Serikali ya Tanzania yaanza mchakato wa kuunda Satelaiti yake

Serikali ya Tanzania yaanza mchakato wa kuunda Satelaiti yake

Miradi mikubwa kama ya kuunda satellites huwa ina multplier effects kibao kwenye sekta mbalimbali. Hembu fikiria ajira zitakazotengenezwa za vijana wa fizikia, electronics, computer science, mechanics, IT, electrical technicians kuhakikisha satellite inaenda angani.

Embu fikiria startups za IT zitakazozaliwa baada ya vijana kupata uzoefu kutokana na megaproject kama hiyo! Sema tu sina uhakika kama serikali hii ina watawala wenye guts za kuhakikisha kitu kama hicho kinatekelezeka. Kumbikumbi tu.
Kumbuka mbwembwe za gesi hadi kozi ya gesi ilianzishwa UDSM na kuisomea lazima uwe na division one kaaliii. Lakini angalia sasa hivi wote waliofuzu hawana kazi
 
Basi hiyo timu itakayoundwa utashangaa inapiga bilioni kadhaa za juice.
 
Kumbuka mbwembwe za gesi hadi kozi ya gesi ilianzishwa UDSM na kuisomea lazima uwe na division one kaaliii. Lakini angalia sasa hivi wote waliofuzu hawana kazi
Kuunda satellite hakuhitaji uanzishwaji wa kozi mpya zaidi ya zile zilizopo. Ni suala la kumobilize utaalamu uliopo kwa ajili ya progran maalumu iwapo tu utashi wa kiutawala na pesa vitakuwepo. Hata hivyo hao watawala hawana hiyo commitment na hapo nipo pamoja na wewe kwamba hiki kitu hakiwezekani kwa nchi yetu. Kuanticipate kuweka vifaa vya uokozi pale uwanja wa ndege Bukoba kwa in case ya ndege kutua kwenye maji kumewashinda seuze utashi wa kuunda satellite?
 
Kuwa na satelaiti siyo kukimbizana na dunia ya kwanza,ni muhimu kwa kufuatilia Hali ya hewa,majanga na mawasiliano
Kwa hiyo tukiwa na satellite yetu tutapata more information kuliko tunazopata sasa kutoka International weather station....!?
 
Isiwe ni kwa nia ya kuonekana kama na sisi tumo baada ya Rwanda Kenya Nigeria na Angola kufanya hivyo. Kwa nini tusiimarishe mifumo yetu ya ardhini kwanza kabla ya kupapatikia mambo ya satellite?

Kwenye IT tuko nyuma kweli kweli, hiyo satellite 🛰️ tutaimudu? 🤔
Na Uganda mkuu hivi majuzi tuu.
 
Isiwe ni kwa nia ya kuonekana kama na sisi tumo baada ya Rwanda Kenya Nigeria na Angola kufanya hivyo. Kwa nini tusiimarishe mifumo yetu ya ardhini kwanza kabla ya kupapatikia mambo ya satellite?

Kwenye IT tuko nyuma kweli kweli, hiyo satellite 🛰️ tutaimudu? 🤔
Uganda pia wamerusha juzi ,naona Serikali yetu imepaniki.
 
Satellite inaweza punguza gharama za mawasiliano.

Tunaponda serikali kuanza mchakato.

Na tunalia gharama za bando.

Satellite inaweza saidia Hali ya hewa.

Tunaponda serikali kutojiandaa na ukame na tunaponda tukisikia imeanza mchakato wa satellite.

Mradi kazi yetu kuponda kila kitu...
Unawaza bando tu.Wanaoponda wanaweza kua na akili kuliko wewe.Huu sio muda wakuchekea kila kitu kinachoanzishwa na hizi serikali za kiafrika.mingine ni miradi ya watu inayoanzishwa kimgongo mgongo.wakishachukua chao mradi unafia hapo hapo.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Tangu nilivyoanza ziara nchi za wenzetu ,mfano Dubai Wana majengo hadi mengine hayakaliwi Ili tu kuvutia mji.

Nilichogundua wengi wetu hawana elimu ya mazingira mapya ya kujifunza (exposure),unakuta wanapinga Kila hatua , SGR watasema hamna mizigo,

Bandari bagamoyo sijui mwekezaji kawapiga,

Kualika wawekezaji, watakuhoji wanatokea nchi Gani


Hapo satellite ndo kabisaa!!
Tunatakiwa tufike uko waliko wenzetu ndo tuanze hizo anasa.Nchi bado ata kujitegemea kwenye mambo madogo ya kawaida hatujajiweza leo tuwaze kua na mambo makubwa hivyo.Mifano iko mingi sana sio hadi uende nchi za watu ndo ujue sisi bado sana.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Kuwa na satelaiti siyo kukimbizana na dunia ya kwanza,ni muhimu kwa kufuatilia Hali ya hewa,majanga na mawasiliano
Majanga gani?.Haya ambayo tunayaona kwa njia za kawaida na bado hatuwezi kufanya chochote.Mawasiliano ya kawaida tu yanatushinda ndo ije ya satelaiti.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Serikali imesema inatambua umuhimu wa nchi kuwa na satelaiti na kwamba katika mwaka huu wa fedha imeanza kuandaa utaratibu wa awali utakaowezesha kuunda na kurusha satelaiti yake angani.

Aidha, imesema ili kuwezesha kufikia azma hiyo tayari imeunda andiko dhana na kuunda timu ya watalaamu watakaoshauri aina ya satelaiti itakayorushwa angani itakayoendana na mahitaji halisi ya nchi.

Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhandisi Mathew Kundo amesema hayo bungeni jijini Dodoma wakati akijibu swali la Mbunge wa Bahi, Kenneth Nollo aliyetaka kujua ni lini Serikali itaanza programu ya kuunda na kurusha setelaiti angani.

“Ni matarajio kuwa timu hiyo itakamilisha kazi ya uchambuzi na kuwasilisha mapendekezo yake Serikalini kwa hatua za kimaamuzi ndani ya mwaka huu wa fedha,” amesema Kundo

Akizungumzia kwa upande wa Afrika, Kundo amesema kuwa hadi sasa Afrika ina jumla ya satelaiti 41, na kuanzia mwaka 2016 ni satelaiti 20 tu ambazo zimekuwa angani, na kati ya hizio 41 ni tisa tu ambazo zimetengenezwa na zina taswira ya Kiafrika.
Satellite ni Muhimu sana kwa nchi Tena ni ujinga mkubwa kwamba nchi kama hii haina satellite
Niliona kipindi kile cha Mgogoro wa Kenya na Tanzania kitu Wakenya walifanya ndio nilijua sisi bado sana.

Walikata mawasiliano yote kwa watu wanaokaribia border ya Kenya kutoka TZ
Ukitoka Arusha ukifika longido ndio mwisho wa mawasiliano yako ya simu. Simu yako inageuzwa inasoma mitandao ya Kenya Internet inakatwa kabisa huwezi wasiliana kwa njia yeyote
Wenzetu walikuwa wameshaweka tahadhari ya vita saa yeyote

Nikajiuliza Sasa kwa namna hii Nchi si inaweza kuvamiwa saa yeyote bila kujua
Ndio nikajua Tanzania ni debe tupu
 
Unawaza bando tu.Wanaoponda wanaweza kua na akili kuliko wewe.Huu sio muda wakuchekea kila kitu kinachoanzishwa na hizi serikali za kiafrika.mingine ni miradi ya watu inayoanzishwa kimgongo mgongo.wakishachukua chao mradi unafia hapo hapo.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app

All that based on hear say and assumptions?
 
Kuunda satellite hakuhitaji uanzishwaji wa kozi mpya zaidi ya zile zilizopo. Ni suala la kumobilize utaalamu uliopo kwa ajili ya progran maalumu iwapo tu utashi wa kiutawala na pesa vitakuwepo. Hata hivyo hao watawala hawana hiyo commitment na hapo nipo pamoja na wewe kwamba hiki kitu hakiwezekani kwa nchi yetu. Kuanticipate kuweka vifaa vya uokozi pale uwanja wa ndege Bukoba kwa in case ya ndege kutua kwenye maji kumewashinda seuze utashi wa kuunda satellite?
Pointi yake umeielewa? Anasema zile lugha tamu tamu wakati wa kuwahadaa Watanzania kuhusu gesi, ndizo almost hizi hizi zinatumika kwenye dead-on-arrival project ya setilaiti.
 
Kauli mbiu pekee NdiO mmesikia wakongo apana
Jamaa yangu, sio lazima sana uchangie hata pale usipokuwa na mwanga wa kile kinacho ongelewa, unaweza kuelimika zaidi kwa kupitia maoni ya wengine kwenye uzi huu.
 
Satellite inaweza punguza gharama za mawasiliano.

Tunaponda serikali kuanza mchakato.

Na tunalia gharama za bando.

Satellite inaweza saidia Hali ya hewa.

Tunaponda serikali kutojiandaa na ukame na tunaponda tukisikia imeanza mchakato wa satellite.

Mradi kazi yetu kuponda kila kitu...
Wanaanza ya research na hali hewa majanga.....ya mswasiliano awamu ijayo labda 5 to 8 yrs.....
 
Back
Top Bottom