- Thread starter
- #21
mtu anaesema ndani ya miez sita korona ilikua imeisha, sasa huyo utamjibu nini?Gwajima anatandika konzi za utosi, ajibiwe kwa hoja sio porojo na vihoja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mtu anaesema ndani ya miez sita korona ilikua imeisha, sasa huyo utamjibu nini?Gwajima anatandika konzi za utosi, ajibiwe kwa hoja sio porojo na vihoja.
Hio ndo Democracy ya uhuru wa kutoa ya moyoni kwenye mediaHuyu ndio Kiongozi Mkuu wa Sukuma gang
Mtu miezi mitatu iliyopita alituambia Nyungu ndio njia salama ya Kujikinga na Corona leo anatuambia hiyo haifai tipige chanjo huyu anaelewekaje?mtu anaesema ndani ya miez sita korona ilikua imeisha, sasa huyo utamjibu nini?
katika matibabu njia moja isipoleta ufanisi, unatumia njia nyingineMtu miezi mitatu iliyopita alituambia Nyungu ndio njia salama ya Kujikinga na Corona leo anatuambia hiyo haifai tipige chanjo huyu anaelewekaje?
Kwani kakulazimisha kumfuatilia?wanamuogopa sana
hapanaKwani kakulazimisha kumfuatilia?
na wewe unasalia kwenye lile godauni la Rashidi?Binti/Mwana wa Jezabel tulia. Chanjo ni hiari hivyo pande zote mbili ziko huru kufanya kampeni kisha wananchi tutaamua tumfuate nani
Wewe tulia, chanjo ni hiari, timu zote wataka chanjo na wasio taka chanjo zina haki sawa. Gwajima amesema hayo kanisani kwake waulize hao Dar Mpya tangu lini mahubiri yananukuliwa kama habari na kwanini wasio taka chanjo wakiongea hadharani ni nongwa ila wanao chanjwa wakipiga picha ni sawa?
Kwakweli Magu aliliachia mizigo hili taifaNyinyi amasisheni watu wachanjwe, na yeye muacheni aamasishe watu wasichanje, tatizo liko wapi?