Wambura Koku Massawe
Member
- Dec 18, 2018
- 28
- 52
Hakuna ofisi inaitwa CAG, ofisi ni National Audit Office, kwa sasa ukimukata Prof Assad ni kwamba umemkata CAG na ukimkataa CAG umemkataa Prof Assad.Aliyekagua na kudhibiti ni Prof. Asaad, CAG.
Ukiitanguliza CAG ukamalizia na Asaad unacheza mziki ndani ya ukumbi huo huo!!
Baad ya kusikia maswali hayo mitandaoni Nduagai amelitolea ufafanuzi wake kwamba Bunge lilikataa kufanya kazi na Asad (Professor) na sio ofisi ya CAG, Naamini kuna mkanganyiko wa hali ya juu hapa, Lakini pia akaongeza kusema kwamba hiyo ripoti ya mkaguzi ikipelekwa Bungeni wakakuta imesainiwa na Asad hawataipokea, hii ndio tanzania ya viwandaNimeuliza humu, bunge limekataa kufanya kazi na ofisi ya CAG au na prof Assad? Maana kama ni mtu (mkosaji) ofisi bado ipo na ina watendaji wengine
Bungeni itaenda version ile ile Au iliyohaririwa?
Mbona siku hizi hukitetei chama cha mapinduzi mkuu?
"vasheni" haina "impakti" kwa maana haitajadiliwa.
ni kusifu na kuabudu mwanzo mwisho.
Jiwe sasa linakua jabali. Endeleeni kubeza jiwe kama halikuwaangukia na kuwapondaponda wapinga maendeleo na vibaraka wenu.Mniwie radhi ya kwamba sitawatafunia kila kitu.
Lengo ni kuhakikisha anamiminiwa sifa kutoka kila pembe ya nchi.
Bunge litaombwa kuipokea na kuijadili report ya Mdhibiti na mkaguzi wa hesabu za serikali CAG Prof. Asaad.
Spika ndugai atawarai wabunge ya kwamba wakubali ombi la kiongozi mkuu wa serikali, waweke kando msimamo wa azimio lao (bunge) na kukubali kuipokea na kuipa kamuda kadoooogo ka kuijadili.
Kina Jenista na vibajaji ndio watakuwa wachangiaji wakuu ambao kimkakati watatumia muda wote kumsifu na kumtukuza mfalme kwamba ana busara saaana.
Kitakachofuata ni maandamano ya kulisifu jiwe nchi nzima.
"ya nini malumbano ya nini maneno, Najiweka pembeni naepuka msongano" (sijui nani waliimbaga huu wimbo)
ujue hata mie nashangaa[emoji15] [emoji15]Mbona siku hizi hukitetei chama cha mapinduzi mkuu?
ujue hata mie nashangaa[emoji15] [emoji15]
huyu mfia chama[emoji196] [emoji196] [emoji218] [emoji90] [emoji216]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kimanzichana..nyi wa mkoani vipi😀we umecheza sana mchezo wa draft ama kweli HUO WIMBO NI WA MSANII 20%mzee wa chanika
Wameipokea au hawakuipokea?Baad ya kusikia maswali hayo mitandaoni Nduagai amelitolea ufafanuzi wake kwamba Bunge lilikataa kufanya kazi na Asad (Professor) na sio ofisi ya CAG, Naamini kuna mkanganyiko wa hali ya juu hapa, Lakini pia akaongeza kusema kwamba hiyo ripoti ya mkaguzi ikipelekwa Bungeni wakakuta imesainiwa na Asad hawataipokea, hii ndio tanzania ya viwanda
Report imesainiwa na nani?Hakuna ofisi inaitwa CAG, ofisi ni National Audit Office, kwa sasa ukimukata Prof Assad ni kwamba umemkata CAG na ukimkataa CAG umemkataa Prof Assad.
Ndo maana kwenye reports zake anatumia I (mimi) CAG then ndo anaweka jina. Mtu mwingine akisaini anaweka kabisa for CAG.
Wangesema wameacha kufanya kazi na CAG Prof Mussa Assad na sio National Audit Office.
Naomba unieleweshi, unaposema "Bunge lilikuwa halifanyi kazi Kwa pamoja na CAG" una maana gani?Nadhani tunachanganya Mambo kidogo Kwa uelewa wangu
Tukijikimbusha kidogo kabla ya Kikwete,Bunge lilikuwa halifanyi kazi Kwa pamoja na CAG ila walikuwa wanafanyia kazi ripoti ya CAG iliyoletwa na Rais Kwa mujibu wa katiba ya nchi inavyotaka
Katika kipindi cha kikwete ndio ukaja utaratibu wa CAG kufanya kazi na Bunge Kwa maana kwamba anaipeleka ripoti yake Kwa Rais pia anawajibika kupeleka ripoti hiyo ktk Bunge na pia kusaidia kamati ya Bunge inayojadili ripoti yake kutafsuri au kufafanua sehemu ambayo wanakamati wameshindwa kuelewa Kwa undani,hayo yota yanafanika bila kutajwa ktk katiba
Hivyo kilichofanywa na Bunge ni kurejea utaratibu wa awali wa kupokea ripoti ya CAG kutoka Kwa Rais wa nchi na kuijadili na kutoa maoendekezo
Na huo ndio utaratibu unaotamkwa na katiba hivyo wataendelea nao wala sioni sehemu ambayo itamlazimisha Rais kuomba Bunge wapokee ripoti ya CAG kwani ni takwa la katiba
Na hiki ndo kipimo cha "IQ" za wabunge,spika na jiwe lenyewe.Mniwie radhi ya kwamba sitawatafunia kila kitu.
Lengo ni kuhakikisha anamiminiwa sifa kutoka kila pembe ya nchi.
Bunge litaombwa kuipokea na kuijadili report ya Mdhibiti na mkaguzi wa hesabu za serikali CAG Prof. Asaad.
Spika ndugai atawarai wabunge ya kwamba wakubali ombi la kiongozi mkuu wa serikali, waweke kando msimamo wa azimio lao (bunge) na kukubali kuipokea na kuipa kamuda kadoooogo ka kuijadili.
Kina Jenista na vibajaji ndio watakuwa wachangiaji wakuu ambao kimkakati watatumia muda wote kumsifu na kumtukuza mfalme kwamba ana busara saaana.
Kitakachofuata ni maandamano ya kulisifu jiwe nchi nzima.
"ya nini malumbano ya nini maneno, Najiweka pembeni naepuka msongano" (sijui nani waliimbaga huu wimbo)
====ZA MOTO MOTO====
-------MTONYO UPDATES----
Leo 8/4/2019 bungeni ameelekezwa mbunge mmoja kati ya wale waliounga mkono juhudi kutoa hoja ya kuliomba bunge kuipokea riport ya mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali kwa masharti kuwa "endapo italetwa na mh. Rais"
Hapo ndipo meza zitakapo vunjika kwa kupigwapigwa na wabunge wa ccm na nyimbo za kumsifu na kumuabudu rais zitakapoanza rasmi.
Wakati report inapelekwa televisheni zitakuwa mubashara!!!!!
Namusubiria sitokiAkikujibu unishtue
Wameshaanza akadabra! Eti kwenye report yote ya CAG wanaona mahesabu ya chadema tu!!!.....
.....very interesting