Hujajibu swali mkuu....NItajie nchi zenye/yenye uislamu kuliko saudi arabia..Simple tu
Mkuu uislam ni iman,,,
Saudia ni inchi takatifu iliyoshushwa qurain ,,
Na ni inchi aliyozaliwa mtume wetu Muhammad (S.A.W).
lakini haitoshi kusema kwamba family ya kifalme ndy inaharibu sifa za uislam mzima wa saudia.
Hivi jiulize wewe mtu ambaye hujawahi hata kuona kaburi l Mtume,Muhammad (S.A.W) ,,
au hata alama moja ya uislam,,
hujawahi kuiona kwa macho yako zaidi ya kusimuliwa.
Lakini unafata amri za Mungu,,
--unafunga.
-- unaswali.
Na kuogopa yale yaliyokatazwa ndani ya uislam..
Vipi hawa wasaudia ambao wanakila kumbukumbu ya alama za uislam,
- makaburi ya maswahaba yote yapo ,
- ushuhuda wa uislam wanaona hadi sasa.
Lakini wanafanya mambo tofauti na uislam.
Hii ni inchi takatifu lakini wapo watu hawaswali na wahuni kama kwengineko.
Zipo inchi zenye maadili ya kiislam kama Indonesia,Malaysia.iran