Serikali ya Mkapa ilipouza NBC Mwalimu Nyerere alilengwa na machozi

Serikali ya Mkapa ilipouza NBC Mwalimu Nyerere alilengwa na machozi

Nchi ina wahuni sana hii tusamehe magufuri tumekosa siye tumekosa tusamehe baba
 
  • Thanks
Reactions: Ame
imejifia vipi ilihali majuzi Serikali imepokea kiasi cha Shilingi bilioni sita kutoka Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kama gawio
Aise, natamani nikuone we binadamu...Naona aibu kuwa na jina la nchi moja na mtu kama wewe...Jambo moja tu zuri kwako ni mstaarabu...
 
Ila Serikali ina Hisa NBC

Kupitia kuuzwa NBC ndio ikazaliwa NMB ambayo imekuwa kubwa sababu inaendeshwa na wengine wanaojali pesa walizowekeza ie DANIDA
shida watu uwelewa ni mdogo na wachini sana hawajui serikali ina chake pale 30%
 
Zitaje baadhi, na usitaje tija tu, outcomes zake pia zitakuwaje
nikulize jambo rahisi tuh unaridhika na upakiaji na upakuaji wa mizigo ndani ya bandari kwa sasa vipi kuhusu bandari kazu zinazosaidiana na bandari kuu sasa haya yote muarubaini wake umepatikana
 
Wacha mashekhe wachukue bandari hawa jama wamebarkiwa na mungu
 
shida watu uwelewa ni mdogo na wachini sana hawajui serikali ina chake pale 30%
Huyu mzee huwa anakurupuka tu.

Bank za serikali zote zina hali mbaya sana twiga, posta, tib ziliunganishwa
 
Heshima sana wanajamvi,

Leo naomba tujikite katika mjadala wa athari za uuzwaji wa NBC kwa kampuni ya ABSA ya Afrika kusini.Miaka ya 90s NBC ilikuwa moja ya bank kubwa sana kusini mwa jangwa la sahara ikimilikiwa na serekali ya Tanzania.Kwa mujibu wa vyanzo mbali mbali bank hii ilikuwa ikitengeneza faida kubwa sana na si hilo tu bali ilikuwa kikwazo kikubwa kwa bank za nje zilizotaka kufanyabiashara Tanzania.

Moja ya faida kubwa ya NBC ilikuwa ni kuisaidia serekali wakati ilipokuwa ikiitaji fedha kwaajili ya uendeshaji wa shughuli zake za kawaida na hata kugharamia baadhi ya miradi mikubwa.

Mara baada ya Mwl Nyerere kupata taarifa kwamba NBC ipo mbioni kuuzwa alijaribu bila mafanikio kuzuia uuzwaji wa bank hiyo kubwa lakini alifanikiwa walau kuanzishwa kwa bank ya NMB ambayo serekali ina hisa nyingi.

Ni wazi NBC ilikuwa chanzo kikubwa cha mapato ya serekali ya awamu ya kwanza na pili ya Mzee Ruksa kabla ya Rais B Mkapa kuamua kuiza kwa bei ya kutupwa tena kwa kampuni ya nje (mjadala mrefu unatakiwa).

Baada ya chanzo hiki muhimu kuondolewa na Rais wa awamu ya nne je athari zake kwa serekali ya Kikwete ni zipi ?.

Mimi naweka moja ambalo sasa lipo wazi kabisa.Serekali ya Kikwete baada ya kukosa chanzo hiki muhimu cha mapato imevamia mifuko ya hifadhi ya jamii (NSSF,PPF......)Matokeo yake umri wa kustaafu umeongezwa kutoka miaka 55 hadi miaka 60 na sheria nyingine ipo mbioni ambayo italazimisha wafanyakazi watakaoacha kazi au kufukuzwa kazi hawatalipwa mpaka watakapofikisha miaka 60.Mifuko hii ipo taabani kifedha kwakuwa fedha zake nyingi zinanyakuliwa na serekali bila kurejeshwa matokeo yake wachangiaji wa mifuko hii ni kulipwa fedha zisizo endana na hali halisi ya maisha.

Unaweza kuongeza athari nyingine kadri uonavyo.
Kwenye awamu ya nne, uuzaji wa rasilimali za nchi haukuwa umelenga kumfaidisha mtanzania bali kumhujumu. Possibly Mwl alijikuta amempigia debe mtu ambaye hakuwa raia pasipo yeye mwenyewe kufahamu hilio. Awamu ya nne ilitugharimu sana na chaos zinazoendelea hadi leo zinatokana na awamu hiyo
 
Back
Top Bottom