#COVID19 Serikali ya Saudia yasema "Mwaka huu ni wale Waislamu waliopata chanjo ya COVID-19 pekee ndiyo wataruhusiwa kuhiji Makka/Madina"

#COVID19 Serikali ya Saudia yasema "Mwaka huu ni wale Waislamu waliopata chanjo ya COVID-19 pekee ndiyo wataruhusiwa kuhiji Makka/Madina"

Naposema wewe siyo mimi na mimi siyo wewe, unaelewa nini ?

Naamisha siyo Waislamu, yaani wao na Uislamu ni vitu viwili tofauti kabisa.
Na hii ndio shida kuu kwenye uislam. Kila mmoja anajiona ni muislamu kuliko mwingine, ndio maana hamna umoja na hamuendelei kamwe kijamii na kiuchumi.

Mind you; mbele ya wote, muiran na msaudi, wewe wanakuona mtanzania(mweusi) ni bilal tu (mtumwa).
 
Wao(Shia) wanafanya vipi ibada na nyie mnafanya vipi ibada??,,..
Jaribu kufatilia,jibu langu limejitosheleza na linakutaka ufanye uchunguzi sikutarajia kama ungeuliza tena swali hili, zaidi ya kufatilia.
 
Kwa nini umechagua kutokuwa na chanjo?
Kila la Mtu ana uono wake mtazamo na maamuzi yake kulingana na utashi wake
Si sawa kulazimisha au kutaka serikari kua na mtizamo sawa na wengine wafanyavyo.
Issue ya Corona sio ya kukurupukia tu na kubugia chanjo kama tuonavyo.
Nashauri kuwepo na utulivu na utaratibu rafiki juu ya maamuzi yeyote ya hiyo chanjo.
N.b chanjo kwangu siafikiani nayo. Kufa nitakufa wakati wangu ukifika iwe Nina chanjo au sina. Nimechagua kutokua na chanjo
 
Na hii ndio shida kuu kwenye uislam. Kila mmoja anajiona ni muislamu kuliko mwingine, ndio maana hamna umoja na hamuendelei kamwe kijamii na kiuchumi.

Mind you; mbele ya mshia na msuni, wewe mtanzania ni bilal tu (mtumwa).
Hapa umekosea njia kijana. Tunapojadili mambo ya kielimu, kama huna hoja bora uwe msomaji. Kwanini nasema hivyo ?

Uislamu Mtume aliuacha ukiwa katika hali ambayo mchana wake ni sawa na usiku wake, hato potea humo ila mwenye kutaka apotee. Tofauti unazo ziona lazima yupo mmoja sahihi na wengine wapo makosani na hawataki kujirekebisha.

Ama kuhusu Bilal,yeye alikuwa Mtumwa mwanzo ila akaja kuwa Bwana baadae, na sauti yake katika kuwaita Waislamu kwenye sala Allah aliichagua na ni Mtu wa peponi. Kwahiyo alikuwa dhalili na Allah akamnyanyua na katika watu bora kupata kuishi hapa duniani na yeye yumo. Yaani hata hao Mayahudi kwa ubora hawamfikii mbele za Mola.
 
Ukifika Saudia wanakupima tena kama umechanjwa, hakuna janja janja.
Isijekuwa pamoja na sharti la chanjo, watakuwa na kile kipimo maarufu cha kupima virusi vinavyosababisha huo ugonjwa kilichogunduliwa hivi karibuni kule China! Hii chanjo Kuna watu watakuwa na vyeti bandia tu. Shurti wapimwe!
 
Saudia waliingia kichwa kichwa Yemen na hii ni baada ya rais msunii Ali abdullah saleh kuomba msaada huko Saudia na muungano wa gulf ila Qatar ambayo ni nchi ya kisunni walikataa muungano huo wa kuishambulia Yemen, katika hali isiyo ya kawaida utawala wa Saudia walipoulizwa kwann mumeenda ivamia Yemen walijibu kuwa wameenda kuwasaidia ahlul sunna wanaoishi Yemen , huu ni unafiq mkubwa sn kwa Saudia na ni udhaifu sn tu kama kwel walikuwa na nia ya kuwasaidia waislam wenzao why wasiende palestine ambapo kuna wafuasi wengi sn wa ahlul sunna. ukwel ni kuwa Saudia nchini Yemen wapo kuulinda maslahi ya kiutawala tu
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Hakuna nchi yoyote hapa duniani inayosema ni nchi ya Kiislamu inayofata sheria za kiislamu kuizidi Saudia. Hakuna nchi hiyo.

Japokuwa watawala huwa madhaifu ila kuwapa jina la "Genge la wahuni" huu ni uongo usio weza kuujengea hoja za kielimu.

Tupe ushahidi,kisha linganisha nchi hizo katika suala la Dini na Saudia.

Pili,kwani dini yetu inasemaje kuhusu kushirikiana na makafiri inakataza au ?

Una uhakika kule Yemeni Saudia wanawapiga Waislamu ?

Unawajua Mahuthi ni kina nani ? Umesahau Mahuthi walichowafanyia Waislamu wa Dammaj,wanawake waliwabaka na kuwadhalilisha na kiwauwa watoto bila hatia ? Hili hamkuliona au Vyombo vya wamagharibi havikuwatagazia ?

Saudia waliamua kwenda kuwasaidia Waislamu wenzao dhidi ya Mahuthi ambao wanapewa msaada wa silaha na Irani, Mahuthi ni Mashia na Mashia si Waislamu. Sasa unatakiwa utuambie kwa vipi Saudia wapigane na Waislamu wenzao ?

Ngoja nikuulize swali, kwanini Saudia inawapiga watu hao huko Yemeni na ilikuwaje mpaka ikafikia huko ? Hutakiwi kuchukua habari nusu nusu.

Tuthibitishie hili, na utuonyeshe yale waliyokuwa wanayafanya Mahuthi miaka kadhaa nyuma. Linalofanywa na Saudia kule ni sahihi na hakuna wa kuwazuia, sababu Saudia wanawasaidia Waislamu dhidi ya Mashia.

Thibitisha kama Saudia inapigana na Waislamu kule Yemeni na kwanini ?

Watu wa haki za binadamu ni Washenzi na wazandiki tu. Bali waharibifu wa ustaarabu na heshima za wanadamu.

Mashia ni Waislamu ? Mpaka uiweke hadithi mahali ambapo si pake ?

Uislamu unasemaje juu ya mtu anatoka katika twaa ya mtawala au msaliti ? Sasa alilokuwa anafanya Kashogi dhidi ya Saudia ndiyo Uislamu ? Hivi huwa mnayajadili vipi haya mambo ?

Tuthibitishie ni amri gani hiyo toka kwa Magharibi wameifata Saudia ?

Kwahiyo mpaka walipo muua Kashogi pia walipata baraka toka Magharibi ?
 
Jaribu kufatilia,jibu langu limejitosheleza na linakutaka ufanye uchunguzi sikutarajia kama ungeuliza tena swali hili, zaidi ya kufatilia.
Kama unaujua ukweli,unashindwa vipi kueleza hata kwa mistari miwili?,
 
Saudia waliingia kichwa kichwa Yemen na hii ni baada ya rais msunii Ali abdullah saleh kuomba msaada huko Saudia na muungano wa gulf ila Qatar ambayo ni nchi ya kisunni walikataa muungano huo wa kuishambulia Yemen, katika hali isiyo ya kawaida utawala wa Saudia walipoulizwa kwann mumeenda ivamia Yemen walijibu kuwa wameenda kuwasaidia ahlul sunna wanaoishi Yemen , huu ni unafiq mkubwa sn kwa Saudia na ni udhaifu sn tu kama kwel walikuwa na nia ya kuwasaidia waislam wenzao why wasiende palestine ambapo kuna wafuasi wengi sn wa ahlul sunna. ukwel ni kuwa Saudia nchini Yemen wapo kuulinda maslahi ya kiutawala tu
Ulitaka Saudia waisaidie vipi Palestine ? Haya ndiyo matatizo ya kuzijadilia nchi hizi bila kurejea katika misingi. Saudia waliamua kuwapa hifadhi wapalestine, na mapigano ya Palestine si ya kidini bali ya kupigania ardhi, wakati ardhi ya Palestine Allah ameshachukua ahadi ya kuirejesha na ni ardhi ya Waislamu wote ulimwenguni.

Mapigano ya Saudia ni vita baina Mashia na sisi Masuni, na kulinganisha ya Palestine na Yemeni ni uchachefu wa maarifa.
 
Kama unaujua ukweli,unashindwa vipi kueleza hata kwa mistari miwili?,
Sijui hujaelewa, kile nilichokueleza kilikuwa ndani ya msitari miwili au chini ya mistari minne. Nilichofanya mimi ni kukufupishia mambo ambayo yammeandikiwa vitabu na vitabu, yaani tukikusanya vilivyoelezea ukafiri wa Shia tunajaza maktaba kwa maktaba lakini mimi nimefupisha katika mistari michache sana na kukidhi haja.
 
Iran inafuata sheria za Kiislamu kuliko Saudi Arabia. Inashangaza Waislamu wenzako wanauwawa Yemeni na Suadia katika vita vya kipuuzi halafu wewe unasema ni sawa tu kwa sababu sio wa dhehebu lako la Sunni! Hata kama wasingekuwa hata na chembe ya uislamu kutetea mauaji na mateso yanaofanywa na Saudia nchini Yemen ni kukosa ubinadamu. Kinachofanyika Yemen kinapaswa kuvuka mipaka ya kidini na kupingwa na yoyote.
Huwa napata ugumu sana kujadiliana na watu ambao hawajui na hawajui kama hawajui, huku wakijiona wanajua.

Namshukuru sana Allah, kujalia walimu wetu kutufunza adabu za kitafuta elimu na kujadiliana bali mpaka wakaandika vitabu.

Ushia si dhehabu bali Ushia ni DINI pweke na una misingi yake tofauti na UISLAMU.

sasa inawezekana vipi taifa ambalo si la kiislamu liweze kuutekeleza Uislamu kuliko Saudia, yaani ni sawa na Marekani au Italia au Israeli watekeleze Uislamu kuzidi Saudia, hili ni muhali.

Mimi nakupa kazi moja, niambie marejeo ya USHIA ni wapi na uislamu wao uko wapi ? Unajua kwanini Mashia si Waislamu ?
 
Mwanamayu ndiyo ujue kuwa dini ni miradi ya watu kupatia pesa na kuwatawala wengine!
miye nilitegemea vatican,jerusalem na makka zisiguswe na korona kwani huko ndiko chimbuko la ukristo au uislamu!
Sasa kuwa chimbuko inahusiana vp kutoguswa na corona ikiwa magonjwa yapo kama kawaida?
 
Unaposema kuwa mapigano ya Israel na Palestina si ya kidini ni kugombea ardhi sijui kama ipo sawa, mtume muhammad (rehema na amani ziwe juu yake ) aliamrisha waislam wapigane vita kwa ajili tu ya kudhalilishwa mwanamke mmoja malkiti Leo ww wasema ugomvi wa wayahudi na palestina sio wa kidini ili kali watu wanakufa !!
Ulitaka Saudia waisaidie vipi Palestine ? Haya ndiyo matatizo ya kuzijadilia nchi hizi bila kurejea katika misingi. Saudia waliamua kuwapa hifadhi wapalestine, na mapigano ya Palestine si ya kidini bali ya kupigania ardhi, wakati ardhi ya Palestine Allah ameshachukua ahadi ya kuirejesha na ni ardhi ya Waislamu wote ulimwenguni.

Mapigano ya Saudia ni vita baina Mashia na sisi Masuni, na kulinganisha ya Palestine na Yemeni ni uchachefu wa maarifa.
 
Hahahahahahah, mkiambiwa chanjo ni biashara ya wakubwa hamsikii, naona sasa mtaelewa
 
Unaposema kuwa mapigano ya Israel na Palestina si ya kidini ni kugombea ardhi sijui kama ipo sawa, mtume muhammad (rehema na amani ziwe juu yake ) aliamrisha waislam wapigane vita kwa ajili tu ya kudhalilishwa mwanamke mmoja malkiti Leo ww wasema ugomvi wa wayahudi na palestina sio wa kidini ili kali watu wanakufa !!
Sasa mbona ulichokiandika hakifanani na kadhia ya Palestine ? Kwa mfano huo nitakupa mfano mfano mwingine iki ujihukumu, wakati gani waislamu walianza kupigana vita ? Kuuliwa kwa wazazi wa Ammari bin Yassir, kuteswa kwa kina Bilal na wasio kuwa hao, vipi Mtume aliamrisha watu wapigane vita kwa sababu hizo ? Sasa haya mambo hayaelezwi kwa mtindo huo. Yaani ardhi ya Palestine ishachukuliwa ahadi ile, na ni katika ardhi takatifu hasa pake Baytul Muqaddass.
 
Kazi ipo mwaka huu.

Chanjo haikwepeki!
Mshaambiwa, hachanjwi mtu hapa, utumwa wa dini siku hizi tulishauacha, hakuna mtumwa hapa, Mungu anatusikia hata tukiwa huku huku, sio lazima kwenda huko ndio Mungu akusikie.., hila swala la kuhiji ulikuwa ni mpango wa kuhodhi faida za kiuchumi zitokanazo na hilo tukio
 
Sijui hujaelewa, kile nilichokueleza kilikuwa ndani ya msitari miwili au chini ya mistari minne. Nilichofanya mimi ni kukufupishia mambo ambayo yammeandikiwa vitabu na vitabu, yaani tukikusanya vilivyoelezea ukafiri wa Shia tunajaza maktaba kwa maktaba lakini mimi nimefupisha katika mistari michache sana na kukidhi haja.
Umefupisha nini,mbona sijaona chochote ulichoeleza zaidi ya kusema shia sio waislamu?..
Nimekuuliza sabau ya kusema sio waislamu,unaniambia nikafanye uchunguzi.Wewe mwenye kujua ukweli umeshindwa hata kueleza kwa sentensi mbili kwanini unasema shia sio waislamu?
 
Back
Top Bottom