Serikali ya Samia inanuka rushwa: Orodha ya Idara zinazoona zina haki ya kupewa rushwa

Serikali ya Samia inanuka rushwa: Orodha ya Idara zinazoona zina haki ya kupewa rushwa

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Awamu ya Magufuli kidogo watumishi wa serikali walishaanza kuogopa. Nidhamu na customer care ilikuwepo kwa kiwango fulani. Kwa hiki nampongeza Magufuli.

Awamu hii ya sita hali inatisha. Ofisi za umma zinanuia uvundo wa rushwa. Kuanzia boss mpaka msaidizi wa ofisi wote wanaweza kirushwa-rushwa tu. Rushwa ya huku chini kwa watoa huduma inachochewa na viongozi huko serikali kuu. Wanaona viongozi wao wanachota mahela kwa nini na wao wasichoke.

Nakupa mfano mdogo ofisi za Ardhi Jiji la Dodoma. Nenda pale kushughulikie suala la ardhi. Kwao mteja ni fursa ya rushwa. Kama unafuatilia hati gharama haizidi 50,000 lakini utafutalia mwaka mzima na hutatoboa kwa sababu faili lako litatelekezwa. Lakini wana kiwango chao cha rushwa 150,000 unapata hati ndani ya mwezi. Hii inafanyika bila kificho. Na hiyo sio ya mtu mmoja inakuwa ni chain wanagawana watu kadhaa watakaoshughulikia issue yako.

Hii ipo nchi nzima kwa watu wa ardhi, Ili upate huduma kwa wakati lazima umuone pembeni.
Hapo ni kwenye upande wa ardhi. Idara/kada zingine zinazoona zina haki ya kupewa rushwa ni:
✅Polisi
✅Wahudumu wa Afya
✅Watumishi wa Mahakama
✅Maafisa Utumishi
 
We need a leadership tone ya kukemea haya. Ila inasikitisha sana hawa wakurugenzi wanaopewa kuendesha na kusimamia hizo taasisi.

Haihitaji mpaka rais awe mkali ndiyo kila mtu afanye kazi. Wakuu wote wa taasisi waweke “tone” ya kiuongozi watu waache huo ujinga.
 
Awamu ya Magufuli kidogo watumishi wa serikali walishaanza kuogopa. Nidhamu na customer care ilikuwepo kwa kiwango fulani. Kwa hiki nampongeza Magufuli.

Awamu hii ya sita hali inatisha. Ofisi za umma zinanuia uvundo wa rushwa. Kuanzia boss mpaka msaidizi wa ofisi wote wanaweza kirushwa-rushwa tu. Rushwa ya huku chini kwa watoa huduma inachochewa na viongozi huko serikali kuu. Wanaona viongozi wao wanachota mahela kwa nini na wao wasichoke.

Nakupa mfano mdogo ofisi za Ardhi Jiji la Dodoma. Nenda pale kushughulikie suala la ardhi. Kwao mteja ni fursa ya rushwa. Kama unafuatilia hati gharama haizidi 50,000 lakini utafutalia mwaka mzima na hutatoboa kwa sababu faili lako litatelekezwa. Lakini wana kiwango chao cha rushwa 150,000 unapata hati ndani ya mwezi. Hii inafanyika bila kificho. Na hiyo sio ya mtu mmoja inakuwa ni chain wanagawana watu kadhaa watakaoshughulikia issue yako.

Hii ipo nchi nzima kwa watu wa ardhi, Ili upate huduma kwa wakati lazima umuone pembeni.
Hapo ni kwenye upande wa ardhi. Idara/kada zingine zinazoona zina haki ya kupewa rushwa ni:
✅Polisi
✅Wahudumu wa Afya
✅Watumishi wa Mahakama
✅Maafisa Utumishi
Sio kidogo... sema nidhamu ilikuwepo!
 
Awamu ya Magufuli kidogo watumishi wa serikali walishaanza kuogopa. Nidhamu na customer care ilikuwepo kwa kiwango fulani. Kwa hiki nampongeza Magufuli.

Awamu hii ya sita hali inatisha. Ofisi za umma zinanuia uvundo wa rushwa. Kuanzia boss mpaka msaidizi wa ofisi wote wanaweza kirushwa-rushwa tu. Rushwa ya huku chini kwa watoa huduma inachochewa na viongozi huko serikali kuu. Wanaona viongozi wao wanachota mahela kwa nini na wao wasichoke.

Nakupa mfano mdogo ofisi za Ardhi Jiji la Dodoma. Nenda pale kushughulikie suala la ardhi. Kwao mteja ni fursa ya rushwa. Kama unafuatilia hati gharama haizidi 50,000 lakini utafutalia mwaka mzima na hutatoboa kwa sababu faili lako litatelekezwa. Lakini wana kiwango chao cha rushwa 150,000 unapata hati ndani ya mwezi. Hii inafanyika bila kificho. Na hiyo sio ya mtu mmoja inakuwa ni chain wanagawana watu kadhaa watakaoshughulikia issue yako.

Hii ipo nchi nzima kwa watu wa ardhi, Ili upate huduma kwa wakati lazima umuone pembeni.
Hapo ni kwenye upande wa ardhi. Idara/kada zingine zinazoona zina haki ya kupewa rushwa ni:
✅Polisi
✅Wahudumu wa Afya
✅Watumishi wa Mahakama
✅Maafisa Utumishi
Mkuu Umetusahau walimu
 
Wanazingatia kula kwa urefu wa kamba zao!
Kama kamba zao ni fupi kwa nini wasichukue rushwa?
 
We need a leadership tone ya kukemea haya. Ila inasikitisha sana hawa wakurugenzi wanaopewa kuendesha na kusimamia hizo taasisi.

Haihitaji mpaka rais awe mkali ndiyo kila mtu afanye kazi. Wakuu wote wa taasisi waweke “tone” ya kiuongozi watu waache huo ujinga.
watu wanaongoza kulingana na upepo, ukiwa mkali unaambiwa Mama apendi ukali
unataka wafanyaje
 
Nyakati za Mwendazake watumishi walinyoka kwelikweli kuna kipindi nikwenda Kituo cha Afya Mlandizi nikapokewa km mfalme.. baada ya matibabu wakaniuliza km nina mahala pa kulala km la wanipe kitanda maana ilikuwa usiku nilipata ajali ya pikipiki nipata jeraha kidogo mguu nikitoka shambani Kitonga.. muda wote walinihofia wakidhani ni mtu wa system nimekvja kuwatega.. Utawala wa yule jamaa huduma zilitolewa vizuri sn..
 
Awamu ya Magufuli kidogo watumishi wa serikali walishaanza kuogopa. Nidhamu na customer care ilikuwepo kwa kiwango fulani. Kwa hiki nampongeza Magufuli.

Awamu hii ya sita hali inatisha. Ofisi za umma zinanuia uvundo wa rushwa. Kuanzia boss mpaka msaidizi wa ofisi wote wanaweza kirushwa-rushwa tu. Rushwa ya huku chini kwa watoa huduma inachochewa na viongozi huko serikali kuu. Wanaona viongozi wao wanachota mahela kwa nini na wao wasichoke.

Nakupa mfano mdogo ofisi za Ardhi Jiji la Dodoma. Nenda pale kushughulikie suala la ardhi. Kwao mteja ni fursa ya rushwa. Kama unafuatilia hati gharama haizidi 50,000 lakini utafutalia mwaka mzima na hutatoboa kwa sababu faili lako litatelekezwa. Lakini wana kiwango chao cha rushwa 150,000 unapata hati ndani ya mwezi. Hii inafanyika bila kificho. Na hiyo sio ya mtu mmoja inakuwa ni chain wanagawana watu kadhaa watakaoshughulikia issue yako.

Hii ipo nchi nzima kwa watu wa ardhi, Ili upate huduma kwa wakati lazima umuone pembeni.
Hapo ni kwenye upande wa ardhi. Idara/kada zingine zinazoona zina haki ya kupewa rushwa ni:
✅Polisi
✅Wahudumu wa Afya
✅Watumishi wa Mahakama
✅Maafisa Utumishi
Hujagusia TRA, wana kitengo chao cha kwenye ma 'ICD hapo ndio picha lenyewe la urefu wa kamba... 😁😁
 
Awamu ya Magufuli kidogo watumishi wa serikali walishaanza kuogopa. Nidhamu na customer care ilikuwepo kwa kiwango fulani. Kwa hiki nampongeza Magufuli.

Awamu hii ya sita hali inatisha. Ofisi za umma zinanuia uvundo wa rushwa. Kuanzia boss mpaka msaidizi wa ofisi wote wanaweza kirushwa-rushwa tu. Rushwa ya huku chini kwa watoa huduma inachochewa na viongozi huko serikali kuu. Wanaona viongozi wao wanachota mahela kwa nini na wao wasichoke.

Nakupa mfano mdogo ofisi za Ardhi Jiji la Dodoma. Nenda pale kushughulikie suala la ardhi. Kwao mteja ni fursa ya rushwa. Kama unafuatilia hati gharama haizidi 50,000 lakini utafutalia mwaka mzima na hutatoboa kwa sababu faili lako litatelekezwa. Lakini wana kiwango chao cha rushwa 150,000 unapata hati ndani ya mwezi. Hii inafanyika bila kificho. Na hiyo sio ya mtu mmoja inakuwa ni chain wanagawana watu kadhaa watakaoshughulikia issue yako.

Hii ipo nchi nzima kwa watu wa ardhi, Ili upate huduma kwa wakati lazima umuone pembeni.
Hapo ni kwenye upande wa ardhi. Idara/kada zingine zinazoona zina haki ya kupewa rushwa ni:
✅Polisi
✅Wahudumu wa Afya
✅Watumishi wa Mahakama
✅Maafisa Utumishi
Ianze kampeni rasmi ya kukataa rushwa kwa kuwalipua walarushwa,popote uonapo tukio la rushwa lichukue na ulipandishe kwa jukwaa miezi mitatu ni mingi rushwa inakoma.
 
Hiyo Ofisi ya ardhi Dodoma kila mara inafanyiwa re shuffle lakini haikomi. Sawa Yao ni kufukuzwa kazi
 
Hiyo Ofisi ya ardhi Dodoma kila mara inafanyiwa re shuffle lakini haikomi. Sawa Yao ni kufukuzwa kazi
Kuhamisha haisaidii. Pale inatakiwa kuwakamatisha kama watatu hivi wa mfano. Inapigwa kesi ndani ya muda mfupi mpaka kifungo. Tatizo wanalindana
 
Awamu ya Magufuli kidogo watumishi wa serikali walishaanza kuogopa. Nidhamu na customer care ilikuwepo kwa kiwango fulani. Kwa hiki nampongeza Magufuli.

Awamu hii ya sita hali inatisha. Ofisi za umma zinanuia uvundo wa rushwa. Kuanzia boss mpaka msaidizi wa ofisi wote wanaweza kirushwa-rushwa tu. Rushwa ya huku chini kwa watoa huduma inachochewa na viongozi huko serikali kuu. Wanaona viongozi wao wanachota mahela kwa nini na wao wasichoke.

Nakupa mfano mdogo ofisi za Ardhi Jiji la Dodoma. Nenda pale kushughulikie suala la ardhi. Kwao mteja ni fursa ya rushwa. Kama unafuatilia hati gharama haizidi 50,000 lakini utafutalia mwaka mzima na hutatoboa kwa sababu faili lako litatelekezwa. Lakini wana kiwango chao cha rushwa 150,000 unapata hati ndani ya mwezi. Hii inafanyika bila kificho. Na hiyo sio ya mtu mmoja inakuwa ni chain wanagawana watu kadhaa watakaoshughulikia issue yako.

Hii ipo nchi nzima kwa watu wa ardhi, Ili upate huduma kwa wakati lazima umuone pembeni.
Hapo ni kwenye upande wa ardhi. Idara/kada zingine zinazoona zina haki ya kupewa rushwa ni:
✅Polisi
✅Wahudumu wa Afya
✅Watumishi wa Mahakama
✅Maafisa Utumishi
Ukipewa rushwa huwa unakataa?
 
Back
Top Bottom