Serikali ya Rais Samia inamuogopa Askofu Gwajima na haina la kumfanya

Serikali ya Rais Samia inamuogopa Askofu Gwajima na haina la kumfanya

Mama yuko soft kwa Gwajima anaewapinga ila harsh kwa Mbowe anaedai haki zake zinazotambulika kisheria.
Gwajima anaficha udhaifu was uhaba wa chanjo. Ujue chanjo milioni Moja Kati ya watu milioni sitini ilkuwa ninkugombanisha watu
 
naona imekua too much sasa hivi kila jumapili Rashidi, anatumia lile Godauni la ufufuo na uzima kupingana na serikali, naona mpaka sasa yeye ndiye mshindi maana imeonyesha dhahiri serikali inamuogopa na haina hata ubavu wa kupa onyo
View attachment 1885582View attachment 1885583
Hivi huko Ufufuo wa Misukule na Uzima hawana Ibada nyingine zaidi ya Covid 19 na Chanjo ? Mimi najua Kanisani ni Mahali pa kwenda kuambiwa ubaya wa Dhambi na kujiandaa Kwa Maisha ya Mbinguni.

sasahivi tuna wizara mbili zinazotoa matamko public juu ya chanjo,

wizara ya Afya na wizara ya ufufuo wa misukule na uzima
ila mpaka sasa wizara ya ufufuo wa misukule ndio inanguvu sana
Gwajima ana hoja. Tatizo unaacha kujadili hoja,unakimbilia kwenye kuchochea CCM na serikali wamuadhibu Gwajima.
Chanjo tumeambiwa ni hiari.
So wa hiari wahubiri watu wakachanjwe,na wasiotakaka wahubiri watu wasitake.
Mtu achague upande.

Kwanza chanjo gani unasaini kifo kabla hujachanjwa?
Inafahamika kuwa,anayefanyiwa oparesheni/upasuaji serious ndiye husaini,na nadhani ni ndugu ama mtu yeyote wa karibu,husaini kama ishara ya litakalotokea,ni kazi ya Mungu.

Kwanini chanjo ya corona tusaini?
Wanaotaka tuchanjwe wanahofu gani na chanjo?
Mtu ametuambia anategemewa kama mama,bibi,mke nk,je hiyo tu ni sababu tosha tumuamini?
Nani anauhakika sikuile Samia aliyochomwa ndicho wanacho tutaka tuchome?
Kweli serikali i risk maisha ya Rais wa nchi?


Tutafakari.

Wanatutisha kuwa tunaopinga chanjo ni kwakuwa hajatokea mgonjwa makwetu. Kwani imeandikwa wapi kila baya litampata kila mtu?
Imeandikwa wapi kuwa kwa jirani kukifiwa na kwako ni kesho yake?


SINTOCHANJWA,DAIMA DUMU.

Mungu Ibariki Afrika
Mungu ibariki Tanzania.
 
Tbl wako wapi wapeleke roli mbili kwa gwajima [emoji2][emoji2]... Watu wanabadilika tuwaamini vipi
Njaa mbaya sana. Leo Dr Molel anaichambua Johnson & Johnson kama katengeneza yeye. Dah!!
Magu angerudi leo asingeamini macho na masikio yake walahi!!!
 
naona imekua too much sasa hivi kila jumapili Rashidi, anatumia lile Godauni la ufufuo na uzima kupingana na serikali, naona mpaka sasa yeye ndiye mshindi maana imeonyesha dhahiri serikali inamuogopa na haina hata ubavu wa kupa onyo
View attachment 1885582View attachment 1885583
Hivi huko Ufufuo wa Misukule na Uzima hawana Ibada nyingine zaidi ya Covid 19 na Chanjo ? Mimi najua Kanisani ni Mahali pa kwenda kuambiwa ubaya wa Dhambi na kujiandaa Kwa Maisha ya Mbinguni.

sasahivi tuna wizara mbili zinazotoa matamko public juu ya chanjo,

wizara ya Afya na wizara ya ufufuo wa misukule na uzima
ila mpaka sasa wizara ya ufufuo wa misukule ndio inanguvu sana
Athibitishe kwamba Mungu yupo kwanza.
 
naona imekua too much sasa hivi kila jumapili Rashidi, anatumia lile Godauni la ufufuo na uzima kupingana na serikali, naona mpaka sasa yeye ndiye mshindi maana imeonyesha dhahiri serikali inamuogopa na haina hata ubavu wa kupa onyo
View attachment 1885582View attachment 1885583
Hivi huko Ufufuo wa Misukule na Uzima hawana Ibada nyingine zaidi ya Covid 19 na Chanjo ? Mimi najua Kanisani ni Mahali pa kwenda kuambiwa ubaya wa Dhambi na kujiandaa Kwa Maisha ya Mbinguni.

sasahivi tuna wizara mbili zinazotoa matamko public juu ya chanjo,

wizara ya Afya na wizara ya ufufuo wa misukule na uzima
ila mpaka sasa wizara ya ufufuo wa misukule ndio inanguvu sana
Pale ni kijiwe cha mipasho
 
Jamani hawa ma ASKOFU matapeli kama huyu Gwajima, wanapataje waumini? Ama tuna wajinga wengi Africa
 
naona imekua too much sasa hivi kila jumapili Rashidi, anatumia lile Godauni la ufufuo na uzima kupingana na serikali, naona mpaka sasa yeye ndiye mshindi maana imeonyesha dhahiri serikali inamuogopa na haina hata ubavu wa kupa onyo
View attachment 1885582View attachment 1885583
Hivi huko Ufufuo wa Misukule na Uzima hawana Ibada nyingine zaidi ya Covid 19 na Chanjo ? Mimi najua Kanisani ni Mahali pa kwenda kuambiwa ubaya wa Dhambi na kujiandaa Kwa Maisha ya Mbinguni.

sasahivi tuna wizara mbili zinazotoa matamko public juu ya chanjo,

wizara ya Afya na wizara ya ufufuo wa misukule na uzima
ila mpaka sasa wizara ya ufufuo wa misukule ndio inanguvu sana
Nitashangaa sana tena sana kama gwajima hadi j4 atakua uraiani
 
"Uelewa gani ambao hana Mch. Gwajima ambao wewe unao G Sam..?

Hata hivyo:

1. Mwenzio anazungumza mambo katika perspective ya kiroho, ambayo wewe naamini kuwa huna uelewa huo...

2. Hata katika perspective ya kisayansi anaelewa kuliko unavyoelewa wewe. Mfano hoja za kisayansi za Mch. Gwajima ni;

#1. Hakuna utafiti wa kutosha wa kisayansi uliokwisha kufanyika kuthibitisha usalama wa chanjo yeyote ya korona mpaka sasa. Kama upo weka paper yake hapa uoneshe ilichapwa lini, wapi na nani. Kama hakuna, haraka ya nini kutaka kulazimisha kila mtu achanjwe pasipo kuwa na scientific safety assurance kwanza..?

#2. Nini madhara ya chanjo hii ya muda mfupi, wa kati na mrefu kwa atakayechanjwa..?

#3. Kwa maneno ya Rais Samia Mwenyewe siku ya uzinduzi wa chanjo kitaifa alisema kuwa, mara mtu achanjwapo anaingia moja kwa moja kwenye database ya dunia. Swali, ni nani mmiliki wa database hiyo? Yuko wapi?

Haya ndo maswali anayouliza Mch. Gwajima na watetezi wa hii kitu wanakwepa au wanashindwa kutoa majibu sahihi...!!

Kama mtu makini hajiulizi maswali haya kabla ya kupokea hii kitu, basi huyo mtu ndiye mjinga kabisa kwa 100%...!"

Copy and paste
Kumbe mama alisema hivyo kuhusu kuchanjwa ni kuingizwa kwenye database ya dunia? Hilo lilikuwa kosa kubwa kimantiki na kimkakati, huwezi kuipromote chanjo tata kama hizi kwa kauli kama hizo.

Bila shaka naye ni miongoni mwa wale wanaoamini "Tanzania inaihitaji dunia kuliko dunia inavyoihitaji Tanzania".
 
Huyu ndio Kiongozi Mkuu wa Sukuma gang
t.png
 
kick point ya kupata waumini ndicho kinachoangaliwa lakini msingi mkuu ni chanjo ni muhimu sana na kusali kumuomba mungu nako ni muhimu sana
 
Gwajima ana hoja. Tatizo unaacha kujadili hoja,unakimbilia kwenye kuchochea CCM na serikali wamuadhibu Gwajima...
Mbona hayo maswali yake ya kipumbavu yaliishajibiwa zamani? Gwajima anahasira zake mwendzake alimdanganya atamuachia kiti cha Urais sasa mambo yamebuma
 
Nadhani ni muda yu bado. Anatafutiea angle. Adui yako ukishamuweka karibu ni rahisi kideal naye. As long as tuko hai lets keep watching this space hapa
 
Anafanya tu kusudi eti kisa Rais ni mwanamke. Gwajizo anaudaganya umma, jamani wilayani kwetu watu wengi wanafariki yeye analeta utani tu


Huo utakuwa ni mtazamo wenye inferiority complexity ndani yake!

Sizani.

Je kama anafanya hivyo kumuenzi JPM ambaye alikuwa ni Supreme Leader mwenye msimamo huo huo na kuwaambia wananchi kuwa hayo makitu hayafai?
 
Naona imekua too much sasa hivi kila jumapili Rashidi, anatumia lile Godauni la ufufuo na uzima kupingana na serikali, naona mpaka sasa yeye ndiye mshindi maana imeonyesha dhahiri serikali inamuogopa na haina hata ubavu wa kupa onyo.
View attachment 1885582View attachment 1885583
Hivi huko Ufufuo wa Misukule na Uzima hawana Ibada nyingine zaidi ya Covid 19 na Chanjo ? Mimi najua Kanisani ni Mahali pa kwenda kuambiwa ubaya wa Dhambi na kujiandaa Kwa Maisha ya Mbinguni.

sasahivi tuna wizara mbili zinazotoa matamko public juu ya chanjo,

wizara ya Afya na wizara ya ufufuo wa misukule na uzima ila mpaka sasa wizara ya ufufuo wa misukule ndio inanguvu sana
Unateseka ukiwa wapi mkuu
 
Back
Top Bottom