johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #61
Nkya ni ya 5 au 6?Dah!!
Wee Mama..your level of understanding must be so poor..so poor.
Kama suala dogo namna hii unashindwa kulijua!
Jibu Tafadhali manka!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nkya ni ya 5 au 6?Dah!!
Wee Mama..your level of understanding must be so poor..so poor.
Kama suala dogo namna hii unashindwa kulijua!
Usipotoshe umma mkuu ulichoandika kakifanyie kazi alafu uandike upya.Ninavyojua ni Awamu ya Sita, maana awamu inaenda na Rais mwenyewe japo awamu yake imeanzia njiani kumalizia alipoachia JPM, ni kama Zanizibar alivyofariki Karume Jumbe alkua Rais wa awamu ya pili na sio ile ie ya kwanza.
Tunapopata Rais mpya na Bunge jipya katika Uchaguzi tunapata Awamu mpya kwa hiyo kama Rungwe angeshinda tungekuwa na Rais mpya na Bunge la CCM jipya leo ingekuwa Awamu ya Sita na Awamu ya Tano ingekuwa ya Kipindi kimoja tu kama ya Repblican ya Rais Trump wa Marekani na Mama Samia angekuwa out of the scene.Uchaguzi wa mwaka 2020, Hashim Rungwe angeshinda angekuwa ni Rais wa 6 wa JMT. Awamu (japo neno hili halipo popote kisheria) ingekuwa pia ni ya 6.
Tunapopata Rais mpya na awamu inakuwa ni mpya.
That makes sense!Ufafanuzi Mheshimiwa Rais SSH ni Rais wa awamu ya sita. Awamu inaendana na rais kubadilika siyo Miaka aloongoza
Ufafanuzi wa Kwanza
Zanzibar alipofariki Karume, aliyefuata iliitwa awamu ya pili wala siyo ya Kwanza
Pili Wanaodhani awamu ni Miaka 10 je Nyerere aliyeongoza miaka 23 ameongoza awamu mbili? Ni moja
Ingetokea Lissu akawa Rais Mwaka 2020 serikali yake ni awamu ya sita so Kwamba anakamilisha Kumi ku combine na Magufuli ili iwe miaka 10 watengeneze awamu kamili
Pia Samia Suluhu Hassan ni Rais wa awamu ya Sita,
Ufafanuzi wa Samia Suluhu kugombea
Anzia Ibara ya 37(2) inaeleza kuwa Makamu Endapo Rais akifa yeye anahapishwa kuwa rais, Ila anaruhusiwa kugombea awamu ya pili , yaan akimalizia kipindi cha aliyekufa anaweza gombea Mihula 2 kama Rais aliyekufa alikuwa ameshaongoza Zaid ya Miaka 2 hiyo haihesabiki , hakatazwi kugombea mara mbili mbeleni, lakin akichukua madaraka wakati Rais alokufa kashaongoza Chini ya Miaka 2 hapo anaruhusiwa kugombea term moja
Mfano
Magufuli angefariki 2023 hapo Samia angechukua madaraka na kumalizia na anaruhusiwa kugombea 2025 na 2030,
Lakin kwakuwa Magufuli ameaga dunia 2021, Samia ataruhusiwa kugombea mara moja tu ya 2025
Poleni CCM mliotegemea kugombea 2025,
Britannica
Hakuna haja ya kubishana mkuu.Na mbona mwenyewe umekiri kwamba sio mwanasheria.This proves that you don't know.
Anyway,nimesema tafuta mwanasheria unayemuanini wewe kama unataka kupata ukweli.
Sidhani kama TBC1 wanaweza kumualika mwanasheria kihiyo kiasi hicho asiyejua hata kitu kidogo kama hiki.Jamani ubishi mwingine hauna maana.Hapa shida kubwa ni matumizi ya neno awamu na muhula/ mihula.
Sawa mkuu.Narudia tena, Mama Samia anaanza awamu ya sita muhula wa kwanza.
Kasukumiziwa hakutegemea kuokota dodoAwamu ya tano ila rais ni wa sita
Hakika praise team hiki ni kimya kimyaKishindo cha serikali ya awamu ya sita...
Anashangaa sanaKasukumiziwa hakutegemea kuokota dodo
Mzee hii hahiitaji mwanasheriaKwani wewe ni mwanasheria?Kama huyo ni tangoo,tafuta unayemuamini wewe umuulize.Confirm.
Lipewe hatimilikiHilo neno maendeleo hayana vyama inabidi uache kulitumia
Kabisa liwe mali ya aliyeliasisi.Lipewe hatimiliki
Kwa hiyo Mwigulu asubiri hadi 2030? Si atakuwa kazeeka?Awamu ya sita (maana Samia hata akiamua kugombea baadaye, atagombea 2025). Sababu ni kuwa, mpaka 2025 atakuwa ameshaongoza kwa miaka mi4.
Labda raisi wa singida unitedKwa hiyo Mwigulu asubiri hadi 2030? Si atakuwa kazeeka?
Maskini rafiki yangu Mwigulu...urais atausikia tu.
Huyo tayari ni rais wa Jamhuri ya MaweKwa hiyo Mwigulu asubiri hadi 2030? Si atakuwa kazeeka?
Maskini rafiki yangu Mwigulu...urais atausikia tu.
Mbona sasa watu wanasigana kama haihitaji clarification ya Mwanasheria?Mzee hii hahiitaji mwanasheria
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]Baadae waitwe Viongozi wa Dini ili waende kuisafisha na kuitakasa Ikulu yetu
Maana Wachawi kutoka Kanda ya Ziwa walikuwa wameweka kijiwe