Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
Hili jambo halipaswi kufumbiwa macho na wapenda amani duniani kote. Wote tumesikia kuwa waliookuwa nyuma ya shambulio la kumuua rais mstaafu na mgombea urais wa Marekani D Trump ni serikali ya Kiislamu ya Irani. Sisi wapenda amani tunaomba serikali ya Marekani ichukue hatua Kali sana dhidi ya wahuni hawa.
IRI imekuwa ikiunga mkono makundi hatarishi ya kigaidi duniani kote kuanzia mashabiki ya kati na Magharibi ya Afrika.
Povu ruksa kwa wavaa kobazi.
Cc incredible terminator
bwanautamu12
BWANA UTAMU
Moderator kichwa Cha habari kisomeke kujaribu badala ya kuharibu
IRI imekuwa ikiunga mkono makundi hatarishi ya kigaidi duniani kote kuanzia mashabiki ya kati na Magharibi ya Afrika.
Povu ruksa kwa wavaa kobazi.
Cc incredible terminator
bwanautamu12
BWANA UTAMU
Moderator kichwa Cha habari kisomeke kujaribu badala ya kuharibu