Serikali ya Tanzania imeshindwa kutafsiri dhana ya Burkina Faso?

Yep..wenzetu tuliowaamini watuongoze na kutuonyesha njia ndio kwanza wanapakua minyama yote..tunaachiwa vimifupa.

Nimependa usikivu wa Ruto, japo imekuja kwa gharama
Ooh Okay, haijalishi tupo namba ipi, muhimu ni magari yepi na kwanini?
 
Leo ajuza nimekupa like angu japo umeshindwa kusema ukweli kwamba lazima tubadili katiba, watu waanze kuomba kazi kuanzia Mkuu wa Idara mpk Waziri nafasi zitangazwe zisiwe za machawa na ndugu wa Rais, pia lazima tubadili muundo wa elimu tuachane na hii elimu ya kijinga ya kukaririshana twende mbele zaidi.
 
FaizaFoxy umesema vyema. Ni dharau katika nchi ambayo bado tunajitafuta ila matumizi yetu ni ya kufa mtu. Serikali inaenda kununua gari thamani million Mia tatu(300 millions. Ukiunganisha gharama za mafuta, service na ununuzi wa vipuri ndani ya miaka miwili huenda likafika 1 billion.

Mfano wa pili;Serikali inalipa Madaktari Bingwa kuzunguka kila Mkoa/Wilaya wanalipwa per diem(150,000-170,000/=) huu ni mwezi wa Tatu lakini ukiangalia sehemu wanazoenda sio kwamba hakuna Daktari Bingwa la hasha wapo. Serikalini ni kutengeneza madili tu na political mileage. Hapo kwenye kampeni 2025 itakuwa tulitembeza Madaktari Bingwa nchi nzima na tuliwafikia watu kadhaaaa basi Tu ionekanae kama political credit

ITOSHE KUSEMA SERIKALI INA MATUMIZI YA ANASANA SANA AMBAYO HAYAENDANI NA UHALISIA WA MAISHA YETU.​
 
Hili bandiko lako nimeielewa mno, umeandika kama mwana mageuzi Leo
 
Moto ukiwaka ndo watashtuka. Kifupi watu wamemchoka Samia na serikali yake
 
Leo upo kwenye siku zako za heri.
Hongera kwa bandiko zuri madam ajuza.
 
Unang'ata na kupuliza cyo. Usilete mind game apa we ni wale wale tu.
 
Maajabu leo faiza umeongea ukweli,maana always ulikuwa mtu wa kuitetea serikali hata kwenye uozo.

Naona malaika wa Bwana amekushukia,safi na hongera kuona hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…