Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan ni awamu ya 5 au 6?

Awamu hutimilika kwa ile miaka 5 au 10 ya kikatiba na wala si uwepo wa mtu fulani
 
Ninavyojua ni Awamu ya Sita, maana awamu inaenda na Rais mwenyewe japo awamu yake imeanzia njiani kumalizia alipoachia JPM, ni kama Zanizibar alivyofariki Karume Jumbe alkua Rais wa awamu ya pili na sio ile ie ya kwanza.
Usipotoshe umma mkuu ulichoandika kakifanyie kazi alafu uandike upya.
 
Uchaguzi wa mwaka 2020, Hashim Rungwe angeshinda angekuwa ni Rais wa 6 wa JMT. Awamu (japo neno hili halipo popote kisheria) ingekuwa pia ni ya 6.

Tunapopata Rais mpya na awamu inakuwa ni mpya.
Tunapopata Rais mpya na Bunge jipya katika Uchaguzi tunapata Awamu mpya kwa hiyo kama Rungwe angeshinda tungekuwa na Rais mpya na Bunge la CCM jipya leo ingekuwa Awamu ya Sita na Awamu ya Tano ingekuwa ya Kipindi kimoja tu kama ya Repblican ya Rais Trump wa Marekani na Mama Samia angekuwa out of the scene.
 
That makes sense!
 

Narudia tena, Mama Samia anaanza awamu ya sita muhula wa kwanza.
 
Awamu ya sita (maana Samia hata akiamua kugombea baadaye, atagombea 2025). Sababu ni kuwa, mpaka 2025 atakuwa ameshaongoza kwa miaka mi4.
Kwa hiyo Mwigulu asubiri hadi 2030? Si atakuwa kazeeka?
Maskini rafiki yangu Mwigulu...urais atausikia tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…