#COVID19 Serikali ya Saudia yasema "Mwaka huu ni wale Waislamu waliopata chanjo ya COVID-19 pekee ndiyo wataruhusiwa kuhiji Makka/Madina"

Unaposema Shia sio waislamu una maana gani mkuu??...
Naposema wewe siyo mimi na mimi siyo wewe, unaelewa nini ?

Naamisha siyo Waislamu, yaani wao na Uislamu ni vitu viwili tofauti kabisa.
 
Umenichekesha sana
 
Sio kwamba sehemu ya Mungu kirusi hakai? Au hivi ni vitega uchumi tu?
 
Hayo ndo matakwa ya wakubwa nyuma ya The New World Order.

Sasa mtaanza kuona kuwa COVID-19 imetengenezwa. Baadaye hata kusafiri utahitaji Passport ya Chanjo ya COVID-19.
Tuwe macho na tusubirie. Illuminati wamo Kazini.
 
Hawa wanasiasa wnatuchanganya sana baadhi ya nchi walisitisha kama Africa kusini sababu ya utendaji wake kazi haukuwa mzur
walisitisha ya kampuni moja wakuchukua ya kampuni nyingine
 
Hayo ndo matakwa ya wakubwa nyuma ya The New World Order.
Sasa mtaanza kuona kuwa COVID-19 imetengenezwa. Baadaye hata kusafiri utahitaji Passport ya Chanjo ya COVID-19.
Tuwe macho na tusubirie. Illuminati wamo Kazini.
hizi conspiracy theory mnatoa wapi?
 
Mwanamayu ndiyo ujue kuwa dini ni miradi ya watu kupatia pesa na kuwatawala wengine!
miye nilitegemea vatican,jerusalem na makka zisiguswe na korona kwani huko ndiko chimbuko la ukristo au uislamu!
 
Naposema wewe siyo mimi na mimi siyo wewe, unaelewa nini ?

Naamisha siyo Waislamu, yaani wao na Uislamu ni vitu viwili tofauti kabisa.
Natak ueleze sababu zinazokufanya useme sio waislamu?..Unaposema A sio B ni vuzuri utoe na sababu
 
Mkuu uandishi wako unahitaji weledi wa hali ya juu kukuelewa.

Ungeuliza kwa pamoja nikakujibu kwa pamoja..
OK let's try.

-- uislam ni dini ambayo ina sheria zake.

Na umesema kwamba saudia ndy inchi pekee ambayo imesimamia sheria za kiislam.

Jibu hoja zangu.
-- mwanamke haruhusiwi kuonyesha maungo yake hadharani.

*Je TV za saudia zinavyoonyesha wanawake kukata mauno tena vitovu nje ndy uislam ?

-- dini inaeleza wazi kwamba adui wa muislam si yule asiye muislam.
-- adui ya muislam ni yule anayepinga uislam.

Je kitendo cha kuwakakumbatia wamarekani na kusaliti waislam wenzio ndy uislam.

*Unazungumzia mambo ya mashia hivi mtume Muhamad(S.A.W)alituachia dhehebu gani?

Haya mambo ya madhehebu yamekuja baada ya mtume.

wote ni waislam wenzetu wanaabudu Mungu Mmoja na kumwamini Mtume Muhammad (S.A.W) ni Mjumbe wa Mungu.
utasemaje ni adui zaidi wa yule anayepinga uislam(marekani).

*Kuhusu ufalme wa saudia.,,

Marekani walimtia sumu mpwa wa aliyekuwa king wa wakati hyo(1975,,)

Na kuelekea kufanya mauaji ya huyo mfalme.
sababu ya msimamo wake ,

Marekani wakawaweka utawala wao sababu ya kuharibu uislam.

Kuhusu kashogi.

Uislam unahubiri
-- subira.
-- kusamehe.

Je mtoto wa mfalme wa saudia alipotuma genge lake la wahuni huko Turky ,,

--kumkatakata vipande vipande yule kashogi ,,
huo ndy uislam anaosimamia saudia?

--Kuruhusu wamarekani wafanye watakavyo ndani ya saudia ,,

ndy kusimamia uislam?

Saudi wanasheria za kiislam lakini matendo yao hayapo ktk uislam.

Saudia royal family ni untouchable,,
Ni genge fulani la wahuni,

Wapo juu ya sheria za kiislam,,

Uislam haukufundishi kuua watu bila hatia..uislam ni amani.

Njaa na dhiki ya Yemen miaka yote inasabishwa na ubabe uchwara wa saudia kwa ndugu zetu..

Usidanganywe na vyombo vya habari vya magharibi huwezi kujuwa ukwl.
 
Nchi zipi middle east ndio zenywe uislamu kuliko saudi arabia??
Mkuu uislam wa saudia ni sababu ya chimbuko la uislam.

Uislam unaruhusu wanawake wacheze vitovu nje?

Uislam. Unaruhusu genge la wahuni likauwe watu?

Tena inchi za watu?

Kashogi ameuliwa kama kuku,, huo ndio uislam?
 
Hayo ndo matakwa ya wakubwa nyuma ya The New World Order.
Sasa mtaanza kuona kuwa COVID-19 imetengenezwa. Baadaye hata kusafiri utahitaji Passport ya Chanjo ya COVID-19.
Tuwe macho na tusubirie. Illuminati wamo Kazini.
Kwa hivyo homa ya njano nayo ilitengenezwa ,kusafiri unahitaji cheti cha chanjo ya homa ya njano.
 
Natak ueleze sababu zinazokufanya useme sio waislamu?..Unaposema A sio B ni vuzuri utoe na sababu
Sababu ya jwabza hakuna ibada yoyote tunayo ifanya sisi Waislamu inayofanana na ibada yao.
 
Hawa wanasiasa wnatuchanganya sana baadhi ya nchi walisitisha kama Africa kusini sababu ya utendaji wake kazi haukuwa mzur
Mbaya zaidi sisi Africa tunalazimishwa Covid vaccination bila kujuwa ubora au madhara yake.
 
Uyo Mungu wao wa uko saudia hawezi kuwalinda watu wake wanaoenda kumwabudu uko ktk makazi yake?,au Mudi hana mpango wa kuwatetea watu wake
 
Inakukera nini ukichanjwa?!

Hakuna namna lazima mlambe matapishi yenu.
 
Waafrican mna tabu sana
Ipo shida sana. Kuna member hapa anasema kuwa washia sio waislam. Sasa sijui masuni ndio pekee waislam?

Kinachosikitisha zaidi, ni ukinzani mkubwa wa jinsi gani sisi waafrika tunawatazama hawa waarabu na wao wanavyotutazama. Wakati sisi tunawatukuza na kuwatazama kama waislam haswa, wao wanatuona kama nyani tu, ambao kwao ni watumwa tu. Ndio maana, dada zetu wanatumikishwa na kudhalilishwa huko saudia hadi hapa kwetu.

Nimeuishi uislam, kuna ubaguzi mkubwa sana. Zanzibar kule wanajiona ni waislam hasa kuliko wabara.

kimsingi kwenye macho ya hao wasaudi, wairan we are nothing but shitholes.
 
Nashukuru sn kama umeliona hilo.
 
Mkuu uislam wa saudia ni sababu ya chimbuko la uislam.

Uislam unaruhusu wanawake wacheze vitovu nje?

Uislam. Unaruhusu genge la wahuni likauwe watu ?

Tena inchi za watu?

Kashogi ameuliwa kama kuku,, huo ndio uislam?
Hujajibu swali mkuu....NItajie nchi zenye/yenye uislamu kuliko saudi arabia..Simple tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…