MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,537
- 8,824
Enzi zetu leo hii nazani Pale Mlimani pangekuwa hapatoshi kabisa, siku huzi wanasoma watoto wadogo bado wanamaziwa vifuani mwao.Haiwezekani viongozi wanao watetea wasimamishe masomo na nyie mpompo tu. Huu ni ujinga na uoga wa kijinga pia.
Haki haiombwi hutafutwa, pambaneni Historia itawakumbuka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haki haiombwi hutafutwa, pambaneni Historia itawakumbuka.
Sent using Jamii Forums mobile app