Serikali ya Samia inanuka rushwa: Orodha ya Idara zinazoona zina haki ya kupewa rushwa

Serikali ya Samia inanuka rushwa: Orodha ya Idara zinazoona zina haki ya kupewa rushwa

Hiyo 150, 000 ni nafuu, nenda pale Tanga utajikuta unatoa Hadi laki nne kipuuzi na kupata utachelewa sana.
 
Ila kuna Taasisi haifanyi kazi yake inavyotakiwa ndio maana kelele ni nyingi, na Taasisi hiyo ni TAKUKURU, ipo kama haipo vile haisikiki popote kuonyesha makucha yake angalau watu waone mifano inawezekana wanasubiri maelekezo kutoka juu.
 
Awamu ya Magufuli kidogo watumishi wa serikali walishaanza kuogopa. Nidhamu na customer care ilikuwepo kwa kiwango fulani. Kwa hiki nampongeza Magufuli.

Awamu hii ya sita hali inatisha. Ofisi za umma zinanuia uvundo wa rushwa. Kuanzia boss mpaka msaidizi wa ofisi wote wanaweza kirushwa-rushwa tu. Rushwa ya huku chini kwa watoa huduma inachochewa na viongozi huko serikali kuu. Wanaona viongozi wao wanachota mahela kwa nini na wao wasichoke.

Nakupa mfano mdogo ofisi za Ardhi Jiji la Dodoma. Nenda pale kushughulikie suala la ardhi. Kwao mteja ni fursa ya rushwa. Kama unafuatilia hati gharama haizidi 50,000 lakini utafutalia mwaka mzima na hutatoboa kwa sababu faili lako litatelekezwa. Lakini wana kiwango chao cha rushwa 150,000 unapata hati ndani ya mwezi. Hii inafanyika bila kificho. Na hiyo sio ya mtu mmoja inakuwa ni chain wanagawana watu kadhaa watakaoshughulikia issue yako.

Hii ipo nchi nzima kwa watu wa ardhi, Ili upate huduma kwa wakati lazima umuone pembeni.
Hapo ni kwenye upande wa ardhi. Idara/kada zingine zinazoona zina haki ya kupewa rushwa ni:
✅Polisi
✅Wahudumu wa Afya
✅Watumishi wa Mahakama
✅Maafisa Utumishi
T.R.A
 
Awamu ya Magufuli kidogo watumishi wa serikali walishaanza kuogopa. Nidhamu na customer care ilikuwepo kwa kiwango fulani. Kwa hiki nampongeza Magufuli.

Awamu hii ya sita hali inatisha. Ofisi za umma zinanuia uvundo wa rushwa. Kuanzia boss mpaka msaidizi wa ofisi wote wanaweza kirushwa-rushwa tu. Rushwa ya huku chini kwa watoa huduma inachochewa na viongozi huko serikali kuu. Wanaona viongozi wao wanachota mahela kwa nini na wao wasichoke.

Nakupa mfano mdogo ofisi za Ardhi Jiji la Dodoma. Nenda pale kushughulikie suala la ardhi. Kwao mteja ni fursa ya rushwa. Kama unafuatilia hati gharama haizidi 50,000 lakini utafutalia mwaka mzima na hutatoboa kwa sababu faili lako litatelekezwa. Lakini wana kiwango chao cha rushwa 150,000 unapata hati ndani ya mwezi. Hii inafanyika bila kificho. Na hiyo sio ya mtu mmoja inakuwa ni chain wanagawana watu kadhaa watakaoshughulikia issue yako.

Hii ipo nchi nzima kwa watu wa ardhi, Ili upate huduma kwa wakati lazima umuone pembeni.
Hapo ni kwenye upande wa ardhi. Idara/kada zingine zinazoona zina haki ya kupewa rushwa ni:
✅Polisi
✅Wahudumu wa Afya
✅Watumishi wa Mahakama
✅Maafisa Utumishi
Alisema mtanikumbuka
 
Awamu ya Magufuli kidogo watumishi wa serikali walishaanza kuogopa. Nidhamu na customer care ilikuwepo kwa kiwango fulani. Kwa hiki nampongeza Magufuli.

Awamu hii ya sita hali inatisha. Ofisi za umma zinanuia uvundo wa rushwa. Kuanzia boss mpaka msaidizi wa ofisi wote wanaweza kirushwa-rushwa tu. Rushwa ya huku chini kwa watoa huduma inachochewa na viongozi huko serikali kuu. Wanaona viongozi wao wanachota mahela kwa nini na wao wasichoke.

Nakupa mfano mdogo ofisi za Ardhi Jiji la Dodoma. Nenda pale kushughulikie suala la ardhi. Kwao mteja ni fursa ya rushwa. Kama unafuatilia hati gharama haizidi 50,000 lakini utafutalia mwaka mzima na hutatoboa kwa sababu faili lako litatelekezwa. Lakini wana kiwango chao cha rushwa 150,000 unapata hati ndani ya mwezi. Hii inafanyika bila kificho. Na hiyo sio ya mtu mmoja inakuwa ni chain wanagawana watu kadhaa watakaoshughulikia issue yako.

Hii ipo nchi nzima kwa watu wa ardhi, Ili upate huduma kwa wakati lazima umuone pembeni.
Hapo ni kwenye upande wa ardhi. Idara/kada zingine zinazoona zina haki ya kupewa rushwa ni:
✅Polisi
✅Wahudumu wa Afya
✅Watumishi wa Mahakama
✅Maafisa Utumishi
Kama yote hayo yanafanyika yet
1.Maelfu ya Watoto wa maskini wanapata Ajira
2.Maelgfu ya miradi.kila Kona
3.Maelfu ya wakulima wanafurahia bei nzuri za mazao
4.Maelfu ya biashara Mpya zinafunguliwa
5.Maelfu wa Watalii wanamiminika pamoja na Mikutano mikubwa ya kikanda.
6.Mamia ya Watanzania wanachaguliwa Kuongoza taasisi za Kimataifa Kwa sababu ya diplomasia nzuri ya Rais Samia


Sasa Kuna faida gani ya hayo kutokuwepo ikiwa
-Vyuma kukaza biashara hakuna
-Wafanyabiasha kuporwa
-Bei za mazao ya wakima kuporomoka
-Kukosa Ajira
-Majizi wachache kujinufaisha in the name of Uzalendo 😂😂
 
watu wanaongoza kulingana na upepo, ukiwa mkali unaambiwa Mama apendi ukali
unataka wafanyaje
Mkuu umeifunga mada.

Wanaotunisha misuli ya nidhamu wanaitwa wananyooshewa vidole, wasipoelewa watumbuliwa.

Wako wapi akina Makonda walioanza kupata sifa za kiuongozi kila kona ya nchi?

Kaanza na kasi 'kwene uenezi', haraka sana tombora likazungushwa akadondokea kwene uRc, nako kasi ni ile ile, wakaona hasikii, piga sumu waue, nd'ohapo jamaa akajiona yuko peke yake, chakufia nini bhana?

Kimyaaaaa kabisa kama maji ya mtungi.

Nchi hii kwa uongozi wa awamu ya sita haufai na hauna maslahi kwa raia wa chini.
 
Namba yangu ya nida niliifatilia kwa zaidi ya mwaka, Kila nikipata muda nikienda ofisini naelekezwa kwenda uhamiaji kwamba nilikosea kwenye kujaza form.. nimeenda uhamiaji mara mbili. Ss siku Moja nikamwelezea jamaa angu akaniambia ww toa chochote kitu chapu unaipata.

Siku nikajipanga nikaends Tena yakawa Yale Yale. Nikamvuta pembeni yule dogo nikampa ten akasema ongeza hata 5 nikasema sawa,, tukabadilishana namba maana yake akikamilisha anipigie.

Huwezi amini ndani ya dk 10 akanipgia anasema amekamilisha akanirushia namba kwa sim yangu ikawa hivyo. Hii nchi inanuka rusha ukweli ndio huo, na mahosptalini ndio usiseme ukijifanya unazijua zaidi haki zako mgonjwa anakufia unamuona
 
Ianze kampeni rasmi ya kukataa rushwa kwa kuwalipua walarushwa,popote uonapo tukio la rushwa lichukue na ulipandishe kwa jukwaa miezi mitatu ni mingi rushwa inakoma.
Sasa kama vuingozu huko juu wanacheza faulo wanachota mihela wa huku chini nao lZima watakula nao

Ova
 
Kama yote hayo yanafanyika yet
1.Maelfu ya Watoto wa maskini wanapata Ajira
2.Maelgfu ya miradi.kila Kona
3.Maelfu ya wakulima wanafurahia bei nzuri za mazao
4.Maelfu ya biashara Mpya zinafunguliwa
5.Maelfu wa Watalii wanamiminika pamoja na Mikutano mikubwa ya kikanda.
6.Mamia ya Watanzania wanachaguliwa Kuongoza taasisi za Kimataifa Kwa sababu ya diplomasia nzuri ya Rais Samia


Sasa Kuna faida gani ya hayo kutokuwepo ikiwa
-Vyuma kukaza biashara hakuna
-Wafanyabiasha kuporwa
-Bei za mazao ya wakima kuporomoka
-Kukosa Ajira
-Majizi wachache kujinufaisha in the name of Uzalendo 😂😂
Hayo yote uliyosema ni bure kama serikali inalea mafisadi.Fedha zote zinazopatikana zinaishia kwenye mifuko ya mafisadi na kunakuwa hakuna unafuu wowote kwa wananchi.Hali hii hupelekea wananchi kuichukia serikali na kutaka kuiondoa madarakani.Na wakati huu wananchi wako serious kuiondoa ccm madarakani na Mwenyezi-Mungu yuko upande wa wananchi kuhakikisha haki inashinda na sio rushwa.
 
Hayo yote uliyosema ni bure kama serikali inalea mafisadi.Fedha zote zinazopatikana zinaishia kwenye mifuko ya mafisadi na kunakuwa hakuna unafuu wowote kwa wananchi.Hali hii hupelekea wananchi kuichukia serikali na kutaka kuiondoa madarakani.Na wakati huu wananchi wako serious kuiondoa ccm madarakani na Mwenyezi-Mungu yuko upande wa wananchi kuhakikisha haki inashinda na sio rushwa.
Yanakuaje Bure kama watu wananufaika? 🤣🤣
 
Nyumbu hajawahi kujielewa

Wewe chawa sisi tulikuwepo hapa JF toka 2006! Tume andika maandika ya maana kwa miaka 18 sasa. Nyie machawa hata mseme nini huwezi kubadilisha ukweli. Mama anakuja ataondoka na nyie mtaondoka baada ya pesa kukata itabidi mtafute mtu mwingine wa kumbenulia😂
 
Back
Top Bottom