#COVID19 Serikali ya Saudia yasema "Mwaka huu ni wale Waislamu waliopata chanjo ya COVID-19 pekee ndiyo wataruhusiwa kuhiji Makka/Madina"

#COVID19 Serikali ya Saudia yasema "Mwaka huu ni wale Waislamu waliopata chanjo ya COVID-19 pekee ndiyo wataruhusiwa kuhiji Makka/Madina"

Sina shaka na USOMI za Zitto, Zitto ni msomi na ni mchambuzi mzuri but kwenye hili la chanjo kwa mtazamo wangu, kachemka; hiyo chanjo hadi sasa hivi watengenezaji wenyewe hawataki kuchanjwa. Siamini huyo mungu wao kama anaweza kuadhibu watu wake tu kwasababu hawaja chanjwa and hence wamepoteza sifa ya kwenda kuhiji, SUNNA zipo nyingi, sio kuhiji peke yake.
 
Wao wana msimamo mkali kuliko nyie, Nyie mnapenda urahisi.
1. Wao hawaruhusu mtu kuamka ukiwa na janaba ule muda wa alfajiri.
2. Hawaruhusu kupiga mswaki wala kuoga kipindi una swaum.
3. Wao huchelewa kufungua swaum
4. Kadhalika kwao haifai kufunga siku ya Ashura, wakati kwetu sisi funga hii ni sunnah
 
Wao wanaamini ya kuwa Mama Aisha alizini, kadhalika wanaamini ya kuwa baada ya Mtume kufariki maswahaba wote waliritadi isiokuwa wachache tu kina Abuu Dharri, Bilaal na wengine wachache yaani hawazidi kumi. Yaani maswahaba ambao Allah katika Qur'aan amewaridhia wao wanasema waliritadi.
Muislam ni nani ?
 
Mkuu uislam ni iman,,,

Saudia ni inchi takatifu iliyoshushwa qurain ,,

Na ni inchi aliyozaliwa mtume wetu Muhammad (S.A.W).
lakini haitoshi kusema kwamba family ya kifalme ndy inaharibu sifa za uislam mzima wa saudia.

Hivi jiulize wewe mtu ambaye hujawahi hata kuona kaburi l Mtume,Muhammad (S.A.W) ,,

au hata alama moja ya uislam,,
hujawahi kuiona kwa macho yako zaidi ya kusimuliwa.

Lakini unafata amri za Mungu,,
--unafunga.
-- unaswali.

Na kuogopa yale yaliyokatazwa ndani ya uislam..

Vipi hawa wasaudia ambao wanakila kumbukumbu ya alama za uislam,

- makaburi ya maswahaba yote yapo ,

- ushuhuda wa uislam wanaona hadi sasa.

Lakini wanafanya mambo tofauti na uislam.
Hii ni inchi takatifu lakini wapo watu hawaswali na wahuni kama kwengineko.

Zipo inchi zenye maadili ya kiislam kama Indonesia,Malaysia.iran
Saudia si nchi takatifu! Saudia ni nchi iliyohodhi maeneo matakatifu ya kiislam nayo ni Makka na Madina.

Hata masihi dajal atakapokuja atazuru maeneo yote ya Saudia isipokuwa Makka na Madina.

Hata thamani ya swala kuwa juu ni kwa maeneo 3 tu. Nayo ni Makka, Madina na Masjidil Aqswa. Sehemu nyingine za Saudia hazina utukufu wowote!

Huo ufalme uliteka hiyo miji miwili na kuisimika rasmi kuwa sehemu y nchi yao kwa msaada Uingereza na kulindwa na Waingereza. Uingereza imeshuka nguvu sasa ni Marekani.

Ufalme wa Saudia hauna dini ni makanjanja tu waliyojificha kwenye kivuli cha dini.
 
Mkuu serikali ya saudia ni genge la wahuni,,waliojivika joho la uislam..

Hii serikali ya kifalme hakuna inchi yeyote ya kiislam inayokubaliana nayo zaidi ya mataifa ya magharibi..

Hill genge la wahuni la saudia limekuwa likifanya mambo kadhaa ya kinyume na haki za binadamu kwa Yemeni kwa miaka kadhaa.

--Mfano kuendelea kushambulia Yemen,, haswa kwenye makazi ya raia na kuua watu wasio na hatia.

Bila kujali Wanawake na watoto.

Tena ikipata baraka zote za marekani,, kwa kuwauzia silaha za technology ya hali ya juu,,saudia iendelee kuipiga Yemen na kuikandamiza.

-- kuweka kambi za kijeshi kwnye bandari kadhaa kwenye mpaka kuzuia watu wa haki za binadamu kupeleka misaada Yemen..

Mkuu ukiona kwa macho wanayofanya saudia kwa Yemen,,yanasikitisha sana.

Tena waislam wenzao,,

Dini inasema ndugu wa muislam ni muislam mwenzie,,

Huo udugu upo wapi hapo?

Pasi na shaka huu utawala wa saudia ni genge la wahuni lililojivika joho la waislam.

Ukijumlisha na mauaji ya KASHOGI..

Hawafai hata kidogo..

Wanachokifanya wao ni kufata amri za mabwana zao marekani.

Na kuweka sheria za Mungu pembeni.

Wametoa mambo mengi ya kiislam na kuweka utamaduni wa kimagharibi..

Saudia ile inayopambwa kwenye vitabu vitakatifu. ,,sio hii iliyopo Leo..

Chochote kinachoendelea saudia kimepata baraka zote za mataifa ya magharibi..
Ni aheri hao Wasaudia wanawafanyia ubaya wanqnchi wa Yemeni, watu wa Taifa jingine, kuliko wa hapa kwetu jinsi wanavyowatendea watanzania wenzao - kuteka, kuua, kutesa, kubbikia kesi, kupora kura, na kila aina ya uchafu.
 
Kila la Mtu ana uono wake mtazamo na maamuzi yake kulingana na utashi wake
Si sawa kulazimisha au kutaka serikari kua na mtizamo sawa na wengine wafanyavyo.
Issue ya Corona sio ya kukurupukia tu na kubugia chanjo kama tuonavyo.
Nashauri kuwepo na utulivu na utaratibu rafiki juu ya maamuzi yeyote ya hiyo chanjo.
N.b chanjo kwangu siafikiani nayo. Kufa nitakufa wakati wangu ukifika iwe Nina chanjo au sina. Nimechagua kutokua na chanjo
Ni hiyo ya corona tu, au uliamua hivyo kwa chanjo zote?

Ili kuendana na msimamo wako, nakushauri hata ukiugua usiende hospitali yoyote maana kufa kupo tu.
 
Dini nyingine hizi nazo, kwamba Saudia au Israel ndio mahali patakatifu pekee? Tatizo limeanzia hapo... Simba wakiunguruma mcheza nani? Tumewaachia milki ya mbuga yote hawa carnivals.
 
Ni aheri hao Wasaudia wanawafanyia ubaya wanqnchi wa Yemeni, watu wa Taifa jingine, kuliko wa hapa kwetu jinsi wanavyowatendea watanzania wenzao - kuteka, kuua, kutesa, kubbikia kesi, kupora kura, na kila aina ya uchafu.
Yule muandishi Kashogi alikuwa raia wa wapi vile kama sikosei na kujikuta mikononi mwa mwana mfalme? Hakuna bora zaidi ya mwenzake hii dunia, kote sawa tu.
 
Wao wana msimamo mkali kuliko nyie, Nyie mnapenda urahisi.
Mtume wa Allah alipata kusema "Hii dini ni nyeoesi, na yeyote atakaye itilia uzito, itamshinda". (Au kama alivyosema Mtume). Ndiyo maana Mashia imewashinda na wakawa Makafiri.
 
Mkuu serikali ya saudia ni genge la wahuni,,waliojivika joho la uislam..

Hii serikali ya kifalme hakuna inchi yeyote ya kiislam inayokubaliana nayo zaidi ya mataifa ya magharibi..

Hill genge la wahuni la saudia limekuwa likifanya mambo kadhaa ya kinyume na haki za binadamu kwa Yemeni kwa miaka kadhaa.

--Mfano kuendelea kushambulia Yemen,, haswa kwenye makazi ya raia na kuua watu wasio na hatia.

Bila kujali Wanawake na watoto.

Tena ikipata baraka zote za marekani,, kwa kuwauzia silaha za technology ya hali ya juu,,saudia iendelee kuipiga Yemen na kuikandamiza.

-- kuweka kambi za kijeshi kwnye bandari kadhaa kwenye mpaka kuzuia watu wa haki za binadamu kupeleka misaada Yemen..

Mkuu ukiona kwa macho wanayofanya saudia kwa Yemen,,yanasikitisha sana.

Tena waislam wenzao,,

Dini inasema ndugu wa muislam ni muislam mwenzie,,

Huo udugu upo wapi hapo?

Pasi na shaka huu utawala wa saudia ni genge la wahuni lililojivika joho la waislam.

Ukijumlisha na mauaji ya KASHOGI..

Hawafai hata kidogo..

Wanachokifanya wao ni kufata amri za mabwana zao marekani.

Na kuweka sheria za Mungu pembeni.

Wametoa mambo mengi ya kiislam na kuweka utamaduni wa kimagharibi..

Saudia ile inayopambwa kwenye vitabu vitakatifu. ,,sio hii iliyopo Leo..

Chochote kinachoendelea saudia kimepata baraka zote za mataifa ya magharibi..
Punguza povu wewe kada wa kijani, tulia uchanjwe kenge ww
 
Mabeberu yanaenda kubinya kende za meko walahi, hataweza ku hold on kwa muda wote huo, wameanza taratibu, force akaunti hazitafanya kazi tena
 
Uyo Mungu wao wa uko saudia hawezi kuwalinda watu wake wanaoenda kumwabudu uko ktk makazi yake?,au Mudi hana mpango wa kuwatetea watu wake
Thubuuuuutu waende wakasongamane wampige mawe shetwani wao bila chanjo wakione cha mtema kuni
 
Aliyewalazimisha nani mjomba? mbona Bwana Mkubwa kagoma na hawajaileta [emoji849].Pambana na njaa zako acha kila kitu kumsingizia Beberu, Nyau we
Mkuu mbona umeandika kama umepakatwa?

Hivi dunia yote ikisema bila kuchanja chanjo ya Covid hupandi ndege,,
.
Huoni kama ndy kulazimishwa kwenyewe huko?

Basi kama unaumia vaa chupi yako nenda zako.
.
Madada poa wapo wengi hauko peke yako ..
 
Ni aheri hao Wasaudia wanawafanyia ubaya wanqnchi wa Yemeni, watu wa Taifa jingine, kuliko wa hapa kwetu jinsi wanavyowatendea watanzania wenzao - kuteka, kuua, kutesa, kubbikia kesi, kupora kura, na kila aina ya uchafu.
Tupo kwenye iman MKUU,,hatupo ktk siasa..
 
Saudia si nchi takatifu! Saudia ni nchi iliyohodhi maeneo matakatifu ya kiislam nayo ni Makka na Madina.

Hata masihi dajal atakapokuja atazuru maeneo yote ya Saudia isipokuwa Makka na Madina.

Hata thamani ya swala kuwa juu ni kwa maeneo 3 tu. Nayo ni Makka, Madina na Masjidil Aqswa. Sehemu nyingine za Saudia hazina utukufu wowote!

Huo ufalme uliteka hiyo miji miwili na kuisimika rasmi kuwa sehemu y nchi yao kwa msaada Uingereza na kulindwa na Waingereza. Uingereza imeshuka nguvu sasa ni Marekani.

Ufalme wa Saudia hauna dini ni makanjanja tu waliyojificha kwenye kivuli cha dini.
Hakika mkuu
 
Back
Top Bottom