Serikali ya Rais Samia inamuogopa Askofu Gwajima na haina la kumfanya

Serikali ya Rais Samia inamuogopa Askofu Gwajima na haina la kumfanya

ngebe

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2020
Posts
1,789
Reaction score
5,117
Naona imekua too much sasa hivi kila jumapili Rashidi, anatumia lile Godauni la ufufuo na uzima kupingana na serikali, naona mpaka sasa yeye ndiye mshindi maana imeonyesha dhahiri serikali inamuogopa na haina hata ubavu wa kupa onyo.
IMG_20210808_204123.png
IMG_20210808_204142.png

Hivi huko Ufufuo wa Misukule na Uzima hawana Ibada nyingine zaidi ya Covid 19 na Chanjo ? Mimi najua Kanisani ni Mahali pa kwenda kuambiwa ubaya wa Dhambi na kujiandaa Kwa Maisha ya Mbinguni.

sasahivi tuna wizara mbili zinazotoa matamko public juu ya chanjo,

wizara ya Afya na wizara ya ufufuo wa misukule na uzima ila mpaka sasa wizara ya ufufuo wa misukule ndio inanguvu sana
 
Mwacheni Gwajima ateme nyongo yake hiyo ndio demokrasia tunayoililia kila siku...
demokrasia ya hivi mimi ningekuwa Rais nisingeiweza kwakweli
 
Tanzania hatujawahi kuishinda Corona, Gwajima muongo, Corona ikipoa haina maana ilikwisha, ndio maana inakuja kwa phase na majina mapya kila baada ya muda fulani.

Anaposema miezi sita iliyopita tulikuwa salama ana vipimo? aliwapima waumini wake au kina nani wengine?

Gwajima ni hopless tu, wote wanaomuamini hawajielewi.
 
Gwajima yeye analenga 2025 endapo ccm ikiwa imechukiwa na wadanganyika wote kwa sababu ya kuungana na Johnson & Johnson kuwachanja
 
Back
Top Bottom