Serikali ya rais Samia yafanya makubwa jimboni Chalinze, mbunge na wananchi washukuru sana

Serikali ya rais Samia yafanya makubwa jimboni Chalinze, mbunge na wananchi washukuru sana

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
377
Reaction score
435
Serikali ya JMT leo imetimiza ahadi zake zilizotolewa na Rais wa JMT Mh. Samiah Suluhu Hassan kwa kupeleka Vifaa tiba Hospitali ya Wilaya ya Chalinze vyenye thamani ya Shilingi Milioni 480 ikiwemo mashine ya Kupiga picha za Mionzi yaani X-Ray, Jokofu la kuhifadhia maiti, mashine za kupimia damu na vifaa mbalimbali.

Mh. Mbunge wa Jimbo Mhe Ridhiwani Kikwete ameishukuru Serikali kwa kutekeleza ahadi hii ndani ya muda wa wiki tatu toka kutolewa kwa ahadi.

Wananchi wa Kata hiyo wakiongozwa na wakina mama ambao walikuwa ipokea wameshangilia na huku wazee wakimuombea Mungu amlinde Rais wa Nchi yetu.

IMG-20210930-WA0000.jpg

IMG-20210930-WA0004.jpg

IMG-20210930-WA0001.jpg

IMG-20210930-WA0005.jpg

IMG-20210930-WA0002.jpg

IMG-20210930-WA0003.jpg
 
Enzi za kale mababu walikuwa wanawasifia wakoloni kwa kutoa elimu bure, huku wamesahau kama wakoloni wanawaibia rasilimali zao. Ndio haya watanzania tunasifu serikali ya Samia wakati ni jukumu lake.

Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Ajabu nini sasa wakati ni kwakiku?? Bado kijana rizi kuwa waziri tunazuga kwanza isionekane waaazi
 
Hivi raisi wa Tz anatoaga wapi hela? Naona karibia wote wanakuwaga mabilionea.
 
Enzi za kale mababu walikuwa wanawasifia wakoloni kwa kutoa elimu bure, huku wamesahau kama wakoloni wanawaibia rasilimali zao. Ndio haya watanzania tunasifu serikali ya Samia wakati ni jukumu lake.

Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Akili zetu hazitokaa ziamke kutoka usingizini
 
Mtaendelea kuwashukuru viongozi wenu wanaotekeleza wajibu wao tena kwa kuchelewa hadi lini?!
 
Back
Top Bottom