Ufafanuzi Mheshimiwa Rais SSH ni Rais wa awamu ya sita. Awamu inaendana na rais kubadilika siyo Miaka aloongoza
Ufafanuzi wa Kwanza
Zanzibar alipofariki Karume, aliyefuata iliitwa awamu ya pili wala siyo ya Kwanza
Pili Wanaodhani awamu ni Miaka 10 je Nyerere aliyeongoza miaka 23 ameongoza awamu mbili? Ni moja
Ingetokea Lissu akawa Rais Mwaka 2020 serikali yake ni awamu ya sita so Kwamba anakamilisha Kumi ku combine na Magufuli ili iwe miaka 10 watengeneze awamu kamili
Pia Samia Suluhu Hassan ni Rais wa awamu ya Sita,
Ufafanuzi wa Samia Suluhu kugombea
Anzia Ibara ya 37(2) inaeleza kuwa Makamu Endapo Rais akifa yeye anahapishwa kuwa rais, Ila anaruhusiwa kugombea awamu ya pili , yaan akimalizia kipindi cha aliyekufa anaweza gombea Mihula 2 kama Rais aliyekufa alikuwa ameshaongoza Zaid ya Miaka 2 hiyo haihesabiki , hakatazwi kugombea mara mbili mbeleni, lakin akichukua madaraka wakati Rais alokufa kashaongoza Chini ya Miaka 2 hapo anaruhusiwa kugombea term moja
Mfano
Magufuli angefariki 2023 hapo Samia angechukua madaraka na kumalizia na anaruhusiwa kugombea 2025 na 2030,
Lakin kwakuwa Magufuli ameaga dunia 2021, Samia ataruhusiwa kugombea mara moja tu ya 2025
Poleni CCM mliotegemea kugombea 2025,
Britannica