Tetesi: Serikali ya Magufuli kuipeleka bungeni report ya CAG Asaad kwa lengo maalum!!

Tetesi: Serikali ya Magufuli kuipeleka bungeni report ya CAG Asaad kwa lengo maalum!!

Aliyekagua na kudhibiti ni Prof. Asaad, CAG.
Ukiitanguliza CAG ukamalizia na Asaad unacheza mziki ndani ya ukumbi huo huo!!
Hakuna ofisi inaitwa CAG, ofisi ni National Audit Office, kwa sasa ukimukata Prof Assad ni kwamba umemkata CAG na ukimkataa CAG umemkataa Prof Assad.

Ndo maana kwenye reports zake anatumia I (mimi) CAG then ndo anaweka jina. Mtu mwingine akisaini anaweka kabisa for CAG.

Wangesema wameacha kufanya kazi na CAG Prof Mussa Assad na sio National Audit Office.
 
Nimeuliza humu, bunge limekataa kufanya kazi na ofisi ya CAG au na prof Assad? Maana kama ni mtu (mkosaji) ofisi bado ipo na ina watendaji wengine
Baad ya kusikia maswali hayo mitandaoni Nduagai amelitolea ufafanuzi wake kwamba Bunge lilikataa kufanya kazi na Asad (Professor) na sio ofisi ya CAG, Naamini kuna mkanganyiko wa hali ya juu hapa, Lakini pia akaongeza kusema kwamba hiyo ripoti ya mkaguzi ikipelekwa Bungeni wakakuta imesainiwa na Asad hawataipokea, hii ndio tanzania ya viwanda
 
yani version ya CAG huwa haihaririwi yani ndo maana katiba I nampa mamlaka CAG endapo rais ata iwasilisha bungeni ndani ya siku saba CAG ataipeleka mwenyew report na bunge halijapewa mamlaka ya kukataaa kutokea report ya CAG....ila wa naweza waka ijadili au kutokuijadili
Bungeni itaenda version ile ile Au iliyohaririwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mniwie radhi ya kwamba sitawatafunia kila kitu.

Lengo ni kuhakikisha anamiminiwa sifa kutoka kila pembe ya nchi.

Bunge litaombwa kuipokea na kuijadili report ya Mdhibiti na mkaguzi wa hesabu za serikali CAG Prof. Asaad.

Spika ndugai atawarai wabunge ya kwamba wakubali ombi la kiongozi mkuu wa serikali, waweke kando msimamo wa azimio lao (bunge) na kukubali kuipokea na kuipa kamuda kadoooogo ka kuijadili.

Kina Jenista na vibajaji ndio watakuwa wachangiaji wakuu ambao kimkakati watatumia muda wote kumsifu na kumtukuza mfalme kwamba ana busara saaana.

Kitakachofuata ni maandamano ya kulisifu jiwe nchi nzima.

"ya nini malumbano ya nini maneno, Najiweka pembeni naepuka msongano" (sijui nani waliimbaga huu wimbo)
Jiwe sasa linakua jabali. Endeleeni kubeza jiwe kama halikuwaangukia na kuwapondaponda wapinga maendeleo na vibaraka wenu.
 
Baad ya kusikia maswali hayo mitandaoni Nduagai amelitolea ufafanuzi wake kwamba Bunge lilikataa kufanya kazi na Asad (Professor) na sio ofisi ya CAG, Naamini kuna mkanganyiko wa hali ya juu hapa, Lakini pia akaongeza kusema kwamba hiyo ripoti ya mkaguzi ikipelekwa Bungeni wakakuta imesainiwa na Asad hawataipokea, hii ndio tanzania ya viwanda
Wameipokea au hawakuipokea?
 
Hakuna ofisi inaitwa CAG, ofisi ni National Audit Office, kwa sasa ukimukata Prof Assad ni kwamba umemkata CAG na ukimkataa CAG umemkataa Prof Assad.

Ndo maana kwenye reports zake anatumia I (mimi) CAG then ndo anaweka jina. Mtu mwingine akisaini anaweka kabisa for CAG.

Wangesema wameacha kufanya kazi na CAG Prof Mussa Assad na sio National Audit Office.
Report imesainiwa na nani?
 
Nadhani tunachanganya Mambo kidogo Kwa uelewa wangu
Tukijikimbusha kidogo kabla ya Kikwete,Bunge lilikuwa halifanyi kazi Kwa pamoja na CAG ila walikuwa wanafanyia kazi ripoti ya CAG iliyoletwa na Rais Kwa mujibu wa katiba ya nchi inavyotaka
Katika kipindi cha kikwete ndio ukaja utaratibu wa CAG kufanya kazi na Bunge Kwa maana kwamba anaipeleka ripoti yake Kwa Rais pia anawajibika kupeleka ripoti hiyo ktk Bunge na pia kusaidia kamati ya Bunge inayojadili ripoti yake kutafsuri au kufafanua sehemu ambayo wanakamati wameshindwa kuelewa Kwa undani,hayo yota yanafanika bila kutajwa ktk katiba
Hivyo kilichofanywa na Bunge ni kurejea utaratibu wa awali wa kupokea ripoti ya CAG kutoka Kwa Rais wa nchi na kuijadili na kutoa maoendekezo
Na huo ndio utaratibu unaotamkwa na katiba hivyo wataendelea nao wala sioni sehemu ambayo itamlazimisha Rais kuomba Bunge wapokee ripoti ya CAG kwani ni takwa la katiba
Naomba unieleweshi, unaposema "Bunge lilikuwa halifanyi kazi Kwa pamoja na CAG" una maana gani?
 
Mniwie radhi ya kwamba sitawatafunia kila kitu.

Lengo ni kuhakikisha anamiminiwa sifa kutoka kila pembe ya nchi.

Bunge litaombwa kuipokea na kuijadili report ya Mdhibiti na mkaguzi wa hesabu za serikali CAG Prof. Asaad.

Spika ndugai atawarai wabunge ya kwamba wakubali ombi la kiongozi mkuu wa serikali, waweke kando msimamo wa azimio lao (bunge) na kukubali kuipokea na kuipa kamuda kadoooogo ka kuijadili.

Kina Jenista na vibajaji ndio watakuwa wachangiaji wakuu ambao kimkakati watatumia muda wote kumsifu na kumtukuza mfalme kwamba ana busara saaana.

Kitakachofuata ni maandamano ya kulisifu jiwe nchi nzima.

"ya nini malumbano ya nini maneno, Najiweka pembeni naepuka msongano" (sijui nani waliimbaga huu wimbo)


====ZA MOTO MOTO====
-------MTONYO UPDATES----
Leo 8/4/2019 bungeni ameelekezwa mbunge mmoja kati ya wale waliounga mkono juhudi kutoa hoja ya kuliomba bunge kuipokea riport ya mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali kwa masharti kuwa "endapo italetwa na mh. Rais"

Hapo ndipo meza zitakapo vunjika kwa kupigwapigwa na wabunge wa ccm na nyimbo za kumsifu na kumuabudu rais zitakapoanza rasmi.

Wakati report inapelekwa televisheni zitakuwa mubashara!!!!!
Na hiki ndo kipimo cha "IQ" za wabunge,spika na jiwe lenyewe.
 
.....
.....very interesting
Wameshaanza akadabra! Eti kwenye report yote ya CAG wanaona mahesabu ya chadema tu!!!

Na ndiko watafunga PA (Public Address) kupita kila mkoa na wilaya kuutangazia umma kuwa Chadema wameiba hela za umma wala hawatasema wamekosea taratibu za usajili wa baadhi ya mali za chama.
 
Back
Top Bottom