Serikali ya Rais Samia kukamilisha kituo cha biashara Afrika Mashariki

..miradi kama hii ina faida kuliko kujenga maofisi ya anasa ya viongozi.

..viongozi wetu ni wabinafsi sana. Juzi mumeona Igp mstaafu amepewa zawadi ya gari toyota landcruiser V-8. Je, hiyo ni sahihi ktk nchi masikini kama Tanzania?
Kweli
Mfano mkubwa Stendi ya Dodoma, zile za Mwanza, Iringa, Morogoro hazikupaswa jenga kwa ukubwa ule maana ukienda ziko wazi kuanzia frame hadi magari.

Masoko mengi yako tupu

Ujenzi wa majengo makubwa Dodoma ni hasara
 
Kweli
Mfano mkubwa Stendi ya Dodoma, zile za Mwanza, Iringa, Morogoro hazikupaswa jenga kwa ukubwa ule maana ukienda ziko wazi kuanzia frame hadi magari.

Masoko mengi yako tupu

Ujenzi wa majengo makubwa Dodoma ni hasara

..masoko hayapaswi kuwa matupu.

..Je, kulikuwa hakuna umakini ktk kuchagua eneo la ujenzi wa soko?

..Tunaweza kupiga hatua kubwa ikiwa tutadhibiti upotevu wa mapato na matumizi yasiyo ya lazima.
 
Kweli
Mfano mkubwa Stendi ya Dodoma, zile za Mwanza, Iringa, Morogoro hazikupaswa jenga kwa ukubwa ule maana ukienda ziko wazi kuanzia frame hadi magari.

Masoko mengi yako tupu

Ujenzi wa majengo makubwa Dodoma ni hasara
hatuwezi ku centralize kila kitu dar , nchi hii ni kubwa na kila pahala Pana watu na wahitaji pia . hivyo kila pahala serikali ilipojenga ni sahihi kabisa. acheni u -chagga gang ambao kila kitu kizuri wanataka kiwe Kilimanjaro.
 
hatuwezi ku centralize kila kitu dar , nchi hii ni kubwa na kila pahala Pana watu na wahitaji pia . hivyo kila pahala serikali ilipojenga ni sahihi kabisa. acheni u -chagga gang ambao kila kitu kizuri wanataka kiwe Kilimanjaro.
Huko mikoani hakuna faida
 
..masoko hayapaswi kuwa matupu.

..Je, kulikuwa hakuna umakini ktk kuchagua eneo la ujenzi wa soko?

..Tunaweza kupiga hatua kubwa ikiwa tutadhibiti upotevu wa mapato na matumizi yasiyo ya lazima.
Maeneo yote ni yale yale, ila yamejengwa kwa magorofa na sakafu.
Kuna wengine wanataka wazindike
 
Mkuu mtoa mada usinipotoshe mimi sio zuzu, NI SERIKALI YA CCM NDIO ILIYOFANYA HAYO ULIYOYAANDIKA

..serikali ya Tanzania.

..kodi inalipwa na Watanzania wote.

..matamko yenu ni kana kwamba Ccm peke yao ndio wanaolipa kodi.
 
Kawaida ya wapigaji wakianza na upumbavu kama huu!

Mradi unajengwa wapi?
Nani ndio wawekezaji?
Kampuni ya nchi gani?...

Blah blah kibao ila mwisho ni wizi mtupu!
 
hatuwezi ku centralize kila kitu dar , nchi hii ni kubwa na kila pahala Pana watu na wahitaji pia . hivyo kila pahala serikali ilipojenga ni sahihi kabisa. acheni u -chagga gang ambao kila kitu kizuri wanataka kiwe Kilimanjaro.
We ni matako ya fisi pori ushaanza ujinga wako wa ukabila mavi yako kenge wewe
 
Arusha wangeweka hiki kituo, Jiji la Arusha ndio ingekuwa Geneva of Africa 100%, kungependeza mno.
 
Wanasema biashara juu ya meza haina hasara.

Hizo ni projections. Ufahamu kuwa biashara zote zinazofungwa, waliozianzisha walipiga mahesabu yao na kuona kuna faida nzuri lakini baada ya kuanza ndipo waliuona uhalisia.
 
Kweli
Mfano mkubwa Stendi ya Dodoma, zile za Mwanza, Iringa, Morogoro hazikupaswa jenga kwa ukubwa ule maana ukienda ziko wazi kuanzia frame hadi magari.

Masoko mengi yako tupu

Ujenzi wa majengo makubwa Dodoma ni hasara
Yawezekana zimejengwa ubashiri wa miaka mingi mbele, si kwa kuangalia tu wakati wa sasa
 
..miradi kama hii ina faida kuliko kujenga maofisi ya anasa ya viongozi.

..viongozi wetu ni wabinafsi sana. Juzi mumeona Igp mstaafu amepewa zawadi ya gari toyota landcruiser V-8. Je, hiyo ni sahihi ktk nchi masikini kama Tanzania?
Hahahah hapo washalamba asali tu wamesaini mkeka. Huo mradi ni mkataba wa wachina na serikali ya Tanzania.

Mradi huo utakuja kuwa chini ya NHC after 30 years. Wachina wakisharudisha hela zao niliwahi kuwa mfanyakazi wa hapo sema niliachaga kazi. Nauelewa inside out.
 
Kweli
Mfano mkubwa Stendi ya Dodoma, zile za Mwanza, Iringa, Morogoro hazikupaswa jenga kwa ukubwa ule maana ukienda ziko wazi kuanzia frame hadi magari.

Masoko mengi yako tupu

Ujenzi wa majengo makubwa Dodoma ni hasara
Uko sijui Iringa ni km mbali nenda soko la jipya pale Magomeni uone lipo tupu kule juu.

Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
 
Kawaida ya wapigaji wakianza na upumbavu kama huu!

Mradi unajengwa wapi?
Nani ndio wawekezaji?
Kampuni ya nchi gani?...

Blah blah kibao ila mwisho ni wizi mtupu!
1.Mradi unajengwa ilipokuwa Ubungo terminal mkabala na TBS.

2.Wawekezaji ni kampuni ya kichina inaitwa Shanghai Linghang.

3.Kampuni ni ya kichina na makao makuu yake ni China.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…