The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,541
Baadae waitwe Viongozi wa Dini ili waende kuisafisha na kuitakasa Ikulu yetu
Maana Wachawi kutoka Kanda ya Ziwa walikuwa wameweka kijiwe
Ikawaje wakashindwa kuzuia kifo cha ndugu yao?
Hawa wachawi hawafai kabisa...
Naunga mkono Ikulu ikasafishwe na kutakaswa...