Serikali ya Mkapa ilipouza NBC Mwalimu Nyerere alilengwa na machozi

Serikali ya Mkapa ilipouza NBC Mwalimu Nyerere alilengwa na machozi

sio wizi ni uwekezaji mzuri unaokwenda kutupa matunda ya maziwa na asali, taifa linakwenda kuwa soko ya bidha nyingi na kituo kikuu cha kuingiza mizigo kwa nchi za afrika mashariki na kati
Wamewadanganya, watapewa pipi watu wachache na vi infrustructure vya hapa na pale but hii ni extension tu ya Dubai Port kwa maana nyingine wanaileta Dubai hapa but all the benefit goes back to them, tutaishia kuwa na port nzuri na ya kisasa lakini capital yote ita fly back to Oman...Tutakuwa kama ma house girl wanaoishi kwenye mansions za matajiri wao huku wao ni wafanya usafi tu...Mtanzania pinga hili kwa nguvu zako zote...

Kisha ujue baada ya muda watu wata realize kama ilivyo kwa madini lakini ndiyo huwezi kuvunja mkataba...Acheni kudanganywa na vipande vya vioo kama akina Mangungo
 
Kinyume chake ndiyo kweli...Hao Dubai wameonarisk ya bandari zao kwakua soko kubwa la manufactured goods za China lipo Africa continent yenye watu wengi, Port ya Dubai ndiyo ilikuwa stop over so wachina wakija kuingia huku na kichukua port wao watakufa kifo chamende...

Si kwamba nawapenda wachina bali wao wote wawili ni mafahali wawili nyasi no sisi, zindula na acheni kuona leo tu kuna na kesho...Stop this mad and craziest idea ya kuuza nchi yetu
nchi imeuzwa wapi? kwa nini hamuelewi au lishe ndio shida au kitu gani
 
nafikiri mtaelewa na kukubaliana na serikali na uzuri kwakuwa ni jambo la heri serikali imeona sasa ni wakati kuwaelewesha vizuri
Kwa mfano upi wa tangu uhuru hadi tudanganyike kirahisi? Watu kama ninyi ni enemies of the state, ndiyo madalali na makuwadi wa maadui wa nchi yetu, mlaaniwe zaidi ya laana yenyewe!
 
nchi imeuzwa wapi? kwa nini hamuelewi au lishe ndio shida au kitu gani
Wewe hapo IQ ndiyo inashida...Ficha hiyo aibu unajivua nguo hadharani...Mambo serious unajichekesha kama vile punguani, stop this none sense, sijawahi tukana mtu ukiona nafanya hivi ujue nipo very bitter kama ningekuwa na access na wewe, acha niishie hapa!

Umeni provoke beyond measure...
 
Kwa mfano upi wa tangu uhuru hadi tudanganyike kirahisi? Watu kama ninyi ni enemies of the state, ndiyo madalali na makuwadi wa maadu wa nchi yetu, mlaaniwe zaidi ya laana yenyewe!
mkuu lana ya kazi gani kwenye neema kama hii kwa taifa.
nimegundua kitu mnauwoga wa mafanikio hilo ndio tatizo kubwa
 
mkuu lana ya kazi gani kwenye neema kama hii kwa taifa.
nimegundua kitu mnauwoga wa mafanikio hilo ndio tatizo kubwa
Inaonekana wewe na familia yako ndiko neema itakuwepo, tuache sisi ambao hatujawahi kula mema ya kitumwa jinsi hii... we work and we earn out of our blood and sweat...Hatujazoea kuwa watumwa...Kale wewe peke yako hayo mema ya kimakombo
 
Watu wengi hawaelewi haya mambo,ngoja kuna siku nitaleta humu kiasi cha pesa ambacho wawekezaji wanakipata katika madini na kiasi ambacho Nchi tunapata-nawahakikishia wengi mtatoa machozi.

Uwezekezaji afrika ni upumbavu MTU mara mia hizo maliasili zibaki,vizazi vijavyo watatafuta namna-sisi tushindie ugali na mlenda kama alivyofanya nyerere.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Ben unauza NBC tena kwa bei ya kutupa?

Aliuliza mwalimu Nyerere kwenye mkutano na Waandishi

Jumaa kareem!

Alikuja Mandela Tanzania, miongoni mwa maeneo aliyotembelea ni bandarini. Alitoa speech kali sana kwa Mkapa kuhusu nia yake ya kutaka kuibinafsisha.

Mara zote mkapa alipotembelea rsa, mandela hakutaka kuonana naye tena.

Viongozi wetu wangekuwa wanalipwa mishahara ya walimu wa upe, hata sisi raia wangeshatkuwa wametuuza kitambo sana. Wanalipwa mishahara na marupurupu ya ajabu lakn hawatosheki na bado hawatujali sisi wauza samaki feri.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Wewe hako IQ ndiyo inashida...Ficha hiyo aibu unajivua nguo hadharani...Mambo serious unajichekesha kama vile punguani, stop this none sense, sijawahi tukana mtu ukiona nafanya hivi ujue nipo very bitter kama ningekuwa na access na wewe, acha niishie hapa!

Umeni provoke beyond measure...
sasa wacha nikuambie kitu kimoja huna cha kuzuia nchi inachanja mbuga wewe unavuta shati nyuma.
 
Kuna mashirika ya umma karibu 100 na ushee yalibinafsishwa wakati wa Mkapa-toka 1995 progress take ikoje kama sio upumbavu mtupu na mengine yamekufa
 
sasa wacha nikuambie kitu kimoja huna cha kuzuia nchi inachanja mbuga wewe unavuta shati nyuma.
Subiri uone kama hili litapita...Hakuna kuchanja popote tumeweka miguu yote chini, katapike kama umelishwa vya watu
 
Ila Serikali ina Hisa NBC

Kupitia kuuzwa NBC ndio ikazaliwa NMB ambayo imekuwa kubwa sababu inaendeshwa na wengine wanaojali pesa walizowekeza ie DANIDA
 
Inaonekana wewe na familia yako ndiko neema itakuwepo, tuache sisi ambao hatujawahi kula mema ya kitumwa jinsi hii... we work and we earn out of our blood and sweat...Hatujazoea kuwa watumwa...Kale wewe peke yako hayo mema ya kimakombo
neema hii ni wanyonge wote katika hii nchi Ame
 
Back
Top Bottom