Levels baby
JF-Expert Member
- Sep 26, 2019
- 831
- 770
Mwambieni abdul awe na heshima,kwani kipindi cha nyuma aliona Ridhiwan akikaguliwa kwann kipindi hichi,kila ale kwa wakat wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Absolutely brightThe future is .....
Bashite mwenyewe kafika kujibu tuhuma zake .Unaonaje ukiacha kulalamika na ukaenda mahakamani? Huwezi kuja na allegations nzito kiasi hiki alafu ukawa unalalamika tu l! Utakua huutendei haki uwepo wako hapa duniani.
Dah umenena vyema mkuuHaya maneno yalikuwaga kipindi kile kwa ridhiwani, kila petrol station mpya tuliambiwa yake, kila ghorofa jipya lake! Leo wamesahau
elegency hotel sinza mori ni mali ya makonda ushahidi ninao 76%Haya maneno yalikuwaga kipindi kile kwa ridhiwani, kila petrol station mpya tuliambiwa yake, kila ghorofa jipya lake! Leo wamesahau
Haya maneno yalikuwaga kipindi kile kwa ridhiwani, kila petrol station mpya tuliambiwa yake, kila ghorofa jipya lake! Leo wamesahau
kwani makonda anautajiri gani?
mtutajie hapa vitu anavyomiliki kwanza
The future is .....
Serikali ya wanyonge imetekwa na BASHITE.
Muhimili uliojichimbia chini zaidi umekua DHAIFU sana, kwa huyu shoga aliejaaliwa makalio na kunyimwa akili.
Sema wasukuma siyo WatanzaniaWatz tutamuomba aendelee kutuongoza!
Serikali imekataa kumkagua... halafu wewe unakuja unasema aende mahakamani.Unaonaje ukiacha kulalamika na ukaenda mahakamani? Huwezi kuja na allegations nzito kiasi hiki alafu ukawa unalalamika tu l! Utakua huutendei haki uwepo wako hapa duniani.
kwani makonda anautajiri gani?
mtutajie hapa vitu anavyomiliki kwanza
Ila sema kwa nafsi yako, usitusemee wengine!Watz tutamuomba aendelee kutuongoza!
Serikali imekataa fisadi asikaguliwe hiyo ndo hojaNawasemea watz! Kama wewe si Mtz basi endelea na shughuli zako!