Serikali ya Rais Samia kukamilisha kituo cha biashara Afrika Mashariki

Serikali ya Rais Samia kukamilisha kituo cha biashara Afrika Mashariki

hatuwezi ku centralize kila kitu dar , nchi hii ni kubwa na kila pahala Pana watu na wahitaji pia . hivyo kila pahala serikali ilipojenga ni sahihi kabisa. acheni u -chagga gang ambao kila kitu kizuri wanataka kiwe Kilimanjaro.
Huyo anakimbilia kutaja huko aende soko la Magomeni Dar halina watu kule juu,asitaje Iringa wala Morogoro.Halafu anaongea uongo yaani stend ya Msamvu iko tupu kweli au stend ya Nyegezi anaijua huyo?

Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
 
Huu ni mradi wa Wachina kwenye ardhi ya Halmashauri ya Ubungo
Wachina wameona Tanzania ni njia ya masoko ya Zambia, Rwanda, Burundi, Malawi, DRC

Kuweka hapo kituo cha biashara itakuwa rahisi kwao kuuza hapa Tz na ku-supply nchi jirani. Akili mingi hao jamaa
 
hatuwezi ku centralize kila kitu dar , nchi hii ni kubwa na kila pahala Pana watu na wahitaji pia . hivyo kila pahala serikali ilipojenga ni sahihi kabisa. acheni u -chagga gang ambao kila kitu kizuri wanataka kiwe Kilimanjaro.
Hatuwezi kuendelea kwa kupromote imports tungejipa kongole kwa kujenga viwanda na ku export .naona issue ya tanzania ya vi wonder imekufa. Hatuna mipango endelevu.yes litaonekana ni bonge la.dude ila ni dumping heaven
 
Kama ni pale Ubungo je ni viwanja kumi vya mpira au hio 10 football stadiums ni Chachandu tu
 
Hakuna wananchi sindio,mbona soko la Magomeni Dar halina watu kule juu mbona hamsemi?au lile soko la Kijichi kule hadi Rais Samia akawaambia wafanye ukumbi wa harusi wapate pesa.

Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
Tatizo umedandia treni.
Mi nilikua naongelea miradi mikubwa yote kwa ujumla haina faida kwa nchi hata tusubiri miaka 50

Mf JNIA kwa sasa inapitisha 3.5ppy, wakati lengo ni 8milppy

Msalato pia unajengwa kwa ukubwa huo huo
 
Binafsi naonelea baadhi ya miradi viporo ingeachwa tu. Mama asipate taabu ya kuwaridhisha wanaopenda viporo. Kama angejikita kwenye fikra mpya kama kufufua General motors na viwanda vingine asasi ingekuwa bora zaidi.
 
Tatizo umedandia treni.
Mi nilikua naongelea miradi mikubwa yote kwa ujumla haina faida kwa nchi hata tusubiri miaka 50

Mf JNIA kwa sasa inapitisha 3.5ppy, wakati lengo ni 8milppy

Msalato pia unajengwa kwa ukubwa huo huo
Wewe umetaja Iringa, Dodoma, Mwanza na Morogoro wakati kunamiradi kibao Dar hapa haina kitu.Halafu serikali haijengi mradi kwakuangalia leo kama unavojenga nyumba yako mnalala vyumba vyote vinajaa inaangalia mbele zaidi.

Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom