Serikali ya Wanafunzi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(DARUSO) waomba radhi

Serikali ya Wanafunzi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(DARUSO) waomba radhi

Najiuliza kuhusu tawimu.
Hivi Daruso hawakuwa na takwimu za wahanga wa mikopo?
Kama walikuwa nazo kwanini hakufuata majadiliano ya wadau?
Kama wameliona kosa lao,busara inaelekeza wajiuzuru na serikali iwasamehe warejee masomo ili wengine wenye kusimamia wanachokiamini/kutumwa na wenzao wachukue nafasi zao.
Swali la kizushi: Ni lini wahanga wa mikopo walikaa na Daruso na kuwatuma/ wawakilishe kwa maandishi?
Siku nyingine viongozi wa Daruso wajifunze kutumia takwimu/sahihi/maandishi kama evidence za kujustify kile wanachokiamini kama utetezi wa madai yanayowahusu wanafunzi ili kuepuka kupewa majibu ya jumla jumla ya wale wanaowatuhumu.
Hata hivyo wajifunze kuwa na subra ya majibu ya majadiliano wanayokuwa wanafanya kutatua changamoto zinazohusu wanafunzi.
 
Upuuzi umewajaa hawa watoto,nadhani sasa wameanza kupevuka kiakili,huwezi kuipa 72 hrs serikali inayokusomeshwa na kukugharamia kila kitu,huu ni ujangili ,pongezi kwa government yetu

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila pamoja tunawalaumu ila mkwara wao umezaa matunda kijana wangu leo wameshamuingizia stahiki zake anasoma Udom muda wote walikuwa wanawazunguusha lakini baada ya ule mkwara wameamka usingizini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila pesa wameshaingiziwa tayari mimi kijana wangu wamemuingizia leo kwa hiyo ule mkwara ulosaidia
Maji yamewafika shingoni yako wapi jana si niliwaambia mkawa mnabwatuka tu ....Baba yako umpangie masaaa ya kukupa hela tena ya mkopo

Ifike mahali wadogo zangu mjitambue sio mnakurupuka tu na slogan zenu eti ukiumiza mmoja umeumiza wote

Kama nyinyi vidume leo si mgeandana kupima dhuluma leo mmefyata mkia poleni

Huu ni upepo mwingine kabisa ....yaani ukijaribu unaumia na ole wenu yaani msingewahi kuomba msamaha kwa umma mzee kule chato angekoroma zaidi ya 100 mlikuwa mnaenda home

Leo hela ya kutumia mmetoa wapi mbn mmetulia na mnaishi tu vizuri milo mitatu

Mnapokanyaga mkanyage vizuri ....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mnaleta akili za advance

[emoji3517][emoji3517][emoji3517][emoji3517] Ndalichako ni umeme wa gridi ukigusa ni kukauka hapo hapo !! Kazi kwenu

Sent using i phone x

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siyo mbaya ila ujumbe umefika kwa wale wasiotekeleza/fanya kazi zao.........
 
Mimi sijui ndio mbumbumbu wa mwisho kuelewa!!? Aya ya mwisho kabisa Wanaishukuru serikali ya Awamu ya Tano kwa kuwajali, ikiwa mtu au Chombo au Taasisi inakujali, unaweza ipangia muda wa kukutatulia changamoto au matatizo yako kwa lazima?
 
We dogo ni toto yatima? Mbona huna chembechembe za ubinadamu?

Kuajiliwa kibaraka lumumba kusikutoe akili

Kosa lao ni lipi? Hii dhana tu kuwa mkubwa hakosei, lakini vijana wako sahihi, wana hoja za msingi

Kwa waliopita vyuoni miaka ya nyuma wananua hizi figisu na serilikali zilitokea , mwishowe serikali ilisalimu amri.
huyu n wakusamehewa tuu 😡😡😡😡😡
 
Yaani madogo mnatia hasira kweli mwenzenu kawatetea mpaka wameanza kuwashughulikia wamemtimua chuo hamna hata habari naye eti mnaomba msamaha kwa kudai haki yenu pathetic kwa viongozi kama hawa wangekuwepo enzi hizo za utumwa mpaka leo tungekuwa tumetawaliwa
Kwani sahivi hatuja tawaliwa??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya matoto ni majinga sana pumbavu zao
Ndugu yangu Matiku Matare ulieanzisha mgomo udsm mika ya 80+ na kupelekea chuo kufungwa lkn pia ilimchana makavu muheshimiwa mwinyi na kumtukana hadharani

Hongera sana kwa ujasiri huo na popote ulipo Mungu akutangulie wewe ni mfano wa kuigwa leo udsm wanasoma warembo tuuu ***** zao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom