cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Not inferiority complex ni vile anatingisha kiberiti anaweza kumuenzi JPM vyovyote na sio kupotosha umma kwa kusoma ma conspiracies theories za watu wasio wataalamu.Huo utakuwa ni mtazamo wenye inferiority complexity ndani yake!
Sizani.
Je kama anafanya hivyo kumuenzi JPM ambaye alikuwa ni Supreme Leader mwenye msimamo huo huo na kuwaambia wananchi kuwa hayo makitu hayafai?
So hyo ni direct insubordination kwenye kazi na mwenyekiti wa chama