FourTwoNet
JF-Expert Member
- Aug 4, 2022
- 1,236
- 2,512
Najuta kuacha kuvuta bangi rasmi mkuu.yani priority za nchi hii zinachekesha.. yani tunataka kukimbizana na mambo ya dunia ya kwanza wakati ya dunia ya tatu hatujaya-master
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Najuta kuacha kuvuta bangi rasmi mkuu.yani priority za nchi hii zinachekesha.. yani tunataka kukimbizana na mambo ya dunia ya kwanza wakati ya dunia ya tatu hatujaya-master
Magufuli aliharibu sana hii nchiTumalizane kwanza na vyoo bora kwa kila kaya.
Kuna watu bado wanakwenda porini.
Kuunda na kurusha satellite,tunapigwa tena, chupi tu hatuwezi kutengeneza ije kuwa satelite?Serikali imesema inatambua umuhimu wa nchi kuwa na satelaiti na kwamba katika mwaka huu wa fedha imeanza kuandaa utaratibu wa awali utakaowezesha kuunda na kurusha satelaiti yake angani...
Sisi tutaagiza hatuwezi kuunda,anayekudanganya Nani kwamba tunaweza kuunda Kwa kutumia vijana wa mavyeti na madigrii ya kwenye mezaMiradi mikubwa kama ya kuunda satellites huwa ina multplier effects kibao kwenye sekta mbalimbali. Hembu fikiria ajira zitakazotengenezwa za vijana wa fizikia...
Madarasa issue, matibabu issue, uokoaji mna saidiwa na wavuvi, ndege mna vuta na kamba. Ati satalite... Mnachekesha walio lala!!yani priority za nchi hii zinachekesha.. yani tunataka kukimbizana na mambo ya dunia ya kwanza wakati ya dunia ya tatu hatujaya-master
Niliwahi kukuheshimu humu jamvini, najuta !Satellite inaweza punguza gharama za mawasiliano ..
Tunaponda serikali kuanza mchakato
Na tunalia gharama za bando...
Satellite inaweza saidia Hali ya hewa..
Tunaponda serikali kutojiandaa na ukame na tunaponda tukisikia imeanza mchakato wa satellite....
Mradi kazi yetu kuponda kila kitu...
Hebu andika swali lako vizuri kwanza, ili lieleweke, nitakujibu tena kwa uhakika!.Kwenye it tuko nyuma ya nani!?..umepomaje kwamba tuko nyuma?!..unavyoelewa wewe it ni nini!?
Kwan kinashindikana nn mkuuMmh!!
Kuna habari ukizisoma ama zisikia, inakubidi ugune tu
Serikali yetu ni kinara wa kutaja mipango isiyotekelezeka...Kwan kinashindikana nn mkuu
Lkn mbona kuna wanayotekeleza wakat mwingneSerikali yetu ni kinara wa kutaja mipango isiyotekelezeka...
Lkn mbona kuna wanayotekeleza wakat mwingne
Eti taswira ya kiafrija[emoji1787][emoji1787]Serikali imesema inatambua umuhimu wa nchi kuwa na satelaiti na kwamba katika mwaka huu wa fedha imeanza kuandaa utaratibu wa awali utakaowezesha kuunda na kurusha satelaiti yake angani.
Aidha, imesema ili kuwezesha kufikia azma hiyo tayari imeunda andiko dhana na kuunda timu ya watalaamu watakaoshauri aina ya satelaiti itakayorushwa angani itakayoendana na mahitaji halisi ya nchi.
Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhandisi Mathew Kundo amesema hayo bungeni jijini Dodoma wakati akijibu swali la Mbunge wa Bahi, Kenneth Nollo aliyetaka kujua ni lini Serikali itaanza programu ya kuunda na kurusha setelaiti angani.
“Ni matarajio kuwa timu hiyo itakamilisha kazi ya uchambuzi na kuwasilisha mapendekezo yake Serikalini kwa hatua za kimaamuzi ndani ya mwaka huu wa fedha,” amesema Kundo
Akizungumzia kwa upande wa Afrika, Kundo amesema kuwa hadi sasa Afrika ina jumla ya satelaiti 41, na kuanzia mwaka 2016 ni satelaiti 20 tu ambazo zimekuwa angani, na kati ya hizio 41 ni tisa tu ambazo zimetengenezwa na zina taswira ya Kiafrika.
Kuwa na satellite ni jambo moja, kutumia kwa ufanisi ni jingine.Satellite inaweza punguza gharama za mawasiliano.
Tunaponda serikali kuanza mchakato.
Na tunalia gharama za bando.
Satellite inaweza saidia Hali ya hewa.
Tunaponda serikali kutojiandaa na ukame na tunaponda tukisikia imeanza mchakato wa satellite.
Mradi kazi yetu kuponda kila kitu...
Umeelewa Ila huna jibuHebu andika swali lako vizuri kwanza, ili lieleweke, nitakujibu tena kwa uhakika!.
yani priority za nchi hii zinachekesha.. yani tunataka kukimbizana na mambo ya dunia ya kwanza wakati ya dunia ya tatu hatujaya-master