Serikali ya Rais Magufuli yagoma kumfanyia uchunguzi Makonda juu ya utajiri na mali alizonazo kazipataje

Serikali ya Rais Magufuli yagoma kumfanyia uchunguzi Makonda juu ya utajiri na mali alizonazo kazipataje

Hata wakati wa Riziwan mlisema hivyo tu. Baba yake ameondoka kwenye Urais lakini hata kumsogelea Riziwan huwezi wewe nyumb! Tumeshawazoea na mapovu yenu!
Kwanini wamfananisha na Riziwan?
Kwani nae ni mtoto wa mfalme!?
 
Waswahili kwa uzushi na stori za kutunga hatujambo, yanarudi yale yale ya kudai eti Ridhiwan Kikwete anamiliki vituo vyote vya Petrol kuanzia Kimara mpaka Morogoro - uongo mtupu.
Sasa ukiwabana ili wakuthibitishie utashangaa, sijui watu wana akili gani
 
1574719853968.png
 
Tumuombee sana Abdul Nondo asipotee , baada ya Gazeti la MwanaHalisi kuripoti hadi kijiji anachotoka Daudi Bashite tena kwa ushahidi mwanana uliotukuka , likafungiwa maisha
Ukisikia serikali imezuia wala usitake kujua ni tamko la nani. Kuna watu wana special duty awamu ya tano.
 
Back
Top Bottom