Serikali ya Tanzania yatoa msaada Uturuki

Serikali ya Tanzania yatoa msaada Uturuki

Kupata vichekesho hivi bonyeza ***Tanzania#πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
hapana, sasa unanipakazia nisiyoyaamini kabisa.
Hoja yako toka mwanzo ilikuwa ni mbovu.
Hoja yako wewe ndio mbovu,acha dharau zakipumbavu kijana,endelea kulishwa maneno ya kwenye vijiwe vya kahawa kua mbele hakuna watu masikini wanaoteseka
 
Hoja yako wewe ndio mbovu,acha dharau zakipumbavu kijana,endelea kulishwa maneno ya kwenye vijiwe vya kahawa kua mbele hakuna watu masikini wanaoteseka
EeeenHeeee!
Fuzi imefyatuka mara hii?
Ukisema uongo watu wasikupe ukweli? Hapana.

Ukija hapa kujifanya mjuaji, utaambiwa tu ukweli.
 
😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳
 

Sifa yetu ni ukarimu. Unaweza kuwa na kidogo ila ukajibana hiko hiko kidogo ili nimsitiri mwingine. This is our Diplomatic identity!

Hapa tumekuza jina na vingine vingi kama nchi. Tupo moyoni mwao.
 
Alichokifanya Samia kilifanywa na Nyerere wakati akati huo watu wanapanga Foleni kununua vitu kwenye maduka ya ushirika Tanzania ilikuwa inasaidia mataifa mbalimbali hatuna madarasa na vitu vingine vingi. Tanzania tulitoa misaada kwa mataifa mengi tu, na hiyo ni sera ya Tanzania. tunasaidia tunapoweza.
Hapana
Naikumbuka sana ile hotuba ambapo aliitoa kabla ya vita ya uganda.

Sikuwepo lakini nilipata kusoma na kusikia na pia nilitafiti
 
Dona kantri
Tupo kwenye raiti traki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ila huku watoto wetu wamefutiwa bima za 50400.

Anyway,
As long as zimesaidia waathirika wa tetemeko hakuna ubaya.
Sote tuliona namna mambo yalikuwa, kwa binadamu yeyote mwenye utu lazima huruma imuingie.
 
Hata USA kuna masikini wa kutupwa ila US ndio inaongoza kwa kutoa misaada kwenye nchi zingine,

Hakuna nchi iliyomaliza shida zake zote kisha ndio ikasaidia na wengine,msaada ni jambo jema,wema hauozi.
Tanzania karibia wote ni maskini.

Ukiangalia orodha ya matajiri wote ni Raia wa nje.

Hakuna mzawa.

Sasa kama spidi ndio hii ya kumwaga tu mahela kila mahali halafu baadae tunakopa kujengea vyoo hiyo sio sawa.
 
Kwani wanajenga Bure si tunawalipa??
Ndiyo, najuwa tunawalipa.
Kwa sasa ni washirika wetu. Tunafanya kazi pamoja. Siyo vibaya unapompa pole mshirika wako ambaye mpo ofisi moja anapopata janga. Huo ni ubinaadam tu.
 
Ndiyo, najuwa tunawalipa.
Kwa sasa ni washirika wetu. Tunafanya kazi pamoja. Siyo vibaya unapompa pole mshirika wako ambaye mpo ofisi moja anapopata janga. Huo ni ubinaadam tu.
Hizo hela zenyewe wanazojengea Reli tumekopa.

Bado tunakopa Tena ili tuwape rambi rambi.

Tuko sawa kweli??
 
Hizo hela zenyewe wanazojengea Reli tumekopa.

Bado tunakopa Tena ili tuwape rambi rambi.

Tuko sawa kweli??
Ninakubaliana kimsingi nawe.

Lakini ngoja nikupe sehemu ambayo ningeishikia bango kubwa sana.

Akina Mwigulu Nchemba na magari yao ya milioni 600.
Kila leo hawa watu serikalini wanafuja hela nyingi sana kufanya mambo ya kijinga kabisa; hapana, mambo ya kipumbavu sana yanayohitaji kulaaniwa nayo kuliko kutoa msaada katika janga kama hili.
 
Tanzania iliongoza mapambano ya Ukombozi wa nchi kusini mwa Bara la Afrika tulikuwa na utajiri gani…?

Tanzania haijatoa msaada kwa ajili ya sifa, Uturuki ni mshirika wa karibu kwa Tanzania kibiashara.

Ni sehemu ya ushirika wa kidiplomasia. Tanzania si kisiwa.
Halafu mnashangaa kwanini Nyerere aliondoka 85 na uchumi mbovu.
 
Hata USA kuna masikini wa kutupwa ila US ndio inaongoza kwa kutoa misaada kwenye nchi zingine,

Hakuna nchi iliyomaliza shida zake zote kisha ndio ikasaidia na wengine,msaada ni jambo jema,wema hauozi.
Mikopo na misaada ya US ni investment njia moja au nyingine inarudi na faida.
 
Unatoa mali kwa maskini unapeleka kwa tajiri mfumo gani huu si mfumo wa shetani huu ( in Kambarage 's voice)
 
Ninakubaliana kimsingi nawe.

Lakini ngoja nikupe sehemu ambayo ningeishikia bango kubwa sana.

Akina Mwigulu Nchemba na magari yao ya milioni 600.
Kila leo hawa watu serikalini wanafuja hela nyingi sana kufanya mambo ya kijinga kabisa; hapana, mambo ya kipumbavu sana yanayohitaji kulaaniwa nayo kuliko kutoa msaada katika janga kama hili.
Hata huu msaada nao ni katika hayo mambo yasiyo na busara yanayofanyika.

Hivi unatoaje dola milioni moja wakati Kuna wilaya hazina umeme, hakuna maji , vijana hawana ajira , gharama za maisha zipo juu.

Hakuna anayejua kesho yake hapa nchini na bado wanafuja pesa namna hii.

Huu ni karibia na ukichaa Sasa maana sio hata kupenda sifa kuliko zidi.

Unajua hata tusingetoa hao wenyewe wangetuelewa tu maana wanajua hali yetu.
 
Duu hata Malawi juzi wamekula bonge la msaada aisee inaeelekea naishi kwenye nchi TAJIRI ila sijijui
Ajabu ni kwamba hata sisi bado tunaomba misaad kila siku halafu tukija huku tunajifanya dona kantree, hiyo hela tungetumia kupunguza deni la Taifa aisee badala ya kujivimbisha kutoa misaada
 
Back
Top Bottom