Tetesi: Serikali ya Magufuli kuipeleka bungeni report ya CAG Asaad kwa lengo maalum!!

Tetesi: Serikali ya Magufuli kuipeleka bungeni report ya CAG Asaad kwa lengo maalum!!

Ewe Tanzania Tanzania, mama yangu Tanzania mbona umegeuka na kuwa kahaba? Mbona umebadilika hivi mama yangu? Ya nn kutudhalilisha watoto wako? Watazame majirani zetu wanavyokusema. Mama huu ukahaba utaisha lin?

Umeasisi SADC lakini sasa umeitelekeza?
 
Ewe Tanzania Tanzania, mama yangu Tanzania mbona umegeuka na kuwa kahaba? Mbona umebadilika hivi mama yangu? Ya nn kutudhalilisha watoto wako? Watazame majirani zetu wanavyokusema. Mama huu ukahaba utaisha lin?
Tanzania siyo Kahaba ila kuna watu wachache wenye dhamana
 
Nadhani tunachanganya Mambo kidogo Kwa uelewa wangu
Tukijikimbusha kidogo kabla ya Kikwete,Bunge lilikuwa halifanyi kazi Kwa pamoja na CAG ila walikuwa wanafanyia kazi ripoti ya CAG iliyoletwa na Rais Kwa mujibu wa katiba ya nchi inavyotaka
Katika kipindi cha kikwete ndio ukaja utaratibu wa CAG kufanya kazi na Bunge Kwa maana kwamba anaipeleka ripoti yake Kwa Rais pia anawajibika kupeleka ripoti hiyo ktk Bunge na pia kusaidia kamati ya Bunge inayojadili ripoti yake kutafsuri au kufafanua sehemu ambayo wanakamati wameshindwa kuelewa Kwa undani,hayo yota yanafanika bila kutajwa ktk katiba
Hivyo kilichofanywa na Bunge ni kurejea utaratibu wa awali wa kupokea ripoti ya CAG kutoka Kwa Rais wa nchi na kuijadili na kutoa maoendekezo
Na huo ndio utaratibu unaotamkwa na katiba hivyo wataendelea nao wala sioni sehemu ambayo itamlazimisha Rais kuomba Bunge wapokee ripoti ya CAG kwani ni takwa la katiba
Asante kwa ufafanuzi mzuri
 
Atapeleka hoja kupitia kwa mwanasheria mkuu kwamba wamsamehe tu Prof. Assad na wakubali kujadili. Nao watakubali na watapitisha ajenda ya kumpongeza mh Rais kwa busara. Then hakitajadiliwa cha maana
 
Ewe Tanzania Tanzania, mama yangu Tanzania mbona umegeuka na kuwa kahaba? Mbona umebadilika hivi mama yangu? Ya nn kutudhalilisha watoto wako? Watazame majirani zetu wanavyokusema. Mama huu ukahaba utaisha lin?
Mama yetu Tanzania kawa Nguchawado
 
Hapo ndio utakapo jua bunge lina vilaza vingi. Aliekagua na kujua mazuri na mabaya ni mwingne sasa inajengwa hoja ili tu asije akasema zaidi maana prof Assad hana muda wa kuficha kwahyo mzee ndugai keshapangwa teyar kutoka huko baharini.

Et bunge hawataki kufanya kaz na prof Assad nan atasoma ripoti na je atakae soma ripot anajua uhalisia wa mambo au ndio funika kombe mwanaharam apite?

Wasitufanye wajinga watz familia zao zinaenda choon kwa kodi zetu.

Watz waoga sana nikuingia front line tu na kumtaka raisi avunje bunge lote na kusitisha mishahara ya wabunge wote tuone sasa kama hawatokuwa na akili.
 
Mniwie radhi ya kwamba sitawatafunia kila kitu.

Lengo ni kuhakikisha anamiminiwa sifa kutoka kila pembe ya nchi.

Bunge litaombwa kuipokea na kuijadili report ya Mdhibiti na mkaguzi wa hesabu za serikali CAG Prof. Asaad.

Spika ndugai atawarai wabunge ya kwamba wakubali ombi la kiongozi mkuu wa serikali, waweke kando msimamo wa azimio lao (bunge) na kukubali kuipokea na kuipa kamuda kadoooogo ka kuijadili.

Kina Jenista na vibajaji ndio watakuwa wachangiaji wakuu ambao kimkakati watatumia muda wote kumsifu na kumtukuza mfalme kwamba ana busara saaana.

Kitakachofuata ni maandamano ya kulisifu jiwe nchi nzima.

"ya nini malumbano ya nini maneno, Najiweka pembeni naepuka msongano" (sijui nani waliimbaga huu wimbo)
Una kila darili ya kuwa HASIDI. Hasadi ni kitendo cha kuchukia Neema aliyoipata mwenzio.

Pole sana ndugu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mchezo ule ule wa kutengeneza tatizo halafu mtu yule yule anajifanya ametatua tatizo na kuitisha maandamano ya kumsifia ishiiii maccm buana yapo kama telemundo
Juhudi za kusifiwa ni nyingi mno kipindi hichi nafikiri ni arakati za kuuadaa ulimwengu huko mbeleni
 
Nimeamini maneno ya zzk kuwa ndani ya bunge kuna wabunge makasuku
"vasheni" haina "impakti" kwa maana haitajadiliwa.
ni kusifu na kuabudu mwanzo mwisho.

In God we trust
 
Mwenyekiti wa PAC ambae ndio mhusika wa Moja kwa Moja wa Reports Za CAG alitakiwa atoe Kauli yake
Hawezi kupata huo ujasiri maana ataelekezwa nini cha kufanya ili mradi awafurahishe watu

In God we trust
 
Na omwami alivyokuwa na tamaa atauingia huo mkenge
Ndugai anaangalia jinsi ya kum-fix.
Options zipo nyingi ikiwemo:-
Ukifanya hivi chama chako hakitafutwa nacho kitakuwa chama kikuu cha upinzani (hataambiwa "chama kikuu cha upinzani bungeni")

Mtaona sarakasi hatari!!!

In God we trust
 
Lawama zote zimwendee lubuvaa
Ewe Tanzania Tanzania, mama yangu Tanzania mbona umegeuka na kuwa kahaba? Mbona umebadilika hivi mama yangu? Ya nn kutudhalilisha watoto wako? Watazame majirani zetu wanavyokusema. Mama huu ukahaba utaisha lin?

In God we trust
 
Back
Top Bottom