Serikali ya Rais Samia inamuogopa Askofu Gwajima na haina la kumfanya

Serikali ya Rais Samia inamuogopa Askofu Gwajima na haina la kumfanya

Mbona kama unataka kuijaza upepo serikali imshughulikie ?🤣
Serikali inawezaje kufanya jambo juu ya wananchi wake afu mbuzi mmoja akatumia nguvu nyiiingi kuiponda publicly hivi afu wamenyamaza tu na lazima kutakuwa na impact juu ya hili la Rashid wamebaki tu kurembua wanachojua ni kunyanyasa wanaohoji katiba mpya
 
Nitampiga mchungaji na kondoo watatawanyika. Naona wakati muafaka wa ccm kufarakana wao kwa wao umefika. Na ili ccm ianguke chali kifo Cha mende inabidi tukio la mnara wa babeli lijirudie wasielewane wao kwa wao hapo ndipo anguko lenye kishindo kikuu litasikika. Utakuwa mwisho mubaya wa matagama na vyama vyenye mfumo wa demokrasia ya kweli vitashika hatamu. Muda utatueleza hakuna Siri itakayofichika hata walioua na kutesa watu, pia kumpiga risasi tundu lisu watajulikana.
 
Hata mbowe mlisema hivyo hivyo....sasa sikia Gwajima hajajikaanga vizuri ngoja aive uone
naona imekua too much sasa hivi kila jumapili Rashidi, anatumia lile Godauni la ufufuo na uzima kupingana na serikali, naona mpaka sasa yeye ndiye mshindi maana imeonyesha dhahiri serikali inamuogopa na haina hata ubavu wa kupa onyo
View attachment 1885582View attachment 1885583
Hivi huko Ufufuo wa Misukule na Uzima hawana Ibada nyingine zaidi ya Covid 19 na Chanjo ? Mimi najua Kanisani ni Mahali pa kwenda kuambiwa ubaya wa Dhambi na kujiandaa Kwa Maisha ya Mbinguni.

sasahivi tuna wizara mbili zinazotoa matamko public juu ya chanjo,

wizara ya Afya na wizara ya ufufuo wa misukule na uzima
ila mpaka sasa wizara ya ufufuo wa misukule ndio inanguvu sana
 
Ukitaka kumchinja kobe lazima umulie timing.
Kweli mwinda Kanga hua hapigi kelele ni mwendo wa kimya kimya. Tusubiri huenda akavuliwa uanachama ili abaki kwenye madhabahu aachane na siasa
 
naona imekua too much sasa hivi kila jumapili Rashidi, anatumia lile Godauni la ufufuo na uzima kupingana na serikali, naona mpaka sasa yeye ndiye mshindi maana imeonyesha dhahiri serikali inamuogopa na haina hata ubavu wa kupa onyo
View attachment 1885582View attachment 1885583
Hivi huko Ufufuo wa Misukule na Uzima hawana Ibada nyingine zaidi ya Covid 19 na Chanjo ? Mimi najua Kanisani ni Mahali pa kwenda kuambiwa ubaya wa Dhambi na kujiandaa Kwa Maisha ya Mbinguni.

sasahivi tuna wizara mbili zinazotoa matamko public juu ya chanjo,

wizara ya Afya na wizara ya ufufuo wa misukule na uzima
ila mpaka sasa wizara ya ufufuo wa misukule ndio inanguvu sana
Mkuu si ukachanje kwani lazima boss ..!! Kachanjwe Jonson na Jonson ili uwe salama
 
Gwajima ana tofauti gani na akina Mchungaji Mgogo ambao wamegeuza madhabahu kuwa sehemu ya mipasho na siyo sehemu ya kuokolea roho za watu?
Huko umeenda mbali , kuna Yule mhuni anajiita askofu Bangoza akiongea kupondea serikali Basi utasikia ooh anatumia vizur Uhuru wa habari na kuwa n Halali yake asiingiliwe , Gwajima akiongea inakuwa nongwa et anaharibu nchi, Uhuru si ndo huu sasa jaman au tunalilia Uhuru upi...!! Wamwache Gwajiboy
 
Na kawa mpumbavu sana

ila tatizo anakusanya wapumbavu wengi mno

wamkate kimeo
Nah, it’s okay.

Hata wapumbavu wana haki ya kuwa wapumbavu bila kujali idadi yao.

Wasimnyamazishe. Wazijibu hoja zake za kipumbavu kwa hoja zenye akili.

Wakitumia nguvu kumnyamazisha maana yake ni kwamba kawashinda ki hoja!
 
Serikali inawezaje kufanya jambo juu ya wananchi wake afu mbuzi mmoja akatumia nguvu nyiiingi kuiponda publicly hivi afu wamenyamaza tu na lazima kutakuwa na impact juu ya hili la Rashid wamebaki tu kurembua wanachojua ni kunyanyasa wanaohoji katiba mpya
Wakuu mbna Bagonza akiongea kupondea misimamo ya serikali huwa tunashangilia , Why Gwajima iwe nongwa ?? wanaopenda kudungwa Syringe waende , labda wafanye kuwa lazima la sivyo hawapati mtu...!! Mapokezi ya Gwajima kitaa ni next level
 
Tanzania ni nchi huru,kila mtu ana uhuru wa kusema anachokitaka,sasa wewe unataka umpangie kitu cha kuongea,mjibuni Gwajiboy kwa hoja na si kwa kumtishia nyambafu nyie,kwani hii nchi ni ya kwenu tu? Hao wataalamu wa ndani wajitokeze kutupa facts!

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Nah, it’s okay.

Hata wapumbavu wana haki ya kuwa wapumbavu bila kujali idadi yao.

Wasimnyamazishe. Wazijibu hoja zake za kipumbavu kwa hoja zenye akili.

Wakitumia nguvu kumnyamazisha maana yake ni kwamba kawashinda ki hoja!
Never argue with a fool

tandika mbata atatia Akili
 
naona imekua too much sasa hivi kila jumapili Rashidi, anatumia lile Godauni la ufufuo na uzima kupingana na serikali, naona mpaka sasa yeye ndiye mshindi maana imeonyesha dhahiri serikali inamuogopa na haina hata ubavu wa kupa onyo
View attachment 1885582View attachment 1885583
Hivi huko Ufufuo wa Misukule na Uzima hawana Ibada nyingine zaidi ya Covid 19 na Chanjo ? Mimi najua Kanisani ni Mahali pa kwenda kuambiwa ubaya wa Dhambi na kujiandaa Kwa Maisha ya Mbinguni.

sasahivi tuna wizara mbili zinazotoa matamko public juu ya chanjo,

wizara ya Afya na wizara ya ufufuo wa misukule na uzima
ila mpaka sasa wizara ya ufufuo wa misukule ndio inanguvu sana
,kwa sisi tuaminio ata kuchanjwa ni dhambi
 
naona imekua too much sasa hivi kila jumapili Rashidi, anatumia lile Godauni la ufufuo na uzima kupingana na serikali, naona mpaka sasa yeye ndiye mshindi maana imeonyesha dhahiri serikali inamuogopa na haina hata ubavu wa kupa onyo
View attachment 1885582View attachment 1885583
Hivi huko Ufufuo wa Misukule na Uzima hawana Ibada nyingine zaidi ya Covid 19 na Chanjo ? Mimi najua Kanisani ni Mahali pa kwenda kuambiwa ubaya wa Dhambi na kujiandaa Kwa Maisha ya Mbinguni.

sasahivi tuna wizara mbili zinazotoa matamko public juu ya chanjo,

wizara ya Afya na wizara ya ufufuo wa misukule na uzima
ila mpaka sasa wizara ya ufufuo wa misukule ndio inanguvu sana
Liberty, isitoshe kusema tu kuwa chanjo ni hiari
 
Acha kubeza Kanisa la Mungu.
Zitadumu fikra za Anko MAGU.
 
Kweli mwinda Kanga hua hapigi kelele ni mwendo wa kimya kimya. Tusubiri huenda akavuliwa uanachama ili abaki kwenye madhabahu aachane na siasa
Anafanya tu kusudi eti kisa Rais ni mwanamke. Gwajizo anaudaganya umma, jamani wilayani kwetu watu wengi wanafariki yeye analeta utani tu
 
Back
Top Bottom