econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Satellite inaweza punguza gharama za mawasiliano.
Tunaponda serikali kuanza mchakato.
Na tunalia gharama za bando.
Satellite inaweza saidia Hali ya hewa.
Tunaponda serikali kutojiandaa na ukame na tunaponda tukisikia imeanza mchakato wa satellite.
Mradi kazi yetu kuponda kila kitu...
Hakuna ukweli hapo. Tushughulike na mambo ya msingi kwanza tukimaliza ndio tuje kwenye advanced technology. Unaanzaje kuwa na satellite wakati umeme wa shida.