Serikali ya Tanzania yaanza mchakato wa kuunda Satelaiti yake

Hili Taifa ni la WAGAGA KIKI KOKO yaani Watanzania ni watu wa ajabu sana na Wajinga sana sana sijui huko Bungeni bangi imeruhusuwa sasa ivi kweli mtu ana mdomo wa kuzungumzia suala la Satilite kwa sasa aaah comon hebu fikirieni sehemu gani kuanzia Wabunge na Mawaziri mpaka sasa mumefanikiwa ni sekta gani iko sawa mpaka sasa.
1-UMEME FALIER
2-MAJI FALIER
3-BARABARA FALIER
4-AFYA FALIER
5-ELIMU FALIER
Naomba wenzagu muzitaje ili list iendelee halafu waje na sula la Satelite Hatupingi lkn muko nyuma sana sana .
Sekta ilofanikiwa sana sana ni UFISADII
1-WIZI 100% PASS
 
Hii kitu imeishia wapi? Nahisi hata hilo file la utekelezaji limejaa vumbi. Maneno mengi utekelezaji sifuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…