Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,404
- 10,900
Unaipump serikali,utamponza Gwajimawanamuogopa hawamuwezi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaipump serikali,utamponza Gwajimawanamuogopa hawamuwezi
Gwajima anaficha udhaifu was uhaba wa chanjo. Ujue chanjo milioni Moja Kati ya watu milioni sitini ilkuwa ninkugombanisha watuMama yuko soft kwa Gwajima anaewapinga ila harsh kwa Mbowe anaedai haki zake zinazotambulika kisheria.
Gwajima ana hoja. Tatizo unaacha kujadili hoja,unakimbilia kwenye kuchochea CCM na serikali wamuadhibu Gwajima.naona imekua too much sasa hivi kila jumapili Rashidi, anatumia lile Godauni la ufufuo na uzima kupingana na serikali, naona mpaka sasa yeye ndiye mshindi maana imeonyesha dhahiri serikali inamuogopa na haina hata ubavu wa kupa onyo
View attachment 1885582View attachment 1885583
Hivi huko Ufufuo wa Misukule na Uzima hawana Ibada nyingine zaidi ya Covid 19 na Chanjo ? Mimi najua Kanisani ni Mahali pa kwenda kuambiwa ubaya wa Dhambi na kujiandaa Kwa Maisha ya Mbinguni.
sasahivi tuna wizara mbili zinazotoa matamko public juu ya chanjo,
wizara ya Afya na wizara ya ufufuo wa misukule na uzima
ila mpaka sasa wizara ya ufufuo wa misukule ndio inanguvu sana
Njaa mbaya sana. Leo Dr Molel anaichambua Johnson & Johnson kama katengeneza yeye. Dah!!Tbl wako wapi wapeleke roli mbili kwa gwajima [emoji2][emoji2]... Watu wanabadilika tuwaamini vipi
Athibitishe kwamba Mungu yupo kwanza.naona imekua too much sasa hivi kila jumapili Rashidi, anatumia lile Godauni la ufufuo na uzima kupingana na serikali, naona mpaka sasa yeye ndiye mshindi maana imeonyesha dhahiri serikali inamuogopa na haina hata ubavu wa kupa onyo
View attachment 1885582View attachment 1885583
Hivi huko Ufufuo wa Misukule na Uzima hawana Ibada nyingine zaidi ya Covid 19 na Chanjo ? Mimi najua Kanisani ni Mahali pa kwenda kuambiwa ubaya wa Dhambi na kujiandaa Kwa Maisha ya Mbinguni.
sasahivi tuna wizara mbili zinazotoa matamko public juu ya chanjo,
wizara ya Afya na wizara ya ufufuo wa misukule na uzima
ila mpaka sasa wizara ya ufufuo wa misukule ndio inanguvu sana
Pale ni kijiwe cha mipashonaona imekua too much sasa hivi kila jumapili Rashidi, anatumia lile Godauni la ufufuo na uzima kupingana na serikali, naona mpaka sasa yeye ndiye mshindi maana imeonyesha dhahiri serikali inamuogopa na haina hata ubavu wa kupa onyo
View attachment 1885582View attachment 1885583
Hivi huko Ufufuo wa Misukule na Uzima hawana Ibada nyingine zaidi ya Covid 19 na Chanjo ? Mimi najua Kanisani ni Mahali pa kwenda kuambiwa ubaya wa Dhambi na kujiandaa Kwa Maisha ya Mbinguni.
sasahivi tuna wizara mbili zinazotoa matamko public juu ya chanjo,
wizara ya Afya na wizara ya ufufuo wa misukule na uzima
ila mpaka sasa wizara ya ufufuo wa misukule ndio inanguvu sana
Nitashangaa sana tena sana kama gwajima hadi j4 atakua uraianinaona imekua too much sasa hivi kila jumapili Rashidi, anatumia lile Godauni la ufufuo na uzima kupingana na serikali, naona mpaka sasa yeye ndiye mshindi maana imeonyesha dhahiri serikali inamuogopa na haina hata ubavu wa kupa onyo
View attachment 1885582View attachment 1885583
Hivi huko Ufufuo wa Misukule na Uzima hawana Ibada nyingine zaidi ya Covid 19 na Chanjo ? Mimi najua Kanisani ni Mahali pa kwenda kuambiwa ubaya wa Dhambi na kujiandaa Kwa Maisha ya Mbinguni.
sasahivi tuna wizara mbili zinazotoa matamko public juu ya chanjo,
wizara ya Afya na wizara ya ufufuo wa misukule na uzima
ila mpaka sasa wizara ya ufufuo wa misukule ndio inanguvu sana
Kumbe mama alisema hivyo kuhusu kuchanjwa ni kuingizwa kwenye database ya dunia? Hilo lilikuwa kosa kubwa kimantiki na kimkakati, huwezi kuipromote chanjo tata kama hizi kwa kauli kama hizo."Uelewa gani ambao hana Mch. Gwajima ambao wewe unao G Sam..?
Hata hivyo:
1. Mwenzio anazungumza mambo katika perspective ya kiroho, ambayo wewe naamini kuwa huna uelewa huo...
2. Hata katika perspective ya kisayansi anaelewa kuliko unavyoelewa wewe. Mfano hoja za kisayansi za Mch. Gwajima ni;
#1. Hakuna utafiti wa kutosha wa kisayansi uliokwisha kufanyika kuthibitisha usalama wa chanjo yeyote ya korona mpaka sasa. Kama upo weka paper yake hapa uoneshe ilichapwa lini, wapi na nani. Kama hakuna, haraka ya nini kutaka kulazimisha kila mtu achanjwe pasipo kuwa na scientific safety assurance kwanza..?
#2. Nini madhara ya chanjo hii ya muda mfupi, wa kati na mrefu kwa atakayechanjwa..?
#3. Kwa maneno ya Rais Samia Mwenyewe siku ya uzinduzi wa chanjo kitaifa alisema kuwa, mara mtu achanjwapo anaingia moja kwa moja kwenye database ya dunia. Swali, ni nani mmiliki wa database hiyo? Yuko wapi?
Haya ndo maswali anayouliza Mch. Gwajima na watetezi wa hii kitu wanakwepa au wanashindwa kutoa majibu sahihi...!!
Kama mtu makini hajiulizi maswali haya kabla ya kupokea hii kitu, basi huyo mtu ndiye mjinga kabisa kwa 100%...!"
Copy and paste
Huyu ndio Kiongozi Mkuu wa Sukuma gang
Kila Jambo na wakati wake, sidhani Kama ulipokuwa na miaka miwili ulikuwa unajua kusoma na kuandika. Nenda kaangalie hiyo post NI y lini
Mbona hayo maswali yake ya kipumbavu yaliishajibiwa zamani? Gwajima anahasira zake mwendzake alimdanganya atamuachia kiti cha Urais sasa mambo yamebumaGwajima ana hoja. Tatizo unaacha kujadili hoja,unakimbilia kwenye kuchochea CCM na serikali wamuadhibu Gwajima...
Watu wamenyimwa elimu atakosaje Wafuasi?Jamani hawa ma ASKOFU matapeli kama huyu Gwajima, wanapataje waumini? Ama tuna wajinga wengi Africa
Anafanya tu kusudi eti kisa Rais ni mwanamke. Gwajizo anaudaganya umma, jamani wilayani kwetu watu wengi wanafariki yeye analeta utani tu
Unateseka ukiwa wapi mkuuNaona imekua too much sasa hivi kila jumapili Rashidi, anatumia lile Godauni la ufufuo na uzima kupingana na serikali, naona mpaka sasa yeye ndiye mshindi maana imeonyesha dhahiri serikali inamuogopa na haina hata ubavu wa kupa onyo.
View attachment 1885582View attachment 1885583
Hivi huko Ufufuo wa Misukule na Uzima hawana Ibada nyingine zaidi ya Covid 19 na Chanjo ? Mimi najua Kanisani ni Mahali pa kwenda kuambiwa ubaya wa Dhambi na kujiandaa Kwa Maisha ya Mbinguni.
sasahivi tuna wizara mbili zinazotoa matamko public juu ya chanjo,
wizara ya Afya na wizara ya ufufuo wa misukule na uzima ila mpaka sasa wizara ya ufufuo wa misukule ndio inanguvu sana