Serikali ya Tanzania yaanza mchakato wa kuunda Satelaiti yake

Serikali ya Tanzania yaanza mchakato wa kuunda Satelaiti yake

Yaani wameshindwa kuondoa changamoto za Maji, Umeme, Internet na bei za vifurushi, Bei za vyakula, Miundombinu mibovu ya makazi, Mfumo mbovu wa elimu, Uhaba wa ajira, Kuokoa watu 19 waliokufa kwa uzembe wao, Kodi zisizo na kichwa wala miguu.
Badala yake mnataka kwenda kudeal na most expensive and incredibly complicated field of all utengenezaji na uendeshaji wa Satellite!

Hizo ni pesa za watanzania na zinatakiwa kutumika kutatua changamoto za chini kabisa za watanzania. Hiyo satellite itamsaidia nini mtoto anayekunywa maji ya machafu ya kisimia kule kijijini? Itamsaidia nini mtoto anayesoma giza na kibatari cha mafuta mliyopandisha bei? Itamsaidia nini mwananchi anayenunua ndoo ya maji kwa buku?

Hawa watu huwa wanafikiria kwa kutumia nini? This is F**king idiotic.
Haya mambo sio ya kucheka wala kuwa calm, kama Marekani ingekuwa kwenye hali mbovu kiuchumi kama sisi na serikali yao iamue upumbavu kama huu basi bila shaka kwa hasira za wananchi pekee wangeretract huo uamuzi wa kijinga.
Lakini kwakua watanzania ni maboya na majinga yasiyokuwa na hasira wala uchungu wa kodi zao basi yatakaa kimya na hayatofanya chochote kupinga matumizi mabovu ya kodi kama haya. Na wao wanalijua hili.

Hii project ni kichaka cha mafisadi na mafala wachache wenye nia mbovu binafsi, udhulumishaji na wizi wa kodi za Watanzania. Hawa watu wanaofanya maamuzi hapa nchini wananishangaza sana na inatia hasira.
 
Yaani wameshindwa kuondoa changamoto za Maji, Umeme, Internet na bei za vifurushi, Bei za vyakula, Miundombinu mibovu ya makazi, Mfumo mbovu wa elimu, Uhaba wa ajira, Kuokoa watu 19 waliokufa kwa uzembe wao, Kodi zisizo na kichwa wala miguu.
Badala yake mnataka kwenda kudeal na most expensive and incredibly complicated field of all utengenezaji na uendeshaji wa Satellite!

Hizo ni pesa za watanzania na zinatakiwa kutumika kutatua changamoto za chini kabisa za watanzania. Hiyo satellite itamsaidia nini mtoto anayekunywa maji ya machafu ya kisimia kule kijijini? Itamsaidia nini mtoto anayesoma giza na kibatari cha mafuta mliyopandisha bei? Itamsaidia nini mwananchi anayenunua ndoo ya maji kwa buku?

Hawa watu huwa wanafikiria kwa kutumia nini? This is F**king idiotic.
Haya mambo sio ya kucheka wala kuwa calm, kama Marekani ingekuwa kwenye hali mbovu kiuchumi kama sisi na serikali yao iamue upumbavu kama huu basi bila shaka kwa hasira za wananchi pekee wangeretract huo uamuzi wa kijinga.
Lakini kwakua watanzania ni maboya na majinga yasiyokuwa na hasira wala uchungu wa kodi zao basi yatakaa kimya na hayatofanya chochote kupinga matumizi mabovu ya kodi kama haya. Na wao wanalijua hili.

Hii project ni kichaka cha mafisadi na mafala wachache wenye nia mbovu binafsi, udhulumishaji na wizi wa kodi za Watanzania. Hawa watu wanaofanya maamuzi hapa nchini wananishangaza sana na inatia hasira.
Kwanza ndugu tangu atuna budi kushukuru Kwa kuwa pumzi Ndio kila kitu Ina kule Ukraine wapo Giza Awana Maji kila kukicha mabomu kikubwa pumzi iyo Ndio tija ayo mambo mengine yanafata maana asiav serikal imeamua kuchimba visima maji tunapat japo kua ya chumvi na izo satelite itasaidia kulinda nchi na mipaka yake ususan vita kama izi za mipaka uko goma DRC itasaidia iwapo izi satellite tutasimamia wenyewe sio shida nasubir majibu kutoka kwako
 
Economic benefits of Satellites:
A: Enhancement of accuracy, monitoring and forecasting of;
1. Weather
2. Environmental Mapping
3. Human Settlements Patterns
4. Geological Dynamics
5. Ecological and Biological Interactions

NB: Finally, we are able to communicate here, because of a satellite that is placed somewhere in a lower-orbit.
Watu wanashindwa elewa Asaiv serikali ikitaka kuweka map kitu Fulani lazima helikopta ipite au uchukue satelite za Nchi zilizoendelea wazo zur sana
 
Issue siyo kuunda

Issue Ilikuwa ni kununua

Wajanja wakaleta likampuni lao FEKI

Bei kubwa na mashart kibao

Likapigwa chini
Naijua iyo Mzee mwezang naona sasa linaangaliwa Kwa makin Mr musk anaitajika apo atuuziee
 
Miradi mikubwa kama ya kuunda satellites huwa ina multplier effects kibao kwenye sekta mbalimbali. Hembu fikiria ajira zitakazotengenezwa za vijana wa fizikia, electronics, computer science, mechanics, IT, electrical technicians kuhakikisha satellite inaenda angani.

Embu fikiria startups za IT zitakazozaliwa baada ya vijana kupata uzoefu kutokana na megaproject kama hiyo! Sema tu sina uhakika kama serikali hii ina watawala wenye guts za kuhakikisha kitu kama hicho kinatekelezeka. Kumbikumbi tu.
Mawazo Yako yapo kama mm Mzee mwezang ujakosea na ingekua vzur Zaid wanafunz vyuo vikuu wapelekwe Nje kusomea mambo ya anga Mbali kabla ya kuja Iyo satelite
 
yani priority za nchi hii zinachekesha.. yani tunataka kukimbizana na mambo ya dunia ya kwanza wakati ya dunia ya tatu hatujaya-master
Embu tuachen uchama na ujinga uliowajaaa kichwan mwenu hii project ingefanyika Uganda apo mmengesha Tanzania wanaangaika na Maji Uku
 
Isiwe ni kwa nia ya kuonekana kama na sisi tumo baada ya Rwanda Kenya Nigeria na Angola kufanya hivyo. Kwa nini tusiimarishe mifumo yetu ya ardhini kwanza kabla ya kupapatikia mambo ya satellite?

Kwenye IT tuko nyuma kweli kweli, hiyo satellite 🛰️ tutaimudu? 🤔
Akuna linalowezekana Mzee mwezang na mifumo gan unataka ww kununua vifaru vipya au kufanyaje maana Nchi yetu ya amani
 
1446634139814.jpg
 
Jamani tuachane na satellite kwanza, mbona priority zetu kama tumezisahau tena.

1: Maji ya uhakika
2: Umeme wa bei nafuu
3: Elimu bora na si bora elimu
4: Kilimo bora cha kisasa cha umwagiliaji na si bora kilimo
5: Huduma bora za afya
6: Barabara nzuri kuepusha ajali.
7: Polisi wanaolinda raia na mali zao na sio wanyanyasaji wa raia
8: Mahakama zenye kutoa haki na haki ionekane ikitendeka
9: Uhuru wa vyombo vya habari
10: Serikali kuwawezesha wananchi wake ktk nyanja mbalimbali ili kuwainua kiuchumi hasa kuangalia kodi rafiki zenye kulipika na kupigana na umaskini, ujinga na maradhi
11: Serikali yenye ukali mkubwa sana kwenye rushwa, hasa Grand corruption. Rushwa kubwa ndio chanzo kikuu cha umaskini nchini mwetu.
12: Viti Maalum vya wabunge vifutwe kabisa kabisa ni mzigo mkubwa kwa wananchi na ukweli ni kuwa hao viti maalum hakuna wananchi wanaowawakilisha bungeni.
13: Katiba iliyopo inafaa ifanyiwe marekebisho makubwa iendane na wakati. Etc etc

Jamani, mambo ya satellite tuacheni nayo, sio priority, tusipoteze fedha bure, please please.
 
Akuna linalowezekana Mzee mwezang na mifumo gan unataka ww kununua vifaru vipya au kufanyaje maana Nchi yetu ya amani
Mkuu uliishasikia mziki wa mkongo wa taifa enzi zile ukizinduliwa?.... Je umewahi kusikia kauli mbiu ya TTCL ya rudi nyumbani kumenoga?😳
 
Back
Top Bottom