Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hoja yako wewe ndio mbovu,acha dharau zakipumbavu kijana,endelea kulishwa maneno ya kwenye vijiwe vya kahawa kua mbele hakuna watu masikini wanaotesekahapana, sasa unanipakazia nisiyoyaamini kabisa.
Hoja yako toka mwanzo ilikuwa ni mbovu.
EeeenHeeee!Hoja yako wewe ndio mbovu,acha dharau zakipumbavu kijana,endelea kulishwa maneno ya kwenye vijiwe vya kahawa kua mbele hakuna watu masikini wanaoteseka
Sahihi
HapanaAlichokifanya Samia kilifanywa na Nyerere wakati akati huo watu wanapanga Foleni kununua vitu kwenye maduka ya ushirika Tanzania ilikuwa inasaidia mataifa mbalimbali hatuna madarasa na vitu vingine vingi. Tanzania tulitoa misaada kwa mataifa mengi tu, na hiyo ni sera ya Tanzania. tunasaidia tunapoweza.
Tanzania karibia wote ni maskini.Hata USA kuna masikini wa kutupwa ila US ndio inaongoza kwa kutoa misaada kwenye nchi zingine,
Hakuna nchi iliyomaliza shida zake zote kisha ndio ikasaidia na wengine,msaada ni jambo jema,wema hauozi.
Kwani wanajenga Bure si tunawalipa??Hawa wanajenga reli yetu.
Ninapata shida sana kulaumu hili.
Ndiyo, najuwa tunawalipa.Kwani wanajenga Bure si tunawalipa??
Hizo hela zenyewe wanazojengea Reli tumekopa.Ndiyo, najuwa tunawalipa.
Kwa sasa ni washirika wetu. Tunafanya kazi pamoja. Siyo vibaya unapompa pole mshirika wako ambaye mpo ofisi moja anapopata janga. Huo ni ubinaadam tu.
Ninakubaliana kimsingi nawe.Hizo hela zenyewe wanazojengea Reli tumekopa.
Bado tunakopa Tena ili tuwape rambi rambi.
Tuko sawa kweli??
Hujui kitu,tembea ujionee,acha kukaririshwa vijiweni.EeeenHeeee!
Fuzi imefyatuka mara hii?
Ukisema uongo watu wasikupe ukweli? Hapana.
Ukija hapa kujifanya mjuaji, utaambiwa tu ukweli.
EeenHeee!Hujui kitu,tembea ujionee,acha kukaririshwa vijiweni.
Halafu mnashangaa kwanini Nyerere aliondoka 85 na uchumi mbovu.Tanzania iliongoza mapambano ya Ukombozi wa nchi kusini mwa Bara la Afrika tulikuwa na utajiri gani�
Tanzania haijatoa msaada kwa ajili ya sifa, Uturuki ni mshirika wa karibu kwa Tanzania kibiashara.
Ni sehemu ya ushirika wa kidiplomasia. Tanzania si kisiwa.
Mikopo na misaada ya US ni investment njia moja au nyingine inarudi na faida.Hata USA kuna masikini wa kutupwa ila US ndio inaongoza kwa kutoa misaada kwenye nchi zingine,
Hakuna nchi iliyomaliza shida zake zote kisha ndio ikasaidia na wengine,msaada ni jambo jema,wema hauozi.
Hata huu msaada nao ni katika hayo mambo yasiyo na busara yanayofanyika.Ninakubaliana kimsingi nawe.
Lakini ngoja nikupe sehemu ambayo ningeishikia bango kubwa sana.
Akina Mwigulu Nchemba na magari yao ya milioni 600.
Kila leo hawa watu serikalini wanafuja hela nyingi sana kufanya mambo ya kijinga kabisa; hapana, mambo ya kipumbavu sana yanayohitaji kulaaniwa nayo kuliko kutoa msaada katika janga kama hili.
Ajabu ni kwamba hata sisi bado tunaomba misaad kila siku halafu tukija huku tunajifanya dona kantree, hiyo hela tungetumia kupunguza deni la Taifa aisee badala ya kujivimbisha kutoa misaadaDuu hata Malawi juzi wamekula bonge la msaada aisee inaeelekea naishi kwenye nchi TAJIRI ila sijijui