Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mkuu.. nyuma ya pazia kwamba katumwa na serikali ya Tanzania au ni vip?Hujuwi kilicho nyuma ya pazia Bora ukae kimya tetesi ni nyingi kuliko unayo yasikia. Why tetesi? Ask deep state
Hili watu wengi wanaonekana kulipinga ikiwemo familia yake piaHuyo Jamaa alikuwa yupo mahabusu before kuambiwa salama yake iloyopo nukujiunga na Hilo jeshi uchwara.
Sure, ni kutaka kukuza mambo tu kwa watu wa ulaya na Us.Ifike mahali watu waweze kujua kutofautisha kati ya mambo ya kibinafsi na mambo ya kinchi.
Yaani mimi mfano niende Russia nikajiunge na Wagner.. that is my problem. Na ukienda huko wakikuua that is not the problem of Tanzania as a country.
Naona watu wanafungua uzi kulaumu serikali.. ni mjinga tu ataweza kulaumu serikali kwa maamuzi binafsi ya mtu binafsi
nipe fununu niunganishe dotsHujuwi kilicho nyuma ya pazia Bora ukae kimya tetesi ni nyingi kuliko unayo yasikia. Why tetesi? Ask deep state
Hizi ni made up stories... ushahidi kwamba wanalazimishwa upo wapi?... mimi sitetei upande wowote.. ila nachotaka hapa ni watu tuwe objectiveHili watu wengi wanaonekana kulipinga ikiwemo familia yake pia
Inavyoonekana huko waafrika wanalazimishwa kwenda vitani na inapotokea bahati mbaya wameuwawa, wanatoa taarifa kuwa alikuwa mfungwa
Fatilia kifo cha yule kibopa wa Malawi sijui Zambia alivyokufa ripoti ni ile ile kama hii
Bado kuna m-algeria mwingine naye alidanja vitani kwa tuhuma hizo hizo
Ingekuwa ni madeup stories serikali za Zambia isingedai kupewa majibu zaidi ya ile taarifa waliyo publish moscowHizi ni made up stories... ushahidi kwamba wanalazimishwa upo wapi?... mimi sitetei upande wowote.. ila nachotaka hapa ni watu tuwe objective
Ingekuwa ni madeup stories serikali za Zambia isingedai kupewa majibu zaidi ya ile taarifa waliyo publish moscow
Waafrica wengi waishio huko wameripoti kubaguliwa pamona na kulazimishwa kwenda vitani
Hata kile kipindi Ukraine ihamishe raia, waafrika walikuwa wanatupwa nje ya treni.
Sasa kama unaona ni stori za kutungwa jaribu kwenda
Serikali inalaumiwa kwa kutoiwajibisha Russia hasa balozi wake hapa Tz atoe maelezo kwa nini jamaa ambaye alikuwa mfungwa kwenye jela za serikali ya urusi achukuliwe na kuandikishwa kupigana nchini Ukraine kwa kupitia kikundi cha wanamgambo kiitwacho Wagner?Je sheria za kimataifa zinazolinda haki za wafungwa zinaruhusu kitu hichoIfike mahali watu waweze kujua kutofautisha kati ya mambo ya kibinafsi na mambo ya kinchi.
Yaani mimi mfano niende Russia nikajiunge na Wagner.. that is my problem. Na ukienda huko wakikuua that is not the problem of Tanzania as a country.
Naona watu wanafungua uzi kulaumu serikali.. ni mjinga tu ataweza kulaumu serikali kwa maamuzi binafsi ya mtu binafsi
Mi siyo karani wa sensa wa urusiKwani mpaka sasa kuna Watanzania/Waafrika wangapi ndani ya Urusi, na wangapi wamelazimishwa kwenda vitani...
Kwanini vijana wengi wa kiafrika waliopo Urusi wanafungwa sana?! Nini kipo nyuma ya hili jambo?! Wanafanya uhalifu au wanabambikiwa kesi na kufungwa ili kuipa fursa Urusi kuwalazimisha kujiunga na jeshi lake la kimamluki?Huyo Jamaa alikuwa yupo mahabusu before kuambiwa salama yake iloyopo nukujiunga na Hilo jeshi uchwara.
SahihiHili watu wengi wanaonekana kulipinga ikiwemo familia yake pia
Inavyoonekana huko waafrika wanalazimishwa kwenda vitani na inapotokea bahati mbaya wameuwawa, wanatoa taarifa kuwa alikuwa mfungwa
Fatilia kifo cha yule kibopa wa Malawi sijui Zambia alivyokufa ripoti ni ile ile kama hii
Bado kuna m-algeria mwingine naye alidanja vitani kwa tuhuma hizo hizo
Chadema inapeleka watu wake mafunzoni, wanafia huko, wanajigamba kwamba watu wao makamanda, wanapimwa field,wanakufia huko, trainers wanasema nyie badooo kwa JWTZNapenda kila siku kujifunza napenda kila siku kujuwa mambo wengine hawaya fikirii wala kuyawaza.
Hizi ni tetesi kutoka ktk vyanzo nyeti vya kimataifa kuhusiana na vita ya Ukraine na kule Dunia ya kijasusi inaelekeza hii vita.
Kwa mara ya kwanza serikali imetangaza kuwa Wagner nikikundi Chao cha kigaidi
Iteendelea sorry
Jamaa anataka kuifanya ionekane ni issue kubwa ya kijasusi 🤣🤣Mi naona watanzania tunakuza sana mambo