Serikali ya Wanafunzi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(DARUSO) waomba radhi

Serikali ya Wanafunzi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(DARUSO) waomba radhi

Wametambua makosa yao
We dogo ni toto yatima? Mbona huna chembechembe za ubinadamu?

Kuajiliwa kibaraka lumumba kusikutoe akili

Kosa lao ni lipi? Hii dhana tu kuwa mkubwa hakosei, lakini vijana wako sahihi, wana hoja za msingi

Kwa waliopita vyuoni miaka ya nyuma wananua hizi figisu na serilikali zilitokea , mwishowe serikali ilisalimu amri.
 
badala ya wanafunzi kaandika wananfunzi

sijui hawakufanya editing baada ya kumalizA kuandika
Si hilo tu. Aya ina sentensi moja ndefu sana ambayo hata hivyo haijakamilika. Ameshindwa hata mambo madogo kama punctuations yanayosomeshwa shule ya msingi
 
Shubhaamit, wako wapi jamaa zao waliokuwa wanawajaza upepo humu.
 
Serikali Yangu Haitakuwa Ya Kubembeleza
Maneno Matamu Sitayasema Mimi Nitasema Makavu Makavu Rais
 
Yaani madogo mnatia hasira kweli mwenzenu kawatetea mpaka wameanza kuwashughulikia wamemtimua chuo hamna hata habari naye eti mnaomba msamaha kwa kudai haki yenu pathetic kwa viongozi kama hawa wangekuwepo enzi hizo za utumwa mpaka leo tungekuwa tumetawaliwa
Mbaya zaidi hata kwenye hiyo barua hayupo kwenye huo msamaha, labda mi ndo sielewi kwanini wameamua kirahisi hivyo wakati kuna watu wameshaumia tayari,
Back days tuliwai fanya mgomo wa kuingia lecture room tukiwa na njaa, kuna bahadhi yetu wakasimamishwa kilichotokea tukaaandamana kabisa kwenda kwa mkuu wa mkoa wenzetu warudishwe chuo, atimae walirudishwa.
Labda kipindi hicho tulikuwa vichwa maji tofauti na vijana wa siku hizi.
 
Kama hii barua imeandikwa na mwanafunzi wa chuo kikuu tuna tatizo kubwa kwenye mfumo wetu wa elimu. Mwanafunzi mwenye udhaifu wa kiwango hiki katika uandishi anafikaje chuo kikuu? Soma tu hiyo aya ya kwanza uniambie ulichoelewa.
Jaribu ku imagine mwandishi ameandika akiwa katika hali gani
 
Waingie barabarani ili iweje wakati mmeshaingiza upepo mnawapa chao? Toeni mshiko wa madogo acheni mikwala ya kishamba.
After all hiyo pesa sio hisani ni haki yao ya msingi, otherwise tuseme HESLB wameamua kuvunja mkataba na hao wanafunzi. Pia ingekuwa vyema kwenye kukata deni lao wasuesue hivyo na per cent ya makato ipungue.
 
Wamechelewa sana, inasikitisha baada ya wezao kusimamishwa, waliobaki kwenye serikali ya wanafunzi wamewasaliti wezao Rais wa chuo akiwemo.
Hii migomo ya vyuoni kama watumwa. Wakifukuzwa baadhi ya viongozi waliobaki wanafuata matakwa ya chuo na kusalita malengo.
Na kosa la usaliti ni kubwa kuliko kosa la uhaini, ndio maana kwa Yamamoto na Yakamoto kuna kiapo cha damu ili kuepusha ndezi wa kugeuka nyuma, kama walianza pamoja walitakiwa wamalize pamoja, hawa ndio wanaotuletea viongozi wa handshake wakati watu wameshapoteza maisha, huku wengine wakiwa na ulemavu wa kudumu. Shame on us.
 
Shubhaamit, wako wapi jamaa zao waliokuwa wanawajaza upepo humu.

Kwani huko chuoni ambapo wanasoma hao waliowapa motisha wa kusoma huwa wanakuwa nao darasani? Ww ukiwapa motisha simba au Yanga na ww unaingia uwanjani kucheza? Pumbavu kabisa.
 
Nimewatukana tusi kubwa Sana moyoni wasomi wa ovyoooo Sana nyie wehu sijapata kuona mmenitia hasira ajabu. Haiwezekani wenzenu watimulie ndio mjifanye mnaomba radhi??
Mnaomba radhi kwa kosa gani?
Wahavi wakubwa nyie Ngukoma engili
 
Watch yourself !
Kwani huko chuoni ambapo wanasoma hao waliowapa motisha wa kusoma huwa wanakuwa nao darasani? Ww ukiwapa motisha simba au Yanga na ww unaingia uwanjani kucheza? Pumbavu kabisa.
 
Yaani hawa wakienda north korea huko ni wakupigwa tu risasi hakuna kingine. Yaani walichofanya ni usaliti wa kiwango cha juu
Naunga mkono hoja, wangekuwa kwa yule dogo kiduku, wangekuwa chakula ya mamba zamani sana.
 
Back
Top Bottom