa kulielewa hivi kweli unaweza kutofautisha kati ya CAG prof. Assad na prof. Assad CAG?
Yaani kwa mujibu wa maelezo yako ni kuwa Zitto bado ndiye mwenyekiti wa PAC ... Nakuondoa tongotongo tu kuwa Zitto sio mwenyekiti wa PAC , you are living in the past ...
 
Yaani kwa mujibu wa maelezo yako ni kuwa Zitto bado ndiye mwenyekiti wa PAC ... Nakuondoa tongotongo tu kuwa Zitto sio mwenyekiti wa PAC , you are living in the past ...
Aliyesoma na aonyeshe nilipomtaja zito.
Ninauhakika unajua kusoma, nina ushahidi kuwa hujui kuelewa!!
Laiti ungejua kuelewa usingewakejeli NUHU na timu ya wajenga SAFINA.
 
Hatari yaani mpigaji mzalendo namba moja toka Tanzania iumbwe anaogopa kukaguliwa ili uzalendo wake uonekane apate sifa zake .Sasa sarakasi zote hizi nia ni kukwepa ripoti ya CAG kujadiliwa , inaonekana safari hii kavunja rekodi ya mwaka Jana ya tilioni 1.5-2.4 .voti namba ishirini .
 
Nimeuliza humu, bunge limekataa kufanya kazi na ofisi ya CAG au na prof Assad? Maana kama ni mtu (mkosaji) ofisi bado ipo na ina watendaji wengine
Sheria inasema kutakuwa na Mdhibiti wa Hesabu za serikali yaaani Mtu. Prof. Hajawah kufanya kaz na Bunge nje zaidi ya U CAG wake kwahiyo kusema watafanya kazi na ofis ni kufuta sifuri kuandika ooo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom