kalacha mateo
Senior Member
- Sep 27, 2021
- 119
- 240
Bukoba maana Kagera ndocmkoa uliopakana nchi nyingi za Africa masharikiUnajengwa wap
Ukisikia USWAHILI Ndio huu.Baada ya kukwama kwa mradi huu kwa miaka kumi, serikali ya Rais Samia Suluhu inajenga mradi huo ambao utakua na maduka 2060 na kuzalisha ajira za moja kwa moja zaidi 15000 na zisizo za moja kwa moja 50000. Eneo la mradi huo ni zaidi ya viwanja 10 vya mpira wa miguu.
Mradi huo utakapokamilika Tanzania itakusanya mapato ya TZS trilioni 1.2 kwa mwaka ambazo zitaenda kuwahudumia Watanzania kupitia huduma za kijamii na miradi ya maendeleo. Lengo la serikali ni kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha biashara Afrika Mashariki.
View attachment 2639330View attachment 2639330
Andika kwa utulivu..umeandika kishabiki kuliko kitaalamu hivyo taarifa yako kuwa na maswali mengi.Baada ya kukwama kwa mradi huu kwa miaka kumi, serikali ya Rais Samia Suluhu inajenga mradi huo ambao utakua na maduka 2060 na kuzalisha ajira za moja kwa moja zaidi 15000 na zisizo za moja kwa moja 50000. Eneo la mradi huo ni zaidi ya viwanja 10 vya mpira wa miguu.
Mradi huo utakapokamilika Tanzania itakusanya mapato ya TZS trilioni 1.2 kwa mwaka ambazo zitaenda kuwahudumia Watanzania kupitia huduma za kijamii na miradi ya maendeleo. Lengo la serikali ni kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha biashara Afrika Mashariki.
View attachment 2639330View attachment 2639330
Sema kabisa kwamba kitaingiza mapato ya Kodi sh.1.2 TilioniBaada ya kukwama kwa mradi huu kwa miaka kumi, serikali ya Rais Samia Suluhu inajenga mradi huo ambao utakua na maduka 2060 na kuzalisha ajira za moja kwa moja zaidi 15000 na zisizo za moja kwa moja 50000. Eneo la mradi huo ni zaidi ya viwanja 10 vya mpira wa miguu.
Mradi huo utakapokamilika Tanzania itakusanya mapato ya TZS trilioni 1.2 kwa mwaka ambazo zitaenda kuwahudumia Watanzania kupitia huduma za kijamii na miradi ya maendeleo. Lengo la serikali ni kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha biashara Afrika Mashariki.
View attachment 2639330View attachment 2639330
awamu ya 5 si ilikuwa ya washamba mambo ya kisasa km hayo mtayazoea wapi.Ukisikia USWAHILI Ndio huu.
Na hatukuzoea awamu ya tano.
Siyo ubungo stand ya zamani?Unajengwa wap
Uswahili umekukosea nini? Mbona unaandika Kiswahili?Ukisikia USWAHILI Ndio huu.
Na hatukuzoea awamu ya tano.
Huu ni mradi wa Wachina kwenye ardhi ya Halmashauri ya Ubungo..Ni bora kujenga miradi ya aina hii kuliko kujenga Ikulu mpya na Samia Complex Dodoma.
Huu ni mradi wa Wachina kwenye ardhi ya Halmashauri ya Ubungo
Hatupo serious..Baada ya kukwama kwa mradi huu kwa miaka kumi, serikali ya Rais Samia Suluhu inajenga mradi huo ambao utakua na maduka 2060 na kuzalisha ajira za moja kwa moja zaidi 15000 na zisizo za moja kwa moja 50000. Eneo la mradi huo ni zaidi ya viwanja 10 vya mpira wa miguu.
Mradi huo utakapokamilika Tanzania itakusanya mapato ya TZS trilioni 1.2 kwa mwaka ambazo zitaenda kuwahudumia Watanzania kupitia huduma za kijamii na miradi ya maendeleo. Lengo la serikali ni kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha biashara Afrika Mashariki.
View attachment 2639330View attachment 2639330