Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Wekeza mkeo na wanao inatosha.kwa nini hampendi uwekezaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wekeza mkeo na wanao inatosha.kwa nini hampendi uwekezaji
sasa fuatilia tbc utapata habari za uwakika juu ya hili jamboNa ndiyo mvutano(kama si ugomvi)wetu ulipo.Watu wanataka ufafanuzi wa kueleweka na maslahi itakayopata nchi.Nchi ilishaibiwa na wajanja hapo nyuma.Wameona nyasi wanalia nalo kuchelea kuchunwa ngazi wangali hai.
Tunapenda wawekezaji, hatupendi wahuni wanaotaka kununua mali la umma.kwa nini hampendi uwekezaji
Kwani hatukukubaliana kutomtajataja ili tusioneshe masimango kwa al-marhum?tulisema yule hafai akafa.huyu nae hafai afe?
umenena vyemaMoja ya makosa machache aliyoyafanya Ben, na alikili kuwa mchakato wa ubinafsishaji katika awamu yake ungeweza kufanyika kwa namna bora zaidi kuliko walivyofanya.
Kinachonisikitisha ni uwezo wetu mdogo wa kujifunza kotokana na makosa. Mwekezaji anaangalia maslahi yake, atakuja na kila aina ya data na takwimu ya namna ambayo ataweza kuongeza tija ili akuvutie, wakati huohuo anaweka vipengele vya kumlinda yeye hata akiwa na performance ya hivyo.
Kumkabidhi mtu sehemu nyeti ya nchi tena uliyotumia matrilioni kuwekeza ni jambo la kustaajabisha, alafu vihela vyenyewe anavyotaka kuwekeza ni dhihaka tupu!
Fool me once, shame on you. Fool me twice, shame on me!
Mimi mtoto wa SPM Mgololo naujua uwekezaji ni unyonyaji mkubwaa akwa nini hampendi uwekezaji
stroke usiwe na gadhabu mambo hayaendi namna hiyo rafiki yangu..nafikiri hamkuelewa mambo madogo tuh na shida nyingine mbowe nae hakuelewa matokeo yake akapotosha uma, mwenyewe anajuta sana na anakuja kulitolea ufafanuziWekeza mkeo na wanao inatosha.
Majizi nayo yanajua kuwekeza?. Acheni zenu, kawauzieni ile ya Zanzibarkwa nini hampendi uwekezaji
tatizo alikuwa mtekaji na muuaji.Kwani hatukukubaliana kutomtajataja ili tusioneshe masimango kwa al-marhum?
Sikujua hilo mhishimiwa.Sad!tatizo alikuwa mtekaji na muuaji.
tafuta mchumi akufafanulie vyema kuhusu huu uwekezaji wa maziwa na asali tz umebahatika kupata..Majizi nayo yanajua kuwekeza?. Acheni zenu, kawauzieni ile ya Zanzibar
Magazeti ya kufungia andazi [emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42]Ibaki isibaki haina msaada Kwangu.
Pamoja SANA mkuu[emoji1666]Hakuna Cha buriani! Tutaandamana hadi kieleweke
Etii eeh.stroke usiwe na gadhabu mambo hayaendi namna hiyo rafiki yangu..nafikiri hamkuelewa mambo madogo tuh na shida nyingine mbowe nae hakuelewa matokeo yake akapotosha uma, mwenyewe anajuta sana na anakuja kulitolea ufafanuzi
unatakiwa ulijue na hilo.alikuwa mzuri katika kulinda mali za umma.japo sio kivile.ila hayo mapungufu ndo yamempa doa.Sikujua hilo mhishimiwa.Sad!
Tusielewe watu wote sisi muelewe ninyi wachache?stroke usiwe na gadhabu mambo hayaendi namna hiyo rafiki yangu..nafikiri hamkuelewa mambo madogo tuh na shida nyingine mbowe nae hakuelewa matokeo yake akapotosha uma, mwenyewe anajuta sana na anakuja kulitolea ufafanuzi
sio wizi ni uwekezaji mzuri unaokwenda kutupa matunda ya maziwa na asali, taifa linakwenda kuwa soko ya bidha nyingi na kituo kikuu cha kuingiza mizigo kwa nchi za afrika mashariki na katiEtii eeh.
Unatetea kabisa wizi mkuu..
Kinyume chake ndiyo kweli...Hao Dubai wameonarisk ya bandari zao kwakua soko kubwa la manufactured goods za China lipo Africa continent yenye watu wengi, Port ya Dubai ndiyo ilikuwa stop over so wachina wakija kuingia huku na kichukua port wao watakufa kifo chamende...tafuta mchumi akufafanulie vyema kuhusu huu uwekezaji wa maziwa na asali tz umebahatika kupata..
- tulichekwa kwa muda mrefu sana kushindwa kulisha nchi kupitia bandari sasa ndio wakati wetu hadi wakenya wanatuonea wivu tz tunakwenda kuilisha afrika mashariki kwa uwekezaji huu na mingine mingi.
tanzania inakwenda kuwa dubai ya afrika mashariki
Mbona unakuwa siyo MzalendoMaza naye kapita humo humo kauza bandari, hawa jamaa ndiyo maana wamejiwekea kinga wasishitakiwe wale rushwa vizuri
nafikiri mtaelewa na kukubaliana na serikali na uzuri kwakuwa ni jambo la heri serikali imeona sasa ni wakati kuwaelewesha vizuriTusielewe watu wote sisi muelewe ninyi wachache?
Acheni kuuza urithi wetu kwa pishi la mchuzi