Song of Solomon
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 2,752
- 5,609
Hata mm nimemshitukia[emoji1][emoji1][emoji1]Mbona kama unataka kuijaza upepo serikali imshughulikie ?[emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mm nimemshitukia[emoji1][emoji1][emoji1]Mbona kama unataka kuijaza upepo serikali imshughulikie ?[emoji1787]
Serikali ya Samia Hassan haina ubavu wa ku deal na Bwana gwajimaMbona kama unataka kuijaza upepo serikali imshughulikie ?[emoji1787]
Huyu ndiye gaidi..Mbona kama unataka kuijaza upepo serikali imshughulikie ?[emoji1787]
Tunaomjua Mungu,tunamwona ngajima ni taperi wa imani.naona imekua too much sasa hivi kila jumapili Rashidi, anatumia lile Godauni la ufufuo na uzima kupingana na serikali, naona mpaka sasa yeye ndiye mshindi maana imeonyesha dhahiri serikali inamuogopa na haina hata ubavu wa kupa onyo
View attachment 1885582View attachment 1885583
Hivi huko Ufufuo wa Misukule na Uzima hawana Ibada nyingine zaidi ya Covid 19 na Chanjo ? Mimi najua Kanisani ni Mahali pa kwenda kuambiwa ubaya wa Dhambi na kujiandaa Kwa Maisha ya Mbinguni.
sasahivi tuna wizara mbili zinazotoa matamko public juu ya chanjo,
wizara ya Afya na wizara ya ufufuo wa misukule na uzima
ila mpaka sasa wizara ya ufufuo wa misukule ndio inanguvu sana
"Uelewa gani ambao hana Mch. Gwajima ambao wewe unao G Sam..?mtu anaesema ndani ya miez sita korona ilikua imeisha, sasa huyo utamjibu nini?
😀😀Komaa baba[emoji126][emoji126][emoji131][emoji124][emoji124][emoji124]
Mkuu nadhani haijui serikali, inaweza kufanya chochote Mkuu kwa maslahi mapana ya nchi hii, Gwaji Boy ni digidigi tu.Mbona kama unataka kuijaza upepo serikali imshughulikie ?🤣
Anaogopwa mno !!naona imekua too much sasa hivi kila jumapili Rashidi, anatumia lile Godauni la ufufuo na uzima kupingana na serikali, naona mpaka sasa yeye ndiye mshindi maana imeonyesha dhahiri serikali inamuogopa na haina hata ubavu wa kupa onyo
View attachment 1885582View attachment 1885583
Hivi huko Ufufuo wa Misukule na Uzima hawana Ibada nyingine zaidi ya Covid 19 na Chanjo ? Mimi najua Kanisani ni Mahali pa kwenda kuambiwa ubaya wa Dhambi na kujiandaa Kwa Maisha ya Mbinguni.
sasahivi tuna wizara mbili zinazotoa matamko public juu ya chanjo,
wizara ya Afya na wizara ya ufufuo wa misukule na uzima
ila mpaka sasa wizara ya ufufuo wa misukule ndio inanguvu sana
Amegeuza Kanisa kuwa uwanja wa siasa! Siamini kama serikali imemshindwa huyu! Hivi Serikali ni nini na ni nani? Serikali huwa haishindwi anaweza kushindwa mtu serikalini ila siyo serikali! Yashike maneno yangu yatakuja kukusaidia huko uendako.naona imekua too much sasa hivi kila jumapili Rashidi, anatumia lile Godauni la ufufuo na uzima kupingana na serikali, naona mpaka sasa yeye ndiye mshindi maana imeonyesha dhahiri serikali inamuogopa na haina hata ubavu wa kupa onyo
View attachment 1885582View attachment 1885583
Hivi huko Ufufuo wa Misukule na Uzima hawana Ibada nyingine zaidi ya Covid 19 na Chanjo ? Mimi najua Kanisani ni Mahali pa kwenda kuambiwa ubaya wa Dhambi na kujiandaa Kwa Maisha ya Mbinguni.
sasahivi tuna wizara mbili zinazotoa matamko public juu ya chanjo,
wizara ya Afya na wizara ya ufufuo wa misukule na uzima
ila mpaka sasa wizara ya ufufuo wa misukule ndio inanguvu sana
Haijui Serikali!Mkuu nadhani haijui serikali, inaweza kufanya chochote Mkuu kwa maslahi mapana ya nchi hii, Gwaji Boy ni digidigi tu.
naona imekua too much sasa hivi kila jumapili Rashidi, anatumia lile Godauni la ufufuo na uzima kupingana na serikali, naona mpaka sasa yeye ndiye mshindi maana imeonyesha dhahiri serikali inamuogopa na haina hata ubavu wa kupa onyo
View attachment 1885582View attachment 1885583
Hivi huko Ufufuo wa Misukule na Uzima hawana Ibada nyingine zaidi ya Covid 19 na Chanjo ? Mimi najua Kanisani ni Mahali pa kwenda kuambiwa ubaya wa Dhambi na kujiandaa Kwa Maisha ya Mbinguni.
sasahivi tuna wizara mbili zinazotoa matamko public juu ya chanjo,
wizara ya Afya na wizara ya ufufuo wa misukule na uzima
ila mpaka sasa wizara ya ufufuo wa misukule ndio inanguvu sana
unaweza kuthibitisha kushindwa kwa ufanisi wa kupambana na Corona kwa miezi mitatu iliyopita? kabla hamjatuletea chanjo?katika matibabu njia moja isipoleta ufanisi, unatumia njia nyingine
Kama Gwajima hajatumwa na serikali ili kuficha tatizo la uhaba wa chanjo basi itakuwa inasubiriwa raiti time ya kuhit.Atapigwa nyundo Moja hatakaa asahauMbona kama unataka kuijaza upepo serikali imshughulikie ?[emoji1787]
Demokrasia yetu hatariiiiMwacheni Gwajima ateme nyongo yake hiyo ndio demokrasia tunayoililia kila siku...