ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Sio unalia lia pambana bandari ibaki. Andika makala nzuri ni sehemu ya mapambanoBuriani Bandari yetu na Ardhi yetu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio unalia lia pambana bandari ibaki. Andika makala nzuri ni sehemu ya mapambanoBuriani Bandari yetu na Ardhi yetu.
Wewe umeshaandika?Sio unalia lia pambana bandari ibaki. Andika makala nzuri ni sehemu ya mapambano
Mimi nina njia nyingine ya mapambanoWewe umeshaandika?
Neyeye kauzia wa arabu kwabb hapa tatizo ni walio pewa mkatabaBen unauza NBC tena kwa bei ya kutupa?
Aliuliza mwalimu Nyerere kwenye mkutano na Waandishi
Jumaa kareem!
Na mimi hii ni njia yangu ya kupaza sautiMimi nina njia nyingine ya mapambano
Baada ya hapo akaona anamletea kauzibe kubinafsisha mashirika akampeleka safari ya kwa sumu mpaka kwa baba Mbinguni.Ben unauza NBC tena kwa bei ya kutupa?
Aliuliza mwalimu Nyerere kwenye mkutano na Waandishi
Jumaa kareem!
Kuna uwekezaji na uchukuaji.Kuna harufu na ishara mbaya za kuletewa kampuni ya "uchukuzi"/wezi.kwa nini hampendi uwekezaji
Hakuna Cha buriani! Tutaandamana hadi kielewekeBuriani Bandari yetu na Ardhi yetu.
kuna vitu bado hamjaelewaKuna uwekezaji na uchukuaji.Kuna harufu na ishara mbaya za kuletewa kampuni ya "uchukuzi"/wezi.
We na nani? Unaandamana jFHakuna Cha buriani! Tutaandamana hadi kieleweke
Tena zote za Tanzania baraBenki zipo nyingi sana inavumilika.
Bandari ishu nyingine
Na ndiyo mvutano(kama si ugomvi)wetu ulipo.Watu wanataka ufafanuzi wa kueleweka na maslahi itakayopata nchi.Nchi ilishaibiwa na wajanja hapo nyuma.Wameona nyasi wanalia nalo kuchelea kuchunwa ngazi wangali hai.kuna vitu bado hamjaelewa