barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Awamu ya tano. Serikali hii sio mpya, ni muendelezo wa serikali ya JPM hakukua na uchaguzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili ndilo tatizo la kuchukua neno la lugha nyengine na kutaka kulifanya lako.Ninavyojua ni Awamu ya Sita, maana awamu inaenda na Rais mwenyewe japo awamu yake imeanzia njiani kumalizia alipoachia JPM, ni kama Zanizibar alivyofariki Karume Jumbe alkua Rais wa awamu ya pili na sio ile ie ya kwanza.
Hakuna namma subiri kuepetiwa petiwa kizanzibari ni aina ya utawala ambao naamini hautakuwa wa machungu sana kama ule... Japo ccm ni ileileMwanamke wa kizanzibar anaongoza Tanganyika hadi Zanzibari, SAFI SANAAAA!
Tafuta mwanasheria umuulize.
Ni baraza la Mawaziri sawa,ila sio lazima wote waliomo wawe Mawaziri,some could be their supporting staff.Baraza kubwa sana!
Ni ya tano mkuu,kwa kuwa anamalizia tu Magu alipoachia.Awamu hii ni ya Magufuli.Ila mama Samia katiba inamruhusu kugombea awamu ya sita kama atataka.Nimemsikia mwanasheria aki-clarify.
Dah!!Naomba majibu Tafadhali ili kuwa na reference nzuri na ya uhakika humu jamvini....
Hakuna haja ya kubishana mkuu.Na mbona mwenyewe umekiri kwamba sio mwanasheria.This proves that you don't know.We jamaa, sio kila mwanasheria anaelewa anachokisema.
Awamu ni muhula wa miaka mitano au kumi?
Mie sio mwana sheria, ila kwa uelewa wa kawaida tu, hii ni awamu ya sita (1 Nyerere, 2Mwinyi,3 Mkapa, 4Kikwete, 5Magufuli, 6Samia)