Serikali ya Rais Samia kukamilisha kituo cha biashara Afrika Mashariki

Serikali ya Rais Samia kukamilisha kituo cha biashara Afrika Mashariki

kalacha mateo

Senior Member
Joined
Sep 27, 2021
Posts
119
Reaction score
240
Baada ya kukwama kwa mradi huu kwa miaka kumi, serikali ya Rais Samia Suluhu inajenga mradi huo ambao utakua na maduka 2060 na kuzalisha ajira za moja kwa moja zaidi 15000 na zisizo za moja kwa moja 50000. Eneo la mradi huo ni zaidi ya viwanja 10 vya mpira wa miguu.

Mradi huo utakapokamilika Tanzania itakusanya mapato ya TZS trilioni 1.2 kwa mwaka ambazo zitaenda kuwahudumia Watanzania kupitia huduma za kijamii na miradi ya maendeleo. Lengo la serikali ni kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha biashara Afrika Mashariki.

1685367855560.png
1685367855560.png
 
Baada ya kukwama kwa mradi huu kwa miaka kumi, serikali ya Rais Samia Suluhu inajenga mradi huo ambao utakua na maduka 2060 na kuzalisha ajira za moja kwa moja zaidi 15000 na zisizo za moja kwa moja 50000. Eneo la mradi huo ni zaidi ya viwanja 10 vya mpira wa miguu.

Mradi huo utakapokamilika Tanzania itakusanya mapato ya TZS trilioni 1.2 kwa mwaka ambazo zitaenda kuwahudumia Watanzania kupitia huduma za kijamii na miradi ya maendeleo. Lengo la serikali ni kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha biashara Afrika Mashariki.

View attachment 2639330View attachment 2639330
Ukisikia USWAHILI Ndio huu.
Na hatukuzoea awamu ya tano.
 
Mkuu mtoa mada usinipotoshe mimi sio zuzu, NI SERIKALI YA CCM NDIO ILIYOFANYA HAYO ULIYOYAANDIKA
 
Baada ya kukwama kwa mradi huu kwa miaka kumi, serikali ya Rais Samia Suluhu inajenga mradi huo ambao utakua na maduka 2060 na kuzalisha ajira za moja kwa moja zaidi 15000 na zisizo za moja kwa moja 50000. Eneo la mradi huo ni zaidi ya viwanja 10 vya mpira wa miguu.

Mradi huo utakapokamilika Tanzania itakusanya mapato ya TZS trilioni 1.2 kwa mwaka ambazo zitaenda kuwahudumia Watanzania kupitia huduma za kijamii na miradi ya maendeleo. Lengo la serikali ni kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha biashara Afrika Mashariki.

View attachment 2639330View attachment 2639330
Andika kwa utulivu..umeandika kishabiki kuliko kitaalamu hivyo taarifa yako kuwa na maswali mengi.
 
Baada ya kukwama kwa mradi huu kwa miaka kumi, serikali ya Rais Samia Suluhu inajenga mradi huo ambao utakua na maduka 2060 na kuzalisha ajira za moja kwa moja zaidi 15000 na zisizo za moja kwa moja 50000. Eneo la mradi huo ni zaidi ya viwanja 10 vya mpira wa miguu.

Mradi huo utakapokamilika Tanzania itakusanya mapato ya TZS trilioni 1.2 kwa mwaka ambazo zitaenda kuwahudumia Watanzania kupitia huduma za kijamii na miradi ya maendeleo. Lengo la serikali ni kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha biashara Afrika Mashariki.

View attachment 2639330View attachment 2639330
Sema kabisa kwamba kitaingiza mapato ya Kodi sh.1.2 Tilioni
 
Baada ya kukwama kwa mradi huu kwa miaka kumi, serikali ya Rais Samia Suluhu inajenga mradi huo ambao utakua na maduka 2060 na kuzalisha ajira za moja kwa moja zaidi 15000 na zisizo za moja kwa moja 50000. Eneo la mradi huo ni zaidi ya viwanja 10 vya mpira wa miguu.

Mradi huo utakapokamilika Tanzania itakusanya mapato ya TZS trilioni 1.2 kwa mwaka ambazo zitaenda kuwahudumia Watanzania kupitia huduma za kijamii na miradi ya maendeleo. Lengo la serikali ni kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha biashara Afrika Mashariki.

View attachment 2639330View attachment 2639330
Hatupo serious..
 
Back
Top Bottom