wanamuogopa hawamuweziMbona kama unataka kuijaza upepo serikali imshughulikie ?🤣
demokrasia ya hivi mimi ningekuwa Rais nisingeiweza kwakweliMwacheni Gwajima ateme nyongo yake hiyo ndio demokrasia tunayoililia kila siku...
Gwajima yeye analenga 2025 endapo ccm ikiwa imechukiwa na wadanganyika wote kwa sababu ya kuungana na Johnson & Johnson kuwachanja